Atubela
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 749
- 854
Kutokana na hali inavyoendelea sasa kuna bahadhi ya wabunge wa upinzani wanaonekana dhairi hawatarudi tena katika bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ukimuondoa Mzee Ndesamburo ambae hatarudi kulingana na afya yake, lakini jimbo lake tayari lishaonekana kurudi CCM, kutokana na mtu wanaetegemea kumsimamisha kuwa hauziki, au kutokana na dini yake... (si unajua chama chetu)
1. Ezekiel Wenje
2. Highness Kiwia Huyu na Wenje waliupata ubunge kutokana na vita baridi iliokuwepo kati ya Masha na
3 Godbless Lema huyu Arusha ndio hawataki hata kumsikia akigombea hata udiwani
4 Mchungaji Msigwa Huyu nae aende akachunge kondoo wa Iringa, ukichukulia Chaguo lao lilikuwa Mwakalebela.
5 Joseph Mbilinyi
6 Tundu Lissu Huyu ndio Kabisaaa
7 John Mnyika Hili jimbo la huyu jamaa, mwenyewe Nape Nnauye
Jimbo la Shibuda anarudi nalo CCM na Makamu mwenyekiti wao Arfi kwakua hatagombea, jimbo lake linarudi CCM
Kama kuna wengine waweke lakini hawa wakirudi nipigwe ban ya maisha JF
Ukimuondoa Mzee Ndesamburo ambae hatarudi kulingana na afya yake, lakini jimbo lake tayari lishaonekana kurudi CCM, kutokana na mtu wanaetegemea kumsimamisha kuwa hauziki, au kutokana na dini yake... (si unajua chama chetu)
1. Ezekiel Wenje
2. Highness Kiwia Huyu na Wenje waliupata ubunge kutokana na vita baridi iliokuwepo kati ya Masha na
3 Godbless Lema huyu Arusha ndio hawataki hata kumsikia akigombea hata udiwani
4 Mchungaji Msigwa Huyu nae aende akachunge kondoo wa Iringa, ukichukulia Chaguo lao lilikuwa Mwakalebela.
5 Joseph Mbilinyi
6 Tundu Lissu Huyu ndio Kabisaaa
7 John Mnyika Hili jimbo la huyu jamaa, mwenyewe Nape Nnauye
Jimbo la Shibuda anarudi nalo CCM na Makamu mwenyekiti wao Arfi kwakua hatagombea, jimbo lake linarudi CCM
Kama kuna wengine waweke lakini hawa wakirudi nipigwe ban ya maisha JF
Hii ni orodha ya wabunge ambao endapo watathubutu kugombea ubunge hawawezi kuchaguliwa kutoka na ku-perform chini ya kiwango labda kwa hila ndio wanaweza kushinda katika uchaguzi mkuu ujao.
Hawa ndio wenyewe:
1.Assumpter Mshana
2.Hawa Ghasia
3.John Cheyo
4.Augustine Mrema
5.John Shibuda
6.John Komba
7.Prof.Msolla
8.Steven Wassira
9.William Lukuvi
10.Samweli Sitta
11.Makongoro Mahanga
12.Abbas Mtemvu
13.Job Ndugai
14.Livingstone Lusinde
15.Richard Ndassa
16.Said Nkumba
17.Ezekiel Maige
18.Andrew Chenge
19.William Ngeleja
20.Mfutakamba
21.Adam Malima
22.Aden Rage
23.Suleiman Nchambi
24.Said Arfi
25.Pro.Juma Kapuya
26.Mathayo David
27.John Chiligati
28.Shukuru Kawambwa
29.Mulugo
30.Prof.Maghembe
31.Hamad Rashidi
32.Mama Sitta
33.Lucy Nkya
34.Godfrey Mgimwa
35.Emmanuel Nchimbi
36.Mathias Chikawe.
37.Fenera Mkongoro
38.Festus Limbu.
39.Nyambari Nyangwine
40.Nimrod Mkono(huyu kurudi au kutorudi ni 50 kwa 50)
41.Dr.Mwakyembe(huyu nae ni 50 kwa 50)
42.Dr.Peter Kafumu
43.Cellina Kombani.
Wabunge wengi wa CCM wa mikoa ya Mtwara na Morogoro hawatarudi bungeni.
Hao ni baadhi ambao naamini hawawezi rudi bungeni baada ya uchaguzi mkuu na baadhi yao wataishia kushindwa kwenye kura za maoni tu.
Natabiri uwezekano wa kulazimika kuwa na serikali ya mseto baada ya uchaguzi mkuu ingawa nadhani hili ni swala la kikatiba.
Yaliyotokea Zanzibar hayako mbali kutokea na huku bara.
Upinzani unakua kwa kasi ili hali CCM nayo inaporomoka kwa speed ya rocket.