Wabongo tunapenda kwenda na wakati, tuige na hii!!

Bwaksi

Senior Member
Nov 2, 2010
125
4
137.jpg
Haya kazi kwenu wadada mnaopenda kwenda na wakati, igeni hii........!!!!!
 
Mbongo avae hivyo na hicho kitambi atakiweka wapi?

Waxing jee?!
 
attachment.php

Huyu msichana ni mtanzania aliwahi kuwa Uk akarudi 2003, yuko dar anafanyakazi ofisi fulani pale quality plaza
 
Vaa hivi afu panda daladala za mbagala jioni tena wikiendi hapo ndo utakapo prove msemo wa action and reaction are equal and opposite.
 
inaelekea unachukia sana vitambi kwa akina dada, leo sio mara ya kwanza kukusoma kuhusu kitambi

kiukweli vitambi vinaondoa mvuto sana kwa akina dada hata kama akiwa mrembo basi akiwa acho tu,mh mambo yanakuwa si mabo tena..
 
vaa hivi afu panda daladala za mbagala jioni tena wikiendi hapo ndo utakapo prove msemo wa action and reaction are equal and opposite.

nitajaribu kupita maeneo hayo pindi fund atakapomaliza kunishonea nguo yangu. Nataka nitest zali.
 
Si bora angevua kabisa akatembea bila nguo kabisa????. Vikundi vya kutetea haki za akina mama huwa vinakuwa wapi watu kama hawa wanapowadhalilisha akina mama??? Sasa hapo akibakwa atasema kaonewa au yeye amewakaribisha wabakaji???
 
si bora angevua kabisa akatembea bila nguo kabisa????. Vikundi vya kutetea haki za akina mama huwa vinakuwa wapi watu kama hawa wanapowadhalilisha akina mama??? Sasa hapo akibakwa atasema kaonewa au yeye amewakaribisha wabakaji???

hivi mbona wanabaka hata watu waliojisitiri? Ukiangalia kwa undani sana matukio ya ubakaji utagundua hili.
 
Back
Top Bottom