Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,834
- 18,836
Unafuka moshi wa kuni mbichiBajeti ni nzuri na inapita bila shida yoyote.
Halima mdee ni mkombozi na shujaa ambae JMT haitakuja kumsahau
Bajeti ni ya serikali au ya chama?Upigaji wa kura kwa bajeti ya 2022/2023 unaendelea Bungeni ambapo wabunge wote wa CCM wamepiga kura ya ndio huku wa Chadema na ACT wakisema hawana maamuzi
Najiuliza ni kwa nini hawaonyeshi shukrani kwa Serikali ya CCM iliyowaweka na kuwalinda Bungeni?
Kweli tupu wanatakiwa kuishukuru CCM kwa maovu yaoUpigaji wa kura kwa bajeti ya 2022/2023 unaendelea Bungeni ambapo wabunge wote wa CCM wamepiga kura ya ndio huku wa Chadema na ACT wakisema hawana maamuzi
Najiuliza ni kwa nini hawaonyeshi shukrani kwa Serikali ya CCM iliyowaweka na kuwalinda Bungeni?
Ni suala la mudaUnafuka moshi wa kuni mbichi
Hapo ndiyo ujue kuwa hao wabunge wa Chadema, weshaona kuwa wenzao wa CCM, weshawatosa!Upigaji wa kura kwa bajeti ya 2022/2023 unaendelea Bungeni ambapo wabunge wote wa CCM wamepiga kura ya ndio huku wa Chadema na ACT wakisema hawana maamuzi
Najiuliza ni kwa nini hawaonyeshi shukrani kwa Serikali ya CCM iliyowaweka na kuwalinda Bungeni?
Naam, na 2025 itabidi tumpe fomu agombee urais kupitia Umoja Party, maana ndiye pekee anayeweza kuendeleza legacy ya JPM, CCM ya sasa ni ya mafisadi...Bajeti ni nzuri na inapita bila shida yoyote.
Halima mdee ni mkombozi na shujaa ambae JMT haitakuja kumsahau
Chama si ndio kinaimiliki Serikali?Bajeti ni ya serikali au ya chama?
Naam, na 2025 itabidi tumpe fomu agombee urais kupitia Umoja Party, maana ndiye pekee anayeweza kuendeleza legacy ya JPM, CCM ya sasa ni ya mafisadi...
Ipo Malawi inasukwa barabara kabisa!Hivi bado umoja party ipo. Ilikuja kwa kasi ila imeondoka kwa kasi zaidi.
Wanaonesha kuwa wao ni wapinzani ikizingatiwa kuwa kutokana na uchache wao, kura yao haina madhara maana walioipigia kura ya kuikubali (CCM) ni wengi zaidi. Wako kimkakati zaidi!!!Upigaji wa kura kwa bajeti ya 2022/2023 unaendelea Bungeni ambapo wabunge wote wa CCM wamepiga kura ya ndio huku wa Chadema na ACT wakisema hawana maamuzi
Najiuliza ni kwa nini hawaonyeshi shukrani kwa Serikali ya CCM iliyowaweka na kuwalinda Bungeni?
Upigaji wa kura kwa bajeti ya 2022/2023 unaendelea Bungeni ambapo wabunge wote wa CCM wamepiga kura ya ndio huku wa Chadema na ACT wakisema hawana maamuzi
Najiuliza ni kwa nini hawaonyeshi shukrani kwa Serikali ya CCM iliyowaweka na kuwalinda Bungeni?
Bado ipo mkuu, tunasubiri usajiliHivi bado umoja party ipo. Ilikuja kwa kasi ila imeondoka kwa kasi zaidi.
hawana madharaUpigaji wa kura kwa bajeti ya 2022/2023 unaendelea Bungeni ambapo wabunge wote wa CCM wamepiga kura ya ndio huku wa Chadema na ACT wakisema hawana maamuzi
Najiuliza ni kwa nini hawaonyeshi shukrani kwa Serikali ya CCM iliyowaweka na kuwalinda Bungeni?