Ujio wa akili mnemba (artificial intelligence) tishio kwa wabongo

zandrano

JF-Expert Member
Jan 24, 2017
7,148
7,724
Kama ilivyo kawaida yetu wabongo wenzangu huwa ni wagumu kukubali mabadiliko, waoga wa mabadiliko tunapenda kuishi kama tulivyo zoea, hatupendi sana mwingiloano.

Ujio wa Akili Mnemba au Akili Bandia imeanza kutupa kiwewe lakini hatuna jinsi lazima tukubali kuwa matumizi ya tehama ndio kila kitu kwa ulimwengu huu.

Ni kweli usio pingika kuwa matumizi ya akili bandia itapunguza ajira ; kwa maana kazi iliyo kuwa ifanywe na watumishi 10 kwa sasa inaweza kufanywa na akili bandia 1 tu.

Akili bandia inarahisisha kazi na pia itapunguza mlolongo wa kibinaadamu.

Hakuna namna tukubali mabadiliko.
tusipo badilika basi tujuwe kuwa teknolojia itatubadilisha kwa lazima.

USHAURI:
1. Somo la IT mashuleni liwe ni lazima kwa wanafunzi wote lasiwe hiyari, lifundishwe kwa wanafunzi wa fani zote, maana tehama haikwepeki, popote ipo lazima itatumika.
 
Tangu nisikie khs akili bandia kuwakosesha kazi watu ni kitambo sasa
sasa imekuwa kweli.
Maana Taasisi zote za Serikali sasa zitaanza rasmi matumizi hayo.

Tumeshaona kwenye Hospitali zetu.
Katika kutoa haki mahakamani.
Nk.

Hivyo tutegemee ajira kupungua sana.
Sioni sababu ya Serikali kuajidi Lundo la Wafanyakazi wakati akili bandia ipo.
 
sasa imekuwa kweli.
Maana Taasisi zote za Serikali sasa zitaanza rasmi matumizi hayo.

Tumeshaona kwenye Hospitali zetu.
Katika kutoa haki mahakamani.
Nk.

Hivyo tutegemee ajira kupungua sana.
Sioni sababu ya Serikali kuajidi Lundo la Wafanyakazi wakati akili bandia ipo.
Walete na kwenye kilimo
 
sasa imekuwa kweli.
Maana Taasisi zote za Serikali sasa zitaanza rasmi matumizi hayo.

Tumeshaona kwenye Hospitali zetu.
Katika kutoa haki mahakamani.
Nk.

Hivyo tutegemee ajira kupungua sana.
Sioni sababu ya Serikali kuajidi Lundo la Wafanyakazi wakati akili bandia ipo.
Nithibitishie hii
 
sasa imekuwa kweli.
Maana Taasisi zote za Serikali sasa zitaanza rasmi matumizi hayo.

Tumeshaona kwenye Hospitali zetu.
Katika kutoa haki mahakamani.
Nk.

Hivyo tutegemee ajira kupungua sana.
Sioni sababu ya Serikali kuajidi Lundo la Wafanyakazi wakati akili bandia ipo.

Ajira kupungua sana?? Hata sasa watawala wanasema watu wajiajiri
 
Ajira kupungua sana?? Hata sasa watawala wanasema watu wajiajiri
Ndio maana mitaala ya elimu imebadilishwa na kuingiza elimu za ufundi/ujuzi ili tuweze kujiajiri wenyewe sio kuajiriwa.

Ushauri;
1. Somo la IT mashuleni liwe ni lazima kwa wanafunzi wote lasiwe hiyari, lifundishwe kwa wanafunzi wa fani zote, maana tehama haikwepeki, popote ipo lazima itatumika.
 
sasa imekuwa kweli.
Maana Taasisi zote za Serikali sasa zitaanza rasmi matumizi hayo.

Tumeshaona kwenye Hospitali zetu.
Katika kutoa haki mahakamani.
Nk.

Hivyo tutegemee ajira kupungua sana.
Sioni sababu ya Serikali kuajidi Lundo la Wafanyakazi wakati akili bandia ipo.
Natamani pia tutengenezewe wanasiasa (robots) wa akili bandia huenda tukafika mbali maana hawa waliopo sasa karibu wote ni wezi na akili zao ni ndogo hawawezi kutuongoza.
 
sasa imekuwa kweli.
Maana Taasisi zote za Serikali sasa zitaanza rasmi matumizi hayo.

Tumeshaona kwenye Hospitali zetu.
Katika kutoa haki mahakamani.
Nk.

Hivyo tutegemee ajira kupungua sana.
Sioni sababu ya Serikali kuajidi Lundo la Wafanyakazi wakati akili bandia ipo.
Yeap sasa taasisi kubwa zinatumia mpaka mifumo ya automation ,ni rahisi kwa wafanyakazi wa ndani ila waajiriwa wapya watakosa nafasi .

Ukiona hata office unayofanya kama hamna mfumo wa e-office na kuna makaratasi mengi hata kuomba likizo ni makaratasi ,basi tambua hapo ni hovyo .

Ofisi kubwa zishahama nyingi mpaka mpaka july mwaka huu wanaenda kweny automation kabisa.
 
Wakati kompyuta zinaanza kuingia miaka ya 90 tuliaminishwa kwamba kufikia mwaka 2000 kazi zote zitakua zinafanywa na kompyuta hivyo hakutakua na kazi.
 
Back
Top Bottom