Waarabu wanatuuzia asali kwenye tende

Waarabu wanatuuzia asali kwenye tende

Mimi nimeiona asali na mabaki ndio hayo kwenye picha.Labda ungeniambia sukari guru labda kidogo ningekuelewa. Hakuna cha chemistry, mi nimekulia kwenye matobolwa hayana ute kama wa asali.
Kanunue hio tender ujioneee sio kubisha tu. Asali tele mle, halafu asali sio mpaka itoke Africa Kuna nchi za tropic zipo Asia Zina misitu yakutosha.
Mkuu hizo tende imported ninakula kila mara.

Hakuna cha asali ama sukari gulu iliyochanganywa hapo.

Unachokiona kama magamba ya masega, hayo ni magome ya vichwa vya matunda yaliyokauka!

Chukua tende mbichi ichunguze umbo lake.

Nimetolea mfano wa matovolwa, ni kwa jinsi tunda linavyoweza kubadilika kutoka kwenye hali ya ukakasi likiwa bichi na kufikia hali ya utamu uliopitiliza mfano huo wa asali (chemical reactions)!

Tena hizo tende kwa macho huonekana kama zilishapikwa, kumbe hukaushwa juani tu na hizo mbegu zake ni hai, ukiziatika kwenye udongo baada ya miezi3 zinaota.
 
Mkuu hizo tende imported ninakula kila mara.

Hakuna cha asali ama sukari gulu iliyochanganywa hapo.

Unachokiona kama magamba ya masega, hayo ni magome ya vichwa vya matunda yaliyokauka!

Chukua tende mbichi ichunguze umbo lake.

Nimetolea mfano wa matovolwa, ni kwa jinsi tunda linavyoweza kubadilika kutoka kwenye hali ya ukakasi likiwa bichi na kufikia hali ya utamu uliopitiliza mfano huo wa asali (chemical reactions)!

Tena hizo tende kwa macho huonekana kama zilishapikwa, kumbe hukaushwa juani tu na hizo mbegu zake ni hai, ukiziatika kwenye udongo baada ya miezi3 zinaota.
Mna deal na mtu hamnazo kabisa.Hajui analoandika maskini.
 
Hivi unajua hata ulichoandika?Sad indeed.
We ndio unajua. Uarabu ni utamaduni wa kiislamu sio rangi Wala kabila. Huyo mkiristo anaitwa mwarabu Kwa sababu yupo nchi zanazo practice Arab culture. Arab is a culture not a race. Niletee nukuu zinazosema urabu ni damu na si utamaduni.
 
Mna deal na mtu hamnazo kabisa.Hajui analoandika maskini.
Weka formula Ili uwe mwerevu sio emotions tu. Emotion intelligence ni kielelezo cha ujinga. Naweza kuwa hamnazo kumbe wewe hamnazo zaidi.
 
Baada ya kuambiwa tende zina ongeza ashki ya kiumen, nikaanza kupenda kuzinunua. Nilichogundua ni kwamba Warabu wanakausha tende na kuziunga asali na kutuuzia Waafrika huku tukiwa wazalishaji wakubwa wa wa Asali kila kona ya nchi.

Bado najiuliza Asali yao ni ya Asia au hii hii ya Tabora, kama ni ya Tabora hatuna tofauti na hadithi ya mlugulu na chips za mihogo.

Ndugu zangu watanzania msiojua tende fresh huwa zinaukakasu wa ajabu. Warabu wameunga asali na kutuuzia.

Kumbuka Tanzania na Afrika tende zinastawi sehemu nyingi kuliko hata Avocado ila serikali zetu zimelala usingizi wa fofofo nami nachukua nafasi hii kuziamsha kuwa tunalishwa asali kwa bei kubwaView attachment 2508738

Kujibu swali lako
Unatakiwa ujue kuwa Dates are very sweet; The sugar content in dates is extremely high, and that sugar gets more and more intense as dates dry and moisture leaves the fruit.

halafu pia ujue kuwa;
There are several types of date palm trees that produce luscious fruits. Here are some of the most popular ones
  1. 'Barhi': This variety produces a solid, savory fruit that is best eaten straight from the tree.
  2. 'Deglet Noor': The fruit on this variety is golden and has a honey-like flavor.
  3. 'Fard': This tree produces the fruit most of us recognize as the common date with a dark brown exterior.
  4. 'Dayri': This variety produces an elongated fruit that changes from red to brown to black.
Aina ya pili hapo juu; Deglet Noor', tunda lake lina rangi ya dhahabu na lina ladha kama ya Asali nafikiri ndio hiyo uliyo kula akafikiri imechanganywa na Asali.

Kimsingi tende iliyo oteshwa katika hali ya hewa ya mvua kidogo na joto kali (semi arid/desert) ni Tamu sana sana; Achana na tende zilizo oteshwa huku kwetu kwenye Mvua na joto la kawaida.
Ninachomaanisha ni kuwa; hakuna Sukari wala Asali inayo ongezwa kwenye Tende.
Samahani sikuweza kutafsiri mstari kwa mstari
 
Sisi miaka nenda rudi tunatumia syrup inayobaki baada ya process ya kusindika na kupack hizo tende na yenyewe iko kama asali kabisa ni kimiminika lakini si asali ya nyuki katu ni kama uji uji tu unaotokana na tende, picha naipandisha.
Mkuu Tangantika siku nyingine ufiche uji**a wako usibebeshwe machuki mengi kichwani mpaka ukashindwa kuchambua mbichi na mbivu, kama unahisi hizo tende kutoka bara arabu zinakukera kanunue zile chachu za kutembezwa na wababu kule dodoma.

Unisamehe kwa lugha sikuwa na namna.
View attachment 2509801View attachment 2509802
Sijaona a kituchochote hapo cha maana cha ku prove sio asali au sukari.
 
Baada ya kuambiwa tende zina ongeza ashki ya kiumen, nikaanza kupenda kuzinunua. Nilichogundua ni kwamba Warabu wanakausha tende na kuziunga asali na kutuuzia Waafrika huku tukiwa wazalishaji wakubwa wa wa Asali kila kona ya nchi.

Bado najiuliza Asali yao ni ya Asia au hii hii ya Tabora, kama ni ya Tabora hatuna tofauti na hadithi ya mlugulu na chips za mihogo.

Ndugu zangu watanzania msiojua tende fresh huwa zinaukakasu wa ajabu. Warabu wameunga asali na kutuuzia.

Kumbuka Tanzania na Afrika tende zinastawi sehemu nyingi kuliko hata Avocado ila serikali zetu zimelala usingizi wa fofofo nami nachukua nafasi hii kuziamsha kuwa tunalishwa asali kwa bei kubwaView attachment 2508738
Sio kweli.
Tende haitiwi asali., kawaida tende ikipata joto sana inakua inatoa huo urenda ambao unaita asali,
 
Sijaona a kituchochote hapo cha maana cha ku prove sio asali au sukari.
Kwasababu uko jamiiforums kwa simu tu lakini mwili uko unagombania daladala za mbagala, huoni syrup ya tende hapo? sasa kama kuna syrup unashangaa nini hayo mabaki kwenye package uliyotuma?.
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Mpaka sasa mleta mada amekula za uso kutoka kila upande wa inji hii, upotoshaji hauwezi kunyamaziwa.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Mimi na Mchungaji wangu tunapenda sana tende, na anakula kuliko hao waarabu wenyewe. Ni kweli kuna tende zilizochakachuliwa wanamix na asali hasa kipindi Waislam wakifunga au wakati wa IDD

Sasahv kuna jamaa mmoja Msouth Sudan ndio huwa anatutumia ile OG kabisa wakishavuna tu huko kwao Sudan ya kusini

Ukimix na Maziwa fresh ni balaa tupu

Sikujua kama Sudan wanalima Tende
Miti ya miTende ipo aina tofauti tofauti (different species)
Ukibahatika kuletewa aina inayoitwa Deglet Noor', tunda lake lina rangi ya dhahabu na lina ladha kama ya Asali ndiyo hiyo watu wakiletewa hufikiri imechanganywa na Asali
 
Tulime tu tende zetu na sisi huko sehemu kame
 
Kujibu swali lako
Unatakiwa ujue kuwa Dates are very sweet; The sugar content in dates is extremely high, and that sugar gets more and more intense as dates dry and moisture leaves the fruit.

halafu pia ujue kuwa;
There are several types of date palm trees that produce luscious fruits. Here are some of the most popular ones
  1. 'Barhi': This variety produces a solid, savory fruit that is best eaten straight from the tree.
  2. 'Deglet Noor': The fruit on this variety is golden and has a honey-like flavor.
  3. 'Fard': This tree produces the fruit most of us recognize as the common date with a dark brown exterior.
  4. 'Dayri': This variety produces an elongated fruit that changes from red to brown to black.
Aina ya pili hapo juu; Deglet Noor', tunda lake lina rangi ya dhahabu na lina ladha kama ya Asali nafikiri ndio hiyo uliyo kula akafikiri imechanganywa na Asali.

Kimsingi tende iliyo oteshwa katika hali ya hewa ya mvua kidogo na joto kali (semi arid/desert) ni Tamu sana sana; Achana na tende zilizo oteshwa huku kwetu kwenye Mvua na joto la kawaida.
Ninachomaanisha ni kuwa; hakuna Sukari wala Asali inayo ongezwa kwenye Tende.
Samahani sikuweza kutafsiri mstari kwa mstari
Kwa hio hizo tende zinatoa ute kama wa asali na kutapakaa mfuko wote? Acha kunifanya mi mtoto. Nimezichuma sana tende Huwa zinakauka kau hakuna cha ute wa asali.
Ni sawa ukajasi hupungua zinapokuwa zimekauka ila hazitoi ute mwingi kama huo wa kwenye mfuko.
Mnataka warabu wawaambie kuwa wanaweka asali Ili na nyie muanze kusindika kama waio? Waafrika tuwe wadadisi kama wachina, tutaendelea kulishwa vitu vinavyoota kwetu mpaka lini?
Tofautisha honey flavor na honey.Mi nazungumzia honey iliotapakaa kwenye tende Wala sio ladha(flavor) ya tende. Wew unaleta honey flavor, huoni ni kama vitu viwili tofauti.
Hapa watu wa food science na mabwana nyuki ndio wanaweza nipa majibu ya kisayansi sio ya ku guess.
Maelezo Yako hayajibu swali langu, mfuko huo hapo umebaki na asali, hainingii akilini eti huo ni ute wa tende.Nataka majibu ya kisayansi tafadhali, andiko lako halijitoshelezi, it is very weak evidence.
 
Tende ni tamu tu, ikikaa muda mrefu inazidi utamu, tende haiozi ikatoa funza.. Sijawahi ona hiyo,
Ni kama ndizi kadri inavyokaa inakuwa tamu zaidi.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
We ndio unajua. Uarabu ni utamaduni wa kiislamu sio rangi Wala kabila. Huyo mkiristo anaitwa mwarabu Kwa sababu yupo nchi zanazo practice Arab culture. Arab is a culture not a race. Niletee nukuu zinazosema urabu ni damu na si utamaduni.
Unataka kupanua mada bure bila ya kuwa na ufahamu wa kina wa kihistoria!

Hivi "Arab world" ni nini?

Mtu anapodistinguish race kwamfano: Wachina, Waarabu na Wahindi anakuwa kamaanisha nini kwa kirefu?

Kwa hiyo hata wewe ngozi nyeusi na pua la ubapa kama black Zanzibaris wanaofuata utamaduni wa kiarabu, tayari ni waarabu!
Isee!
 
Unataka kupanua mada bure bila ya kuwa na ufahamu wa kina wa kihistoria!

Hivi "Arab world" ni nini?

Mtu anapodistinguish race kwamfano: Wachina, Waarabu na Wahindi anakuwa kamaanisha nini kwa kirefu?

Kwa hiyo hata wewe ngozi nyeusi na pua la ubapa kama unafuata utamaduni wa kiarabu, tayari ni Mwarabu!
Isee!

Sikurupuki mkuu. Uarabu ni utamaduni was kiislamu. Wale wamisri wanajiita warabu Kwa sababu tu wame adapt utamaduni wa warabu. Kiasilia mafarao sio warabu ila kiutamaduni ni warabu. Huo ni mfano mmmoja.
Kuhusu u tende kuungwa asali nimejiridhisha ni kweli wameunga sukari sio asali.
Nyuma ya mfuko wameandika Kwa kingereza hivyo mada imeisha mjadala uendelee Kwa Nini tuendelee kununua tende wakati kwetu zinastawi? Ndio ulikuwa mzizwa hoja japo Kuna watu wamenishambulia ntawajibu kesho Kwa contents iliowekwa mle.
Kuna watu JF wanajifanya wanajua sana na wasomavkuliko wengine kesho ntawaumbua kuwa hawajui kitubali wao ndio wamekurupuka kupinga bila ushaagidi.
 
Back
Top Bottom