Wabongo true love sio asili yetu

Wabongo true love sio asili yetu

Hivi kwa nini wabongo ukiwaonesha unawapenda sana wanaanza kukuletea mashauzi kulaleki ngoja karibia mwenzenu atakula hasara akizidisha mashauzi yake maana nakribia kuchoka.
huyo atakuwa amekuchoka tu
 
Hivi kwa nini wabongo ukiwaonesha unawapenda sana wanaanza kukuletea mashauzi kulaleki ngoja karibia mwenzenu atakula hasara akizidisha mashauzi yake maana nakribia kuchoka.

Mimi nakuomba usimuache bwana, utampa wakati mgumu sana....
 
True love ipo...it seems you are too desperate for this relationship.

Kubaa wanaume wengine ukiwapoteze ndo wanaanza kushtuka. Hii ni wengi sana

MadameX : ... and vice versa!! "Kubaa wanawake wengine ukiwapotezea ndo wanaanza kushtuka. Hii ni wengi sana"[/QUOTE]
 
Kweli hii ipo sana, kwa both men and women. Nafikiri ni kukosa uelewa tu; wengine wanafikiri ndio anakupima kama unampenda kweli au sijui anataka tu uone kuwa hujampata kirahisi, amekusumbua! Unaweza kusema pia ushamba na ulimbukeni unahusika hapa. If you can, jaribu kumpunguzia attention uone atafanyaje...ila uwe prepared inaweza ikakuumiza zaidi!
 
Hivi kwa nini wabongo ukiwaonesha unawapenda sana wanaanza kukuletea mashauzi kulaleki ngoja karibia mwenzenu atakula hasara akizidisha mashauzi yake maana nakribia kuchoka.


truelove phillipines.....kibongo bongo utasufer xana,,...ni mwendo wa kupretend 2
 
Bongo unapendwa unapohitajiwa tuu,shida ikiisha hakuna upendo tena
 
bongo hamna true love kila mtu ana mtamani mwenzie tu..
 
chezea vidume wa ukweli...wanakugegeda wakikuchoka wanakuweka kama spare tyre
 
Back
Top Bottom