Wabongo na uchambuzi wa Video

screpa

JF-Expert Member
Sep 10, 2015
10,856
15,864
Baada ya kuangalia comment za wabongo wengi kwa mda mrefu kuhusu video mbalimbali nimegundua wabongo wanapenda video za marangirangi, yaani mbongo akiona umetoa video isiyo ya rangi hata ufanye ubunifu vipi ataiona mbaya tu, mfano video yenye rangi kama ya 'Hello' ya Adele akiitoa msanii wa bongo itaonekena mbaya wakati wazungu kule wanaiona kali hadi wanampa matuzo, so wasanii wa bongo inatakiwa wasome saikolojia za mashabiki wao kabla ya kutoa video. Diamond naona kashatusoma saikolojia yetu Baada ya video ya wimbo wake BumBum aliomshirikisha Iyanya kutofanya vizuri, maana ndo rangi zilezile wasizotaka wabongo, kuanzia hapo anatoa mavideo meupe tu ya Godfather, wasanii wa bongo wekeni akilini hili!!!
 
Adele kapewa tuzo gani ya video bora? Unachanganya madawa, video kuwa black and white inaweza kuwa nzuri kama itaongozwa vizuri ila hii ya Kiba ni mbaya
 
Dogo katika music video production wanaangalia vitu vingi sana kuanzia characters, uchukuaji wa picha, costume design na most important content ya wimbo wenyewe

mfano picha ya black and white ni hii nyimbo ya HOZIER inayoitwa "take me to church" wabongo wa uingereza, ireland wanaujua sana huu ni bonge la video japokuwa imekuwa shoot katika black and white na most important ni CHARACTERS hawa




Tuje sasa kwenye creativity ya director

ndugu zangu wa Australia watakuwa wanamjua Gotye ana goma lake linaitwa "used to know"



hapa ni kuwa content, characters, na wimbo vina relate ni kuwa Gotye alishamdate Kimbra then wakaachana baadae wakatunga hii nyimbo wakiwa wameshaachana ndio maana ikaitwa Used to know na video umeona wote wako uchi ni kuwa ina relate na wimbo wenyewe


tukija high budget videos Coldplay wamewashangaza watu na adventure of a lifetime baada ya kutoa video wakiwa kama manyani





Unafikiri ilikuwa ni kazi rahisi angalia utengenezaji wake hapa






ndio ujue kina Adam Juma wana safari ndefu sana

however tunahitaji kuwekeza sana kwenye ANIMATION STUDIO kwa hapa Tanzania
 
Back
Top Bottom