View attachment 20076
haya kazi kwenu wadada mnaopenda kwenda na wakati, igeni hii........!!!!!
aisee,ngoja niipeleke hii picha kwa fundi fasta anishonee na mm kama hii maana nimeipenda sana.
tatiana umeulizwa kitambi utakiweka wapi?
mmh makubwa iga ufe
huyu msichana ni mtanzania aliwahi kuwa uk akarudi 2003, yuko dar anafanyakazi ofisi fulani pale quality plaza
Mbongo avae hivyo na hicho kitambi atakiweka wapi?
Waxing jee?!
inaelekea unachukia sana vitambi kwa akina dada, leo sio mara ya kwanza kukusoma kuhusu kitambi
vaa hivi afu panda daladala za mbagala jioni tena wikiendi hapo ndo utakapo prove msemo wa action and reaction are equal and opposite.
si bora angevua kabisa akatembea bila nguo kabisa????. Vikundi vya kutetea haki za akina mama huwa vinakuwa wapi watu kama hawa wanapowadhalilisha akina mama??? Sasa hapo akibakwa atasema kaonewa au yeye amewakaribisha wabakaji???