Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,815
- 71,261
Si ndio walewale! Ndio maana karudi nyumbani, the house of comedy CCM ili akashirikiane na wenzakeFix kama fix zingineView attachment 1510347
Si ndio walewale! Ndio maana karudi nyumbani, the house of comedy CCM ili akashirikiane na wenzakeFix kama fix zingineView attachment 1510347
Chifu sogea City pub upate mvinyu!!Utapeli kama anaofanya Tulia Mbeya
Sioni mbunge wa CCM mwenye tija katika taifa letu wengi ubebwa na mfumo na ndio maana uwa wanakuwa wabunge wa ndio.
Dah inauma sanaaaMbunge wa Jimbo la Karagwe na Waziri wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa Innocent Bash akipata kifungua kinywa na wananchi wa Kijiji cha Ahakishaka, Kata ya Nyabionza, Karagwe mkoani Kagera.
Mbunge yupo jimboni kwake kwa sasa na alifika katika mgahawa huo ili kupata kifungua kinywa na wananchi wa jimbo lake.
Huu ni usanii na udanganyifu wa kiwango cha lami, alichaguliwa mwaka 2015 hajawahi hata kushiriki mazishi ya watu wa kijijini kwake au jimboni kwake, kila siku yupo DSM.
Leo hii uchaguzi anajifanya kula pamoja na wapiga kura wake.
View attachment 1510320
😆😆😆😆
HahahahaaaaMbunge wa Jimbo la Karagwe na Waziri wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa Innocent Bash akipata kifungua kinywa na wananchi wa Kijiji cha Ahakishaka, Kata ya Nyabionza, Karagwe mkoani Kagera.
Mbunge yupo jimboni kwake kwa sasa na alifika katika mgahawa huo ili kupata kifungua kinywa na wananchi wa jimbo lake.
Huu ni usanii na udanganyifu wa kiwango cha lami, alichaguliwa mwaka 2015 hajawahi hata kushiriki mazishi ya watu wa kijijini kwake au jimboni kwake, kila siku yupo DSM.
Leo hii uchaguzi anajifanya kula pamoja na wapiga kura wake.
View attachment 1510320
Mwaka huu lazima wajuteManeno yenye mashiko kabisa mkuu
We upo Karagwe?Mbunge wa Jimbo la Karagwe na Waziri wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa Innocent Bash akipata kifungua kinywa na wananchi wa Kijiji cha Ahakishaka, Kata ya Nyabionza, Karagwe mkoani Kagera.
Mbunge yupo jimboni kwake kwa sasa na alifika katika mgahawa huo ili kupata kifungua kinywa na wananchi wa jimbo lake.
Huu ni usanii na udanganyifu wa kiwango cha lami, alichaguliwa mwaka 2015 hajawahi hata kushiriki mazishi ya watu wa kijijini kwake au jimboni kwake, kila siku yupo DSM.
Leo hii uchaguzi anajifanya kula pamoja na wapiga kura wake.
View attachment 1510320
Tatizo ni wananchi wenyewe...Kabisa yaani utadhani sasa hivi wanafundishwa chuoni
Ungezijua kata za segerea usingesema hivo,Bona hakuwa na diwani wa CCM hata mmoja . Huijui segerea wewe
Dawa yao ni kupiga chini tu kila mahala
piga spanaUtapeli kama anaofanya Tulia Mbeya
Sioni mbunge wa CCM mwenye tija katika taifa letu wengi ubebwa na mfumo na ndio maana uwa wanakuwa wabunge wa ndio.
Yaani alivyokuwa limbukeni! Bora hata angeendesha swala au phenix angalau! Na huko mkofia ndiyo kabisa karikoroga! Sijui waendesha baiskeli wangapi wa hapo mahala Wanavaa hiyo mikofia.
Najaribu kutafuta zile picha za Lowassa 2015 alipokunywa uji tandale na kupanda daladala akiwa amevalia kombati za mgambo!Mbunge wa Jimbo la Karagwe na Waziri wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa Innocent Bash akipata kifungua kinywa na wananchi wa Kijiji cha Ahakishaka, Kata ya Nyabionza, Karagwe mkoani Kagera.
Mbunge yupo jimboni kwake kwa sasa na alifika katika mgahawa huo ili kupata kifungua kinywa na wananchi wa jimbo lake.
Huu ni usanii na udanganyifu wa kiwango cha lami, alichaguliwa mwaka 2015 hajawahi hata kushiriki mazishi ya watu wa kijijini kwake au jimboni kwake, kila siku yupo DSM.
Leo hii uchaguzi anajifanya kula pamoja na wapiga kura wake.
View attachment 1510320
Yaani alivyokuwa limbukeni! Bora hata angeendesha swala au phenix angalau! Na huko mkofia ndiyo kabisa karikoroga! Sijui waendesha baiskeli wangapi wa hapo mahala Wanavaa hiyo mikofia.