Wabongo na magari ya kifahari-evoque

TGS D

Senior Member
Aug 3, 2010
114
13
evoque.JPG

Picha kwa hisani ya mdau. Tanzania ni zaidi ya uijuavyo!
 
Ebana ee.....kitu ya ukweli...possible only one in town...wakati unalia shida uiseme hakuna hela....sema sina hela. na pia jiaminishe kuwa Tanzania sio nchi masikini....
 
Dah! Ebwana nomaaa! There are people who are living and there are people who are just surviving! Amini huu usemi nakwambia. Majority of us are just surviving na vi vitz vyetu vya mikopo ambavyo haya home hatuwezi kuvi park tunapark ccm.
 

ManufacturerLand Rover
ProductionJuly, 2011
AssemblyHalewood, England
ClassCompact crossover SUV
Body style3-door SUV
5-door SUV
LayoutF4 layout
FF layout
Engine 2.0 L I4 petrol 240 hp (180 kW)

2.2 L I4 diesel 150 hp (110 kW) / 190 hp (140 kW)
Transmission 6-speed automatic

6-speed manual
Wheelbase2,660 mm (104.7 in)[SUP][1][/SUP]
Length 3-door: 4,355 mm (171.5 in)[SUP][1][/SUP]

5-door: 4,365 mm (171.9 in)[SUP][1][/SUP]
Width1,965 mm (77.4 in)[SUP][1][/SUP]
Height 3-door: 1,605 mm (63.2 in)[SUP][1][/SUP]

5-door: 1,665 mm (65.6 in)[SUP][1][/SUP]
Kerb weight1,670 kg (3,680 lb)[SUP][2][/SUP]
RelatedLand Rover Freelander
DesignerGerry McGovern

<tbody>
</tbody>

Range Rover Evoque - Wikipedia, the free encyclopedia


Hii kitu imekuwa released for 2012!

Tanzania ni zaidi ya uijuavyo!
 
This thing is 2.0 ? Nilisoma review yake a few weeks back kwenye WSJ walili diss kwanza, halafu wakajirudi kusema that was just being over critical.
 
This thing is 2.0 ? Nilisoma review yake a few weeks back kwenye WSJ walili diss kwanza, halafu wakajirudi kusema that was just being over critical.

Nilidhani utakuja na nyepesi nyepesi za matumizi yake ya nishati na mzigo wake kwa mazingira
 
It was my dream car in 2009, niliposkia wanatengeneza. wakati ule website ya LR ilikua inatangaza sana!
Ila sasa naiangalia tu... it is a nice car but...
 
Nilidhani utakuja na nyepesi nyepesi za matumizi yake ya nishati na mzigo wake kwa mazingira

Unaweza kuwapiga wadau guilt trip tupu katika ndoto zao za kumiliki S-Class ya 5.5.

Ila nimependa sana Range Rover walivyoifanya 2.0, yaani unaendesha halafu unakutana na tree hugger mmoja anaanza ku preach unamwambia kimkebe chako kinaunguza wese kuliko dude langu.

Kwa safari hizi za mijini kwenye nchi zenye mikeka hizo 5.5 kuchoma hela na kuharibu mazingira tu.

Oops, nishaanza ku preach.
 
Naona mzee gaijin uko na jamaa yako jino kwa jino hadi nje ya uwanja... Teh teh!

Hahaha mpaka kieleweke wanasema! :p

Tunataka tupewe habari zilizotimia sio tunambiwa wali criticize bila ya kupewa walisema nini

@Mani
Mie nasubiri maelezo yanayohusu mazingira kwanza
 
Back
Top Bottom