Wabunge Chiku Abwao, Mhonga watimkia ACT-Wazalendo

Wabunge Chiku Abwao, Mhonga watimkia ACT-Wazalendo

Fede Masolwa

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2013
Posts
529
Reaction score
123
Chiku Abwao, Huyu ni mwenyekiti mkoa wa Iringa CHADEMA, aliyempa tabu sana mh. Lukuvi jimboni kwake.

Wabunge 10 wamehama vyama walivyokuwa wanachama walipoingia Bungeni mwaka 2010. Katika hao

i) 1 ( John Shibuda) kajiunga na TADEA,

ii) 2 ( Said Arfi, Leticia Nyerere na Philipa Mturano) wamejiunga na CCM,

iii) 2 ( James Lembeli na Esther Bulaya) wamejiunga CHADEMA na

iv) 5 ( Moses Machali, Mhonga Ruhwanya, Chiku Abwao, Anna-MaryStela Mallack na Zitto Kabwe) sasa ni wanachama wa ACT.


Chanzo: Zitto
 
Mmh, pana shida.

Wabunge 10 wamehama vyama walivyokuwa wanachama walipoingia Bungeni mwaka 2010. Katika hao 1 ( John Shibuda) kajiunga na TADEA, 2 ( Said Arfi na Philipa Mturano) wamejiunga na CCM, 2 ( James Lembeli na Esther Bulaya) wamejiunga CHADEMA na 5 ( Moses Machali, Mhonga Ruhwanya, Chiku Abwao, Anna-MaryStela Mallack na Zitto Kabwe) sasa ni wanachama wa ACT.
 
Pengine:

1. Alitamani kugombea ubunge kwa tiketi ya CHADEMA ila amekosa nafasi hiyo baada ya Msigwa kuibuka kidedea?

2. Ana mahaba na siasa za Zitto toka awali na hivyo amemua kumfuata ACT-Wazelendo?

3. Labda, labda, labda.....

Mwisho: ana uhuru kufanya apendacho ilimradi hajavunja sheria yoyote.
 
Wabunge 10 wamehama vyama walivyokuwa wanachama walipoingia Bungeni mwaka 2010. Katika hao 1 ( John Shibuda) kajiunga na TADEA, 2 ( Said Arfi na Philipa Mturano) wamejiunga na CCM, 2 ( James Lembeli na Esther Bulaya) wamejiunga CHADEMA na 5 ( Moses Machali, Mhonga Ruhwanya, Chiku Abwao, Anna-MaryStela Mallack na Zitto Kabwe) sasa ni wanachama wa ACT.

Source: facebook ya Zitto Kabwe

Lengeri
 
Uzuri wa watu wa CDM nipale mwanachama wa CDM anapo hama kuhamia chama kingine huitwa msaliti
Lakini akitokea chama kingine na kujiunga na CDM huitwa KAMANDA.
Hataka kama ni mchafu vipi au kama kafukuzwa au kazeeka mpaka kucha zinangonka achilia meno basi wao watampachika majina mazuri tu.
 
LESIRIAMU
Ndugu acha mihemko. Kwenye siasa kila chama hutangaza sera zake na wateja wakuziguata hizo sera ni wananchi wooote bila kujali yupo chama gani. Kwahiyo ukiona mwanachama kakihama chama ujue alikoelekea ndiko anakoamini kuna sera nzuri . Pia usijitie ujinga kuwa upinzani ni cdm tu bali ujue hata ACT ni wapinzani tena wenye sisa za uhakika.
 
Last edited by a moderator:
Kwa ulivyoandika tu mie naamini wewe ni mtoto au ni mkubwa lakini bado una akili za kitoto. Unamtukanaje mtu ambaye hajakutukana?!!!
 
Pengine:

1. Alitamani kugombea ubunge kwa tiketi ya CHADEMA ila amekosa nafasi hiyo baada ya Msigwa kuibuka kidedea?

2. Ana mahaba na siasa za Zitto toka awali na hivyo amemua kumfuata ACT-Wazelendo?

3. Labda, labda, labda.....

Mwisho: ana uhuru kufanya apendacho ilimradi hajavunja sheria yoyote.

Kwa alivyokuwa nadhan no. 2 ni sawa.
 
Uzuri wa watu wa CDM nipale mwanachama wa CDM anapo hama kuhamia chama kingine huitwa msaliti
Lakini akitokea chama kingine na kujiunga na CDM huitwa KAMANDA.
Hataka kama ni mchafu vipi au kama kafukuzwa au kazeeka mpaka kucha zinangonka achilia meno basi wao watampachika majina mazuri tu.

Huo ndio mfumo wa kivita duniani pote, na hii ni vita ya kumtoa mkoloni mweusi. Anayejitoa kwenye vita ni msaliti na anayejiunga na mapambano ni Kamanda.
Nyie nanyi waiteni majina mpendayo. Mbwa wangu mie simwiti mbwa ana jina lake lakini siwezi kukuzuia kumwita mbwa.
 
Baada ya kushika ubunge kupitia NCCR mageuzi CDM ikamchukua baadae baada ya kuchoka sana,
Maana ukifikia hatua unatembea hadi na vijana wadogo wa chuo kikuu Tumaini pale Semtema mradi kula boom lao ujue wwe umechooka,
CDM ikampa hisani akapata viti maalumu, sasa amenyea kambi, namuonea huruma

Makubwa!!!

NCCR via CDM to ACT from CCM.

Kama ni hivi basi sina swali.
 
Sio Mch.Msigwa,ni kijana mmoja,Makamu mwenyekiti BAVICHA taifa,anaitwa Patrick ole Sosopi.
Pengine:

1. Alitamani kugombea ubunge kwa tiketi ya CHADEMA ila amekosa nafasi hiyo baada ya Msigwa kuibuka kidedea?

2. Ana mahaba na siasa za Zitto toka awali na hivyo amemua kumfuata ACT-Wazelendo?

3. Labda, labda, labda.....

Mwisho: ana uhuru kufanya apendacho ilimradi hajavunja sheria yoyote.
 
Back
Top Bottom