Ah,nyumbani kijijini kuzuri sana japo umeme hakuna na bara bara ni mbovu. Ila hakuna BP na kisukari sana!
Wapendwa wana-JF, hakika halina ubishi tena CHADEMA mpo juu. Swali ni je, mtamantain hii kasi hadi 2015?
Pamoja na kwamba mpo juu, tafadharini nisaidie kujua japo kwa ufupi kiwango cha elimu na wasifu wa kila mmoja wa hawa waheshimiwa sana:
1. Mh, Mbowe(Hai)
2. Mh. Silinde Ernest (Mbozi West)
3. Mh. Vicent Nyerere (Musoma Urban)
4. Mh. Godbless Lema (Arusha Urban)
5. Mh. Ezekia Wenje (Nyamagana)
6. Mh. Joseph Selasini (Rombo)
7. Mh. Mch. Peter Msigwa (Iringa Urban)
8. Mh. Joseph Mbilinyi (Mbeya Urban)
Huwezi jua, ya Mungu mengi hawa wanaweza kuwa baadhi ya mawaziri (wasio vivuli) ktk Serikali yetu hivi karibuni (2015 ound
Noma nini hapo? kama wanakula hivyo ndio tuwapewe nchi???
Hapo ndio naamini kumbe CCM hakuna mwenye akili timamu ndio wewe wamekutuma uje kujibu hoja hapa kwa niaba ya Kina Mwakyembe? Hivi Silinde si amegraduate UD mwaka jana baada ya kupata Ubunge? Msigwa huna taarifa kama ni graduate? Mbowe Je, hakugraduate Hull University? Punguza chuki bro na kuwa mkweli, sio lazima uikubali CDM lakini kwa baadhi ya mambo ni vizuri kuwa mkweli itakujengea heshimaMkuu mbona unataka kuleta maneno hawa wabunge wote sidhani kama kuna aliyezidi kidato cha tano
huyu profesa.phd kikwete kakusaidia nini?Mkuu mbona unataka kuleta maneno hawa wabunge wote sidhani kama kuna aliyezidi kidato cha tano
kuweni wakali ila ukweli utabaki pale pale hawana elimu dunia ya kueleweka mfano kimbelembele lema na fujo zake mwambieni atulize akili vinginevyo anaharibu chama chenuhuyu profesa.phd kikwete kakusaidia nini?
kuweni wakali ila ukweli utabaki pale pale hawana elimu dunia ya kueleweka mfano kimbelembele lema na fujo zake mwambieni atulize akili vinginevyo anaharibu chama chenu
Wewe kweli ni chakula ya MagambaNoma nini hapo? kama wanakula hivyo ndio tuwapewe nchi???