Mzee Mwanakijiji, this will be too little too late, wabunge walioileta Dowans na serikali iliyoileta Dowans, ni wabunge lililopita na serikali, iliyopita, huwezi kuihukumu serikali hii kwa makosa ya serikali iliyopita, hata kama baadhi ya wahusika ni wale wale, serikali ilishavunjwa hawa waliopo ni wapya, wameapisdhwa tena na mambo mapya.