Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,036
- 20,337
- Thread starter
- #41
Mkuu jiulize jamaa kajulia wapi kutumia hizo zana.Mbona wapinzani huwa mnawaonea!?? Na kujifanya mu wajuaji!?? Hapo vipi!?? Pambaneni na hali zenu !!!
Eti!! Mtu ana bastola anapora bunduki mbili kwa mpigo!?? Hahaaa hahaa aiseee
Ujue si kitoto hata ungekuwa wewe amejuaje kutumia AK-47