Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,097
- 173,810
Ningependa siku moja nisikie mkijadili kuhusu kuleta miswaada ya jambo hili.
Katika mfumo wa ajira kuwe na ukomo kwenye mikataba ya kazi tu kulingana na maslahi yanayopatikana.
Wenye mishahara inayozidi 6M+ ndani ya miaka 5 wastaafishwe kwa manufaa ya umma wapishe intake nyengine. Wale wenye mishahara ya 2M-4M wapewe miaka 7!
Wenye mishahara chini ya hapo wapewe ukomo wa 10 years.
Hii itasaidia Graduates wakapate uzoefu katika taaluma zao na kujipatia mitaji katika miaka watakayokuwa kazini. Wakitoka ni aidha waunganishe mitaji waanzishe viwanda. Au kila mtu afanye uzalishaji binafsi.
Kwa mawazo yangu ndio naona ni namna pekee ya kufuta umaskini nchini na kuondosha tatizo la ajira.
Katika mfumo wa ajira kuwe na ukomo kwenye mikataba ya kazi tu kulingana na maslahi yanayopatikana.
Wenye mishahara inayozidi 6M+ ndani ya miaka 5 wastaafishwe kwa manufaa ya umma wapishe intake nyengine. Wale wenye mishahara ya 2M-4M wapewe miaka 7!
Wenye mishahara chini ya hapo wapewe ukomo wa 10 years.
Hii itasaidia Graduates wakapate uzoefu katika taaluma zao na kujipatia mitaji katika miaka watakayokuwa kazini. Wakitoka ni aidha waunganishe mitaji waanzishe viwanda. Au kila mtu afanye uzalishaji binafsi.
Kwa mawazo yangu ndio naona ni namna pekee ya kufuta umaskini nchini na kuondosha tatizo la ajira.