tatizo la wabongo bana, yaani ukisema cheating nyie mnawaza ngono tu. Jamani mbona majanga haya.
sasa nani kakwambia ukavue nguo huko, what i meant is hata ukiwa na boyfriend haina maana huwezi kuwa na mahusiano na vijana wengine hata ya kirafiki tu.
wakati nipo chuo, nilikua na rum mate mmoja yaani alikua boyfriend wake anaitwa john, basi hata mtu akimtania tu yeye utamsikia, "we john atanipiga, mara oh john kanikataza" Basi john akawa john, kilichomkuta alijuta, hivi sasa kaolewa na mwingine ila huwa namkumbushia john wake anabaki kujicheka tu maana alikua mjinga.
yaani mtu eti hataki hata kucheza mziki na kijana mwingine kisa ana boyfriend lol, wake za watu wenyewe tunacheza mbele za waume zetu.
Anyway, nimemaanisha usijifunge akiri yako kwa huyo kaka maana hamna mkataba wowote.
OK BASI, NITARUDI SAA SABA WACHA NIPIGE KAZI ZA WATU