Wabunge muondoeni spika

Mi nasubilia hiyo jioni wakati wabunge wameshajipanga. Kama Makinda ana hila juu ya hili swala itajulikana hiyo jioni.
 
kitakacho tokea jioni wengi mtashangaa, atakacho kifanya mama makinda ni kuwapa nafasi kwa uwingi wabunge ambao watakuwa wanawatetea mafisa kuliko wanaotaka mafisadi wawajibishwe. halafu itakapofika hapo kesho ataanza tena kipindi cha maswali na majibu kiasi kwamba wabunge watakosa kabisa muda wa kuchangia. na ndio mpango wenyewe huo wa mafisadi na spika wao.
 
wabunge wanapewa muda waka jiandae ukizingatia ripoti ya muhongo hawaja pewa sasa mtu aanze kuchangia tu bila kupitia hoja zote mbili?[/QUOTE

Wabunge juzi walipewa ripoti ya PAC kabla Zitto hajaanza kuongea kulikua na sababu gani ya kusubiri mpaka Muongo amalize kuongea ndo wabunge wapewe ripoti yote hii kupoteza muda bila sababu za msingi
 
jioni atapewa nafasi naibu waziri wa nishati wa madini kwa muda wa saa 1 na nusu, baada ya hapo bunge litaahirishwa mpaka kesho, na kesho mkutano wa bunge utahairishwa, makinda amedhamiria kuilinda serikali hii ya mafisadi!

Siwezi kuamini kuwa baada ya PAC kuwasilisha report yake na serikali kujibu hoja zake, wabunge hawatapata nafasi ya kuijadili. Ili iwe mali ya Bunge zima lazima wajadili na kuipitisha maana kamati imefanya kazi kwa niaba ya Bunge.
 
Sio za umma!kwamaelezo ya waziri husika na kauli ya serekali

Ni za umma kwa sababu ziliwekwa pale na shirika la umma na zilitakiwa zilipwe kwa mdai husika ili pasiwe na madai mara mgogoro husika utakapoisha.
 
Huyu spika hafai na analiburuza bunge ili kuibeba serikali.

Ni kwanini ameahirisha bunge wakati muda bado upo mara baada ya Muhongo kuongea?

Huyu mama ana agenda ya siri.

Jana Bunge liliahirishwa saa tano asubuhi, mbona hamkusema Mwenyekiti wa Bunge anatumika?
 
yaaani ma cccm bhna ..wanazania sisi wajinga kama wao..yaaani wana play hide and sick games kitotoo..makinda bhana
 
Kuna mbunge mmoja aliomba muongozo kuwa iweje leo serikali ipewe nafasi ya kujibu tuhuma wakati Lowasa na Kagasheki hawakupewa muda wa kujibu tuhuma,loo hapo madame speaker akawa kashikwa pembe wacha awe mkali,mimi naona kuna mbeleko hapa,kwanza Muhongo alikuwa anaongea mengine ambayo hayamo kwenye taarifa.
 
wabunge wanapewa muda waka jiandae ukizingatia ripoti ya muhongo hawaja pewa sasa mtu aanze kuchangia tu bila kupitia hoja zote mbili?[/QUOTE

Wabunge juzi walipewa ripoti ya PAC kabla Zitto hajaanza kuongea kulikua na sababu gani ya kusubiri mpaka Muongo amalize kuongea ndo wabunge wapewe ripoti yote hii kupoteza muda bila sababu za msingi

Hiyo mi hainihusu cha msingi jua spika kaahirisha bunge coz wabunge wapate kupitia na ripoti ya muhongo ili wakichangia watoe arguements za maana..that'z all haya mambo mazito hayataki papara.
 
Jamani hoja sio bunge kuhairishwa mapema, cha msingi lets digest facts rather than propaganda, no body shall be condemned unheard!!
 
Aisee Haki ya nani hii nchi noma na nazidi
kuamini Hakika Fisadi nchi hii hafugwi
Spika kanishangaza sana pia na serikali
yake, sasa kesho Bunge lina harishwa mpk
mwakani April na huku watu wamekula
mtonyo na hakuna cha kuwafanya.
Hii nchi kuna wanayoijua na kufanya
wanachotaka. Si tutalia njaa tu ila
wanaoijua wakula kwa mrija tu. Rais anarudi
bunge limeisha so tujiandae na sikukuu za
Uhuru Trh 9/12 na Huo uchaguzi wa Serikali
za mitaa
Kuhusu hili la Escrow ndugu zangu kwa
dalili hizi hakuna tutachofanya
 
Bila wabunge kumvua uspika huyo anne makinda bado watakuwa wanacheza nage,na asilimia kubwa ya wabunge wa ccm ------------.Huo ndo ukweli mchungu.
 
Hata neno kununuliwa kwenye forum hii linapigwa videshdesh lol!!! Kweli mbele ya mafisadi kila kitu kina pricetag.
 
watz, wagumu kuelewa wagumu kusahau. huyu huenda hata akagombea urais na kushadadiwa
 
Wabunge kununuliwa hili lanawatiaje matatani ninyi mods,sheria jukwaa zipo wazi mimi nawajibika kwa maandishi yangu.Nawezaje kuwa nakosea nikisema na ninyi m-----------.
 
Sijui nini kimetokea! ukweli ni upi? pesa ni za Umma au si za Umma?
.
Kinachoendelea pale bungeni ni uthibitisho kuwa wateule wa rais wamegundua kuwa rais ni mweupe pee.
Hivyo wana ubavu wa kumtisha nyau na asifurukute. Hili tu.
.
 
Wabunge nao wamekuwa legelege!!

Salary Slip: Pamoja na uzalendo tulionao, unadhani wabunge wangefanyaje? Mnyaa asubuhi kaanza kwa kutaka kupewa rationale ya serikali kuwatetea watuhumiwa. Spika kamtupia nje mwongozo wake. Muhimu ni kwamba PAC imeshatoa ushauri wake kama serikali itautumia sawa na kama haitaki basi. Unadhani hawa watuhumiwa hata wasipochukuliwa hatua watapata wakati mgumu sana kuendelea kufanya kazi. Ni vema wafike mahali wawajibike tu kwani trust kwao haipo tena
 
Ni za umma kwa sababu ziliwekwa pale na shirika la umma na zilitakiwa zilipwe kwa mdai husika ili pasiwe na madai mara mgogoro husika utakapoisha.

Waziri kajibu hoja vizuri ipo wazi hela sio za umma kelele nyingi hakuna kitu na kesho bunge lina hairishwa wabunge warudi majimboni case closed!
 
Back
Top Bottom