The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 7,382
- 8,437
Habari Wadau.
Kutoka Njombe,Wabunge,Madiwani na Viongozi wa CCM wa Mkoa wa Njombe Wamepiga magoti Kama ishara ya Shukrani kwa Mh.Rais Dk.Samia kwa kutimiza ahadi yake ya kuanza ujenzi wa Barabara ya Makete-Kitulo-Mbeya.
Tukio Hilo kimefanyika Leo wakati wa hafla ya utiaji saizi wa makataba wa Ujenzi wa Barabara hiyo muhimu kwa Uchumi wa Wilaya ya Makete na Mikoa ya Njombe na Mbeya..
Bila shaka leo ilikuwa Ni siku ya furaha Sana kwa watu wa Njombe👇
Kutoka Njombe,Wabunge,Madiwani na Viongozi wa CCM wa Mkoa wa Njombe Wamepiga magoti Kama ishara ya Shukrani kwa Mh.Rais Dk.Samia kwa kutimiza ahadi yake ya kuanza ujenzi wa Barabara ya Makete-Kitulo-Mbeya.
Tukio Hilo kimefanyika Leo wakati wa hafla ya utiaji saizi wa makataba wa Ujenzi wa Barabara hiyo muhimu kwa Uchumi wa Wilaya ya Makete na Mikoa ya Njombe na Mbeya..
Bila shaka leo ilikuwa Ni siku ya furaha Sana kwa watu wa Njombe👇