muda huu watakuwa wameshalalawapo wengi sana wee hujui
View attachment 33625una cheki hiyo tafakari makini
Hayawezi kukosekana humu, mengine hata magazeti hayasomi wala taarifa ya habari hayaangalii yanasubiria tu JF ndo yaelimike!! Sasa lini yatakuja kusaidia wananchi? Wizi mtupuu....wapo wengi sana wee hujui
Kweli kabisa mkuu ni kupinga kwa nguvu zote.halfu wote sasa ni CCM halafu haohao wakiskia posho inaongelewa wanaamka na kupinga vikali ..Dah hii kweli kiboko ila ndo mjionee majabu ya nane hayo ya dunia
akajidai kujitetea eti alimeza dawa, swali lng likawa km alimeza dawa na akajua wazi kuwa lazima atalala bungeni alienda kufanya nini?kulala Au posho?View attachment 33625una cheki hiyo tafakari makini
Siunajua kipindi cha mkutano mjengoni makaba wote nchi nzima wanahamia Dom, usiku kucha wanawaliza haya majamaa... Kinafofuata mchana bungeni?Imeandikwa ole wao waubadilishao usiku kuwa mchana, na azinie na mwanamke hana akili kbs (asie mkewe lakini).Jiulize ni nini hasa kinawafanya hawa majamaa kila siku wanalala bungeni kama si kutokulala usiku? Na tunajua kuwa asilimia kubwa hawaendi na wake zao!, inatisha! Na kwa style hi maendeleo mtakuwa mnayasikilizia kwa wenzenu tu.halfu wote sasa ni CCM halafu haohao wakiskia posho inaongelewa wanaamka na kupinga vikali ..Dah hii kweli kiboko ila ndo mjionee majabu ya nane hayo ya dunia
nyie ni matakataka mliodanganya wapiga kura maskini!ovyoo,mnafikiri huo mshahara utawapeleka wapi?????????????