wakuu
Salaam
Kwanza nianze kwa kusema mimi ni mwanachama hai wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA tena inaweza kuwa nimejiunga siku nyingi kuliko wewe lakini ngoja lro niseme ukweli mtupu.
Kumekuwa na hili neno "mzigo" linalotumika sana kwenye siasa na niukweli usiopingika kuwa viongozi wa chama cha mapinduzi wengi (almost all) ni mizigo tena mizigo mikubwa sana lakini hata sisi wapinzani tuna mizigo yetu.
kwa upande wangu mimi na kwa chama changu cha CHADEMA mizigo hiyo ni
1) John Shibuda
Huyu kila mtu anajua alivyo tatizo ndani ya chama chetu na sijui ni kwanini tulikubali kupokea huu mzigo uliowashinda CCM .
Kitu anachokiweza ni mipasho na misemo yake bungeni hana la ziada
fani aliyobobea ni kuhama vyama na kuanzisha malumbano yasiyo na tija ndani ya vyama
2) Mh. prof. Kahigi
huyu mzee nadhani alishinda ubunge kwasababu ya tittle yake ya "uprof"ndicho kigezo alichotumia kuwahadaa wananchi wakampa ubunge lakini kujenga hoja hawezi kabisa nilitegemea angeleta michango muhimu kwenye kambi ya upinzani kama msomi lakini wapi.
3)Mh.machemli
huyu mimi sijawai hata kumuona akiongea bungeni japo mimi ni mfuatiliaji mzuri wa vikao vya bunge kwanza sidhani hata bungeni kama anaendaga muulize mwanachama yeyote wa CHADEMA kama alishawai kusikia kama kuna mtu anaitwa machemli wewe mwanachama wa CHADEMA unamjua huyu mtu japo kwa sura tu?
4)Mh. Opulukwa
Huu tena ni mzigo mwingine usiobebeka hata sihitaji kufafanua kila mtu analielewa hili.
5)mh. Kiwia Highness
Huyu labda kwa sababu ya ugonjwa wake kila mara analazwa nje ya nchi kidogo siwezi nikamuongelea lakini kama tunataka hili jimbo liendelee kubaki kwetu tumtute kamanda mwingine tusonge mbele
6) Mh. Selasini
Kiukweli huyu mzee hawezi chochote sio jimboni bungeni wala kwenye chama ni mzigo mkubwa tusipoangalia hili jimbo tutalikosa.
7) mustapha akonaay
CHADEMA bado inaushawishi kwenye jimbo la mbulu lakini tusipokuwa makini tukausimamisha mzigo huu jimbo tutalipoteza
8) Wabunge wote wa viti maalum
Kiukweli sijaona mbunge yeyote wa viti maalum chadema ambaye sio mzigo wote ni "empty set". Nilitegemea kuona wabunge wa viti maalum wenye kaliba ya Mdee wa bunge la tisa akiwa mbunge wa viti maalum lakini wapi hawa wote ni mizigo mitupu.
Hakuna kazi wanayofanya sio ndani ya bunge wala nje ya bunge wala kazi za chama. Nijuavyo mimi ubunge wa viti maalum ni kwaajili ya kuwajengea uwezo na platform ili wawe wabunge wa majimbo kabisa (mfano Mdee) lakini hawa hawana uelekeo wowote.
Embu jiulize CHADEMA ina wabunge zaidi ya ishirini wa viti maalum wewe unawajua wangapi ?wanafika watano ...!! yupi mwenye uwezo wa kuwa mbunge wa jimbo!
Nakishauri chama changu kuwapiga chini hii "MIZIGO" yote uchaguzi ujao.
NB: Nitajitolea fedha za fomu na kampeni kwa kijana yoyote atakayeonesha nia kwenye majimbo tajwa hapo juu.
kilaza
Salaam
Kwanza nianze kwa kusema mimi ni mwanachama hai wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA tena inaweza kuwa nimejiunga siku nyingi kuliko wewe lakini ngoja lro niseme ukweli mtupu.
Kumekuwa na hili neno "mzigo" linalotumika sana kwenye siasa na niukweli usiopingika kuwa viongozi wa chama cha mapinduzi wengi (almost all) ni mizigo tena mizigo mikubwa sana lakini hata sisi wapinzani tuna mizigo yetu.
kwa upande wangu mimi na kwa chama changu cha CHADEMA mizigo hiyo ni
1) John Shibuda
Huyu kila mtu anajua alivyo tatizo ndani ya chama chetu na sijui ni kwanini tulikubali kupokea huu mzigo uliowashinda CCM .
Kitu anachokiweza ni mipasho na misemo yake bungeni hana la ziada
fani aliyobobea ni kuhama vyama na kuanzisha malumbano yasiyo na tija ndani ya vyama
2) Mh. prof. Kahigi
huyu mzee nadhani alishinda ubunge kwasababu ya tittle yake ya "uprof"ndicho kigezo alichotumia kuwahadaa wananchi wakampa ubunge lakini kujenga hoja hawezi kabisa nilitegemea angeleta michango muhimu kwenye kambi ya upinzani kama msomi lakini wapi.
3)Mh.machemli
huyu mimi sijawai hata kumuona akiongea bungeni japo mimi ni mfuatiliaji mzuri wa vikao vya bunge kwanza sidhani hata bungeni kama anaendaga muulize mwanachama yeyote wa CHADEMA kama alishawai kusikia kama kuna mtu anaitwa machemli wewe mwanachama wa CHADEMA unamjua huyu mtu japo kwa sura tu?
4)Mh. Opulukwa
Huu tena ni mzigo mwingine usiobebeka hata sihitaji kufafanua kila mtu analielewa hili.
5)mh. Kiwia Highness
Huyu labda kwa sababu ya ugonjwa wake kila mara analazwa nje ya nchi kidogo siwezi nikamuongelea lakini kama tunataka hili jimbo liendelee kubaki kwetu tumtute kamanda mwingine tusonge mbele
6) Mh. Selasini
Kiukweli huyu mzee hawezi chochote sio jimboni bungeni wala kwenye chama ni mzigo mkubwa tusipoangalia hili jimbo tutalikosa.
7) mustapha akonaay
CHADEMA bado inaushawishi kwenye jimbo la mbulu lakini tusipokuwa makini tukausimamisha mzigo huu jimbo tutalipoteza
8) Wabunge wote wa viti maalum
Kiukweli sijaona mbunge yeyote wa viti maalum chadema ambaye sio mzigo wote ni "empty set". Nilitegemea kuona wabunge wa viti maalum wenye kaliba ya Mdee wa bunge la tisa akiwa mbunge wa viti maalum lakini wapi hawa wote ni mizigo mitupu.
Hakuna kazi wanayofanya sio ndani ya bunge wala nje ya bunge wala kazi za chama. Nijuavyo mimi ubunge wa viti maalum ni kwaajili ya kuwajengea uwezo na platform ili wawe wabunge wa majimbo kabisa (mfano Mdee) lakini hawa hawana uelekeo wowote.
Embu jiulize CHADEMA ina wabunge zaidi ya ishirini wa viti maalum wewe unawajua wangapi ?wanafika watano ...!! yupi mwenye uwezo wa kuwa mbunge wa jimbo!
Nakishauri chama changu kuwapiga chini hii "MIZIGO" yote uchaguzi ujao.
NB: Nitajitolea fedha za fomu na kampeni kwa kijana yoyote atakayeonesha nia kwenye majimbo tajwa hapo juu.
kilaza