mcubic
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 10,310
- 6,548
Linamilikiwa na James Rugemalila kwa ushirikiano na Reginald MengiHilo gazeti ni la nani kwanza? maana isije ikawa yale ya Lumumba au pro-Lumumba....lakini kwa hoja hiyo ni nzuri ila nadhani hicho ni kigezo kati ya vigezo.
Hivi Mwenyekiti wa CHADEMA ana shahada ya fani gani vile?
Soma vizuri, huu utaratibu umeanzishwa na CHADEMA, hauwahusu wabunge wa ccm. Wao wataendelea na hao wanaojua kusoma na kuandika akina prof maji marefu, jah people (std iv) nk. ccm oyeeeeeeNi sahihi kabisa. Kwa hali ilivyo kwa nyakati hizi Hatuitaji STD 7 kama wakina Prof Maji Marefu au Zuberi Mtemvu kuingia mjengoni kuwawakilisha wananchi.
Loading October....