TL. Marandu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 3,625
- 5,807
- Thread starter
- #101
Oh please Nasfi Inamsuta Lipumba ana nafsi? Lipumba is hollow inside, Ni kama nyoka mwenye wazimu anavizia Mkia wake mwenyewe na kuudungilia mbali hafu akishtuka ni yeye anaanza kujipiga mwenyewe, "why I did this" too late my friend! Furaha ya msaliti ni ya kitambo!Lipumba ni Msanii sana. Hata akiongea ukimtizama machoni unaona kabisa nafsi inamsuta.
Lakini ndio hivyo atafanyaje wakati yeye mwenyewee hajuia anachofanya.
Hilo la Mkuu wa nchi tumwachie mwenyewe .
Kila mtu ana mkali wake.
Mwanamke anamwogopa mende. Lakini Mwanaume hamwogopi mende hapo hapo mwanaume anamwogopa mwanamke.
Mende hajui chochote.
Kila kiumbe kina mkali wake.
Hata wanasiasa kuna wanaoogopwa hata kwa kutaja jina tu ni tishio.
huyu ndio kama lipumba.
Wote tukose Mentality!