wabara
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 1,500
- 706
Anazo akili nyingi mno, walaakin kukosa busara kwake na Ujinga wa kudhani ati ukieka usawa/gender ndo mafanikio na matarajio ya wananchi.Huyu spika hafai na analiburuza bunge ili kuibeba serikali.
Ni kwanini ameahirisha bunge wakati muda bado upo mara baada ya Muhongo kuongea?
Huyu mama ana agenda ya siri.
Muda wao ulikuwa bado kwa nchi kama hini kupawa majukumu makubwa mfano wa hayo alonayo hoyo Mbibi.