Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 5,806
- 7,414
Baada ya kuambiwa tende zina ongeza ashki ya kiumen, nikaanza kupenda kuzinunua. Nilichogundua ni kwamba Warabu wanakausha tende na kuziunga asali na kutuuzia Waafrika huku tukiwa wazalishaji wakubwa wa wa Asali kila kona ya nchi.
Bado najiuliza Asali yao ni ya Asia au hii hii ya Tabora, kama ni ya Tabora hatuna tofauti na hadithi ya mlugulu na chips za mihogo.
Ndugu zangu watanzania msiojua tende fresh huwa zinaukakasu wa ajabu. Warabu wameunga asali na kutuuzia.
Kumbuka Tanzania na Afrika tende zinastawi sehemu nyingi kuliko hata Avocado ila serikali zetu zimelala usingizi wa fofofo nami nachukua nafasi hii kuziamsha kuwa tunalishwa asali kwa bei kubwa
Bado najiuliza Asali yao ni ya Asia au hii hii ya Tabora, kama ni ya Tabora hatuna tofauti na hadithi ya mlugulu na chips za mihogo.
Ndugu zangu watanzania msiojua tende fresh huwa zinaukakasu wa ajabu. Warabu wameunga asali na kutuuzia.
Kumbuka Tanzania na Afrika tende zinastawi sehemu nyingi kuliko hata Avocado ila serikali zetu zimelala usingizi wa fofofo nami nachukua nafasi hii kuziamsha kuwa tunalishwa asali kwa bei kubwa