VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Wamekuwa kero kwelikweli kwetu. Wanaheshimiwa kuliko waheshimiwa wa chama na Serikali. Tunawajadili,hawajadiliki.Mipango dhidi yao tunaipanga,inapanguka. Kwakweli,ni kero hasa. Wanawaaminisha watanzania kuwa chama chao kinaweza kuwa na viongozi bora na wasemaji wazuri. Wanaanza kueleweka. Ni hawa:
Freeman Aikaeli Mbowe-Hai, Philemon Ndesamburo-Moshi Mjini,John John Mnyika-Ubungo, Vincent Nyerere-Musoma Mjini, Mchungaji Peter Msigwa-Iringa Mjini, Halima Mdee-Kawe, Godbless Jonathan Lema-Arusha Mjini, Joshua Nassari-Arumeru Mashariki, Tundu Lissu-Singida Mshariki, Ezekiel Wenje- Nyamagana, Joseph Mbilinyi-Mbeya Mjini, mwanangu Silinde wa Mbozi Magharibi na Joseph Selasini wa Rombo.
Amini nawaambia,Wabunge hawa ni kero kuu kwetu CCM na ni mtaji mkubwa wa CHADEMA kama sehemu ya UKAWA. Wana mizizi migumu majimboni mwao. Kuwang'oa yatubidi kuongeza nguvu. Ili wasimwage sumu yao Tanzania nzima.
Mapambano yanaendelea lakini!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Freeman Aikaeli Mbowe-Hai, Philemon Ndesamburo-Moshi Mjini,John John Mnyika-Ubungo, Vincent Nyerere-Musoma Mjini, Mchungaji Peter Msigwa-Iringa Mjini, Halima Mdee-Kawe, Godbless Jonathan Lema-Arusha Mjini, Joshua Nassari-Arumeru Mashariki, Tundu Lissu-Singida Mshariki, Ezekiel Wenje- Nyamagana, Joseph Mbilinyi-Mbeya Mjini, mwanangu Silinde wa Mbozi Magharibi na Joseph Selasini wa Rombo.
Amini nawaambia,Wabunge hawa ni kero kuu kwetu CCM na ni mtaji mkubwa wa CHADEMA kama sehemu ya UKAWA. Wana mizizi migumu majimboni mwao. Kuwang'oa yatubidi kuongeza nguvu. Ili wasimwage sumu yao Tanzania nzima.
Mapambano yanaendelea lakini!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam