wamegundua kwamba Sita anapenda sana Madaraka,ni rahisi kukaa kimywa ili mradi asifiwe hata kama sifa ni za kumkejeli. kama ni kupongezwa angepongezwa na vyama vya upinzani, kwani wabunge wa ccm ndio waliotoa kwenye uspika,Sita analijua hilo lakini kwa kuwa ni mtu wa kupenda kusifiwa anaona ni sawa kusifiwa na wasaliti wake,ila hii ni Mungu anabainisha ujinga wa ccm,ikifika 2013 hata wale wagumu wa kuelewa watakuwa wameelewa ujinga na fitina za ccmSpika Wa Bunge Mama Anna Makinda akihitimisha kikao cha leo cha Bunge ametangaza kuwa kesho 21.06.2013 baada ya kipindi cha maswali na majibu Bunge litaangusha sherehe kubwa sana ya kumpongeza Mh. Sitta kwa kuliongoza Bunge la 9 kwa ufanisi mkubwa!
Wanajamvi;
Kweli tangazo hilo limeniacha mdomo wazi. Hayo ndiyo matumizi sahihi ya kodi zetu kweli?...kufanya starehe na Tafrija za Unafiki?
Kama Spika Sita alifanya kazi inayostahili kupongezwa, mbona aliondolewa kwa mizengwe, aibu na kejeli vile?
Nisaidieni.
Wana hamu tu ya kuambukizana ukimwi
Baada ya tangazo hilo, mpiga kamera akamlenga yeye, naye bila kusita aka'display tabasamu la kinafiki!Mh Sitta, waTZ watakushangaa sana kama kweli utakubali hili. Wabunge mtampongezaje miaka mitatu baadaye wakati mlimkataa asiendelee kuongoza bunge lenu! Jamani acheni utani... tuna mengi muhimu zaidi ya utani hu.
Spika Wa Bunge Mama Anna Makinda akihitimisha kikao cha leo cha Bunge ametangaza kuwa kesho 21.06.2013 baada ya kipindi cha maswali na majibu Bunge litaangusha sherehe kubwa sana ya kumpongeza Mh. Sitta kwa kuliongoza Bunge la 9 kwa ufanisi mkubwa!
Wanajamvi;
Kweli tangazo hilo limeniacha mdomo wazi. Hayo ndiyo matumizi sahihi ya kodi zetu kweli?...kufanya starehe na Tafrija za Unafiki?
Kama Spika Sita alifanya kazi inayostahili kupongezwa, mbona aliondolewa kwa mizengwe, aibu na kejeli vile?
Nisaidieni.