Wabunge chadema noma

Wabunge chadema noma

Hawajachanganyiwa na kaumbwa kweli hapo!?
 
Hongereni sana make hyo ni typical interior..a place where you can know about common people
 
Mkuu ZITTO KABWE nimekukubali, nafurah umerudi kundin vyema!
 
Hii ndiyo tunayoongea ...................walk the talk................safi saaana makamanda wa nguvu ya umma.......tunawakubali na mnatuwakilisha vilivyo .....mpaka kieleweke.....ccm na magamba yao wanapata kiwewe mlivyo kiteam mnatisha na moto wenu kwa ujumla na falsafa mnayoisimamia ndio ukombozi wa taifa hili. Hakuna kurudi nyuma mbele daima mpaka tuizike ccm chama cha magamba
 
Hiyo ni ishara nzuri kwamba kweli wanazunguka vijijini. natarajia kusikia ni matawi mangapi mapya yamefunguliwa kote kote - mijini na vijijini , na idadi ya 'waongofu' wapya. kazi mbele kwa mbele....
 
Akhsante sana ZITTO KABWE kwa kuonyesha ukomavu wa kisiasa katika siku za karibuni....

lazima kamanda kama wewe ujue unatusemelea wengi wa watanzania....lakini huwezi na hutaweza ukiwa peke yako.....

tunashukuru umetambua vyema falsafa ya kufanya kazi kama chama....

binafsi nilijiunga na chadema baada ya kuona ule mtikisiko uliotaka kutokea kupitia kwako mara baada ya uchaguzi.......

ili kwamba hata ukijitoa nichangie kuziba pengo lako....

ni kwa gharama kubwa, lakini yote hii sababu naipenda tanzania....tanzania yenye neema tele kwa kila raia wake........

sasa nimeanza kupata amani na imani kwako..

mungu akubariki sana
 
Safi sana!!!!!!! lishe ni muhimu kisha tusilale bado tuna kazi nzito mbele yetu.
 


Nimeipenda sana. Nawapa Hi na Big up kubwa. Saaafi sana!
It shows and proves that CDM is a peoples' Party and Peoples'Power.

Sijawahi mwona Mbunge yeyote wa Chama Cha Magamba-CCM au CUF akila huku ameketi kwenye mkeka kijijini na kujichanganyika na wenyeji/wananchi kiasi hiki!!!

Hii ni kampeni tosha kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa 2015! Hongereni sana Wabunge wetu wa CDM. 2015 lazima TUTINGE IKULU!
 
Back
Top Bottom