Blessed Keinerugaba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,789
- 4,820
Kweli hii ipo sana, kwa both men and women. Nafikiri ni kukosa uelewa tu; wengine wanafikiri ndio anakupima kama unampenda kweli au sijui anataka tu uone kuwa hujampata kirahisi, amekusumbua! Unaweza kusema pia ushamba na ulimbukeni unahusika hapa. If you can, jaribu kumpunguzia attention uone atafanyaje...ila uwe prepared inaweza ikakuumiza zaidi!
Good advice,kutokuelewa kwa wengi wetu(wao)ndio sababu ya yote hayo!