Wabongo mnawapa sifa za kijinga simba..

Wabongo mnawapa sifa za kijinga simba..

Yo Yo

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2008
Posts
11,210
Reaction score
1,743
Mie nashangaaa sana....yaani leo kila sehemu ni simba simba eti wanawapa dole tupu kwa kuifunga timu dhaifu ya aljeria....hakuna m[pira wowote tz aisee msiwape sifa wala nini.....waambieni wapige tizi...
 
Acha wivu kwa taarifa yako lig ya algeria uwez ilinganisha na ligi ya bongo na timu unayoiita dhaif ndo inaongza ligi ya kwao,pole hao ndo simba utakufa na roho mbya zko.
 
Mie nashangaaa sana....yaani leo kila sehemu ni simba simba eti wanawapa dole tupu kwa kuifunga timu dhaifu ya aljeria....hakuna m[pira wowote tz aisee msiwape sifa wala nini.....waambieni wapige tizi...

Ww utakuwa Yanga...

Makhnuth mteftef
 
acha majungu wewe wenzako ndo wanaelekea quarter final hivyo!
 
simba hamna lolote,subirini vipigo mfululizo muanze kugombana.
 
haya endeleeni kuwapa kichwa.....mimi siwezi kuwa shabiki wa kilabu kama yanga simba hata siku moja.......
 
haya endeleeni kuwapa kichwa.....mimi siwezi kuwa shabiki wa kilabu kama yanga simba hata siku moja.......

Pilipili usioila inakuwasha nini? Waachie wenye mapenzi na timu zao wazishabikie!!!
 
Utashindwa kushangaa itakapo pigwa na timu inayo taka kushuka daraja si wamebweteka
 
kumpga kibonde nalo limekuwa neno hapa?,ngojen wakachukue 4 algeria,. simba hovyo tu
 
Acha wivu kwa taarifa yako lig ya algeria uwez ilinganisha na ligi ya bongo na timu unayoiita dhaif ndo inaongza ligi ya kwao,pole hao ndo simba utakufa na roho mbya zko.
Afadhali umemchana live mshamba huyo.....
 
Afadhali umemchana live mshamba huyo.....

haya mie mshamba arifu...ila nakuambieni ukweli waambie wachezaji wenu wafanye mazoezi.....msiwaleshe na sifa za kijinga....msiwape milupo leo eti kuwapongeza mnawaua......
wenzenu aljeria wamerudi kwao wakafanye mazoezi.....

mwambieni na raisi anawaite ikulu basi anwapongeze.....
kwa taarifa yako mie sio mshamba..mie mkaksi,mtindiga msenegali mgumu asilia sio mshamba mshamba arifu....
 
Sasa kama ulijua ni timu dhaifu, ilikuwaje ukanunua jezi yao kwenda kuwashangilia? Yanga bana!
 
.....mimi siwezi kuwa shabiki wa kilabu kama yanga simba hata siku moja.......

Kama huwez basi siukae kimya na kuwaachia wanao zishabikia.....kwani wewe ni nani na una kipi hasa mpaka tuthamin msimamo wako? Kama sio shabiki wa hizo timu kaa kimya, mbona kuna wengine hawajui hata footaball ikoje na hawaleti misimamo ya kuziponda timu za football?? Hovyo kabisa wewe...!!
 
haya endeleeni kuwapa kichwa.....mimi siwezi kuwa shabiki wa kilabu kama yanga simba hata siku moja.......
Ha ha ha! Ni kweli mkuu we timu zako ni kama baca, man u, madrid na umezoea sana miji yako ile kama milan, LA, Stockholm! Kule ndo kwako mkuu. Simba tuachie sisi wa kariakoo ndio chetu, acha tujivunie tulicho nacho!
 
Sasa kama ulijua ni timu dhaifu, ilikuwaje ukanunua jezi yao kwenda kuwashangilia? Yanga bana!
endeleeni kupeana sifa....nawaambieni mkawaambie wachezaji wenu wafanye mazoezi na waache anasa na wale chakula bora....basi wataendelea kupata matokeo kama haya....
 
Mie nashangaaa sana....yaani leo kila sehemu ni simba simba eti wanawapa dole tupu kwa kuifunga timu dhaifu ya aljeria....hakuna m[pira wowote tz aisee msiwape sifa wala nini.....waambieni wapige tizi...
Ngoja tuwape dole Yanga.....
 
yoyo ana wivu wa kike.............
arifu sina hizo mie.....ila nawaambieni hamtafika popote kama hawatadfanya mazoezi kwa bidiii na kuzingatia chakula bora....

hivi hao simba ni mpira gani waliocheza jana??? narudia mie sio shabiki wa vilabu vya bongo kamweee.....sishabikii upuuzi wa kariakoo mie
 
Back
Top Bottom