Waarabu wanatuuzia asali kwenye tende

Waarabu wanatuuzia asali kwenye tende

MIMI KWAKWELI WAARABU HUWA HAWANIBARIKI KABISA YANI....

WAMEJAWA NA MIDHAMBI.
IKO HIVI:

Hata Wazungu wana Madhambi sana ila tofauti ni kuwa Wazungu hawana UNAFIKI

Yaani Mzungu hafichi Ufiraji wake, Uzinzi, Ulevi n.k na hawajali mnasemaje na akiacha ameacha

Lakini Mwarabu yeye anajifanya kulaani maovu lakini anayafanya kwa siri
 
Wewe umekulia wapi ? mi ni mswshili Og na inawezekaba neno halua nimelisikis wewe ikiwa bado hujazaliwa.Usinilazimishe kuelewa unavyoelewa wewe.
sahani-ya-haluwa.jpg

HALWA HUPIKWA LABDA HUKO KWENU MNAPIKA NA TENDE PIA
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
kashitaki kwa huyu mtetezi wawanyonge hapa chini sisi hatuna uwezo wa kukusaidia
1.jpg
 
Kila biashara ina siri, sasa naona mnaanza kupekenyua siri ya hizi tende za warabu. Ukute hata sio asali ni sukari guru😂
 
Baada ya kuambiwa tende zina ongeza ashki ya kiumen, nikaanza kupenda kuzinunua. Nilichogundua ni kwamba Warabu wanakausha tende na kuziunga asali na kutuuzia Waafrika huku tukiwa wazalishaji wakubwa wa wa Asali kila kona ya nchi.

Bado najiuliza Asali yao ni ya Asia au hii hii ya Tabora, kama ni ya Tabora hatuna tofauti na hadithi ya mlugulu na chips za mihogo.

Ndugu zangu watanzania msiojua tende fresh huwa zinaukakasu wa ajabu. Warabu wameunga asali na kutuuzia.

Kumbuka Tanzania na Afrika tende zinastawi sehemu nyingi kuliko hata Avocado ila serikali zetu zimelala usingizi wa fofofo nami nachukua nafasi hii kuziamsha kuwa tunalishwa asali kwa bei kubwaView attachment 2508738
Hilo nakukatalia kisukuma "iiih yaya ghuke"[emoji3][emoji3][emoji3]!

Jamani hamjawahi kusoma kemia hata ya ngumbalu namna reaction za sugar katika mazao yaliyobeba kiwango kikubwa cha hizo sukari inavyofanya kazi?

Enhe na kwenye viazi vitamu, hugeukaje kuwa matovolwa?, sayansi ni hiyo, sipendi kuanza kutandaza formula za chemical reactions hapa.

Yaani asali og akuchanganyie na tende kwa ujazo huo, hajitaki?

Kaulize bei ya asali ujazo wa 0.25g ambao ndiyo takribani ya ujazo wa hako kapakti ni sh. ngapi kwa bei ya sokoni leo?

Aisafirishe toka Afrika akakudilutie, jamani nyie embu kuweni serious basi!

Ni kama kutaka kutueleza kuwa Petrol inaweza kuchakachuliwa kwa mafuta ya taa kwa bei ya soko la bidhaa hizo kwa leo!

Yaani uheshimishwe kwa kulishwa asali, wewe umekuwa nani?
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Nimekula tende tangu nikiwa mdogo na kuaminishwa ni tamu 'halua' kumbe wameunga asali. Tunaipuuzia asali yeyu mitaani na kununua ya warabu kwe ye tende.
Sisi waislamu tumelishwa natango pori na warabu na kuamini kila walichokisema warabu hata kuhusu tende, kumbe ni asali.
Hakuna kitu kama hicho, kwa hii habari ndiyo tango msitu lenyewe umetupiwa unatafuna!
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Hilo nakukatalia kisukuma "iiih yaya ghuke"[emoji3][emoji3][emoji3]!

Jamani hamjawahi kusoma kemia hata ya ngumbalu namna reaction za sugar katika mazao yaliyobeba kiwango kikubwa cha hizo sukari inavyofanya kazi?

Enhe na kwenye viazi vitamu, hugeukaje kuwa matovolwa?, sayansi ni hiyo, sipendi kuanza kutandaza formula za chemical reactions hapa.

Yaani asali og akuchanganyie na tende kwa ujazo huo, hajitaki?

Kaulize bei ya asali ujazo wa 0.25g ambao ndiyo takribani ya ujazo wa hako kapakti ni sh. ngapi kwa bei ya sokoni leo?

Aisafirishe toka Afrika akakudilutie, jamani nyie embu kuweni serious basi!

Ni kama kutaka kutueleza kuwa Petrol inaweza kuchakachuliwa kwa mafuta ya taa kwa bei ya soko la bidhaa hizo kwa leo!

Yaani uheshimishwe kwa kulishwa asali, wewe umekuwa nani?
Mimi nimeiona asali na mabaki ndio hayo kwenye picha.Labda ungeniambia sukari guru labda kidogo ningekuelewa. Hakuna cha chemistry, mi nimekulia kwenye matobolwa hayana ute kama wa asali.
Kanunue hio tender ujioneee sio kubisha tu. Asali tele mle, halafu asali sio mpaka itoke Africa Kuna nchi za tropic zipo Asia Zina misitu yakutosha.
 
Kila biashara ina siri, sasa naona mnaanza kupekenyua siri ya hizi tende za warabu. Ukute hata sio asali ni sukari guru😂
Ya sukari guru naweza kukubali. Tunapigwa sana, Kuna mtu analeta habari ya kemia eti ni sukari yake ya asili wakati wengine tumekula tende kavu za miti ya hapatz hazina hio sukari.
 
Jamiiforums kila siku inapokea intake mpya ya watu waliochanganyikiwa kabisa, wewe unanunua tende zilizosindikwa unatarajia nini? na tende zipo aina nyingi sana hicho kipakti cha elfu 2 ni quality ya chini sana mwarabu hali hiyo.
 
Mimi nimeiona asali na mabaki ndio hayo kwenye picha.Labda ungeniambia sukari guru labda kidogo ningekuelewa. Hakuna cha chemistry, mi nimekulia kwenye matobolwa hayana ute kama wa asali.
Kanunue hio tender ujioneee sio kubisha tu. Asali tele mle, halafu asali sio mpaka itoke Africa Kuna nchi za tropic zipo Asia Zina misitu yakutosha.
Unadhani kwanini waweke Asali kwenye Tende?
 
Kwani mkuu si wamekuandikia table of contents? kumeandikwa nini?.
Mimi nimeiona asali na mabaki ndio hayo kwenye picha.Labda ungeniambia sukari guru labda kidogo ningekuelewa. Hakuna cha chemistry, mi nimekulia kwenye matobolwa hayana ute kama wa asali.
Kanunue hio tender ujioneee sio kubisha tu. Asali tele mle, halafu asali sio mpaka itoke Africa Kuna nchi za tropic zipo Asia Zina misitu yakutosha.
 
Baada ya kuambiwa tende zina ongeza ashki ya kiumen, nikaanza kupenda kuzinunua. Nilichogundua ni kwamba Warabu wanakausha tende na kuziunga asali na kutuuzia Waafrika huku tukiwa wazalishaji wakubwa wa wa Asali kila kona ya nchi.

Bado najiuliza Asali yao ni ya Asia au hii hii ya Tabora, kama ni ya Tabora hatuna tofauti na hadithi ya mlugulu na chips za mihogo.

Ndugu zangu watanzania msiojua tende fresh huwa zinaukakasu wa ajabu. Warabu wameunga asali na kutuuzia.

Kumbuka Tanzania na Afrika tende zinastawi sehemu nyingi kuliko hata Avocado ila serikali zetu zimelala usingizi wa fofofo nami nachukua nafasi hii kuziamsha kuwa tunalishwa asali kwa bei kubwaView attachment 2508738
Umekula mpaka umemaliza
 
Baada ya bidhaa za Azamu, sasa wamehamia kwenye tende, kesho tutahamia kwenye Mafuta toka uarabuni yanaharibu magari na vyombo vyenye, kutumia bidhaa hiyo.
Nilichogundua uchawi, ni imani ya giza, hivyo husda, chuki, fitna, Roho mbaya, kinyongo na ubaguzi ni uchawi maana wenye tabia hizi, huzifanyia gizani bila wengine kujua.
Mi mwenyewe Muslim, naongea ukweli naomba uupinge ukweli sio mahaba ya warabu. Warabu makatili hata Kwa waislamu wenzao
Tujadili mada sio warabu na dini yao, mafuta hata Uganda Kenya, Nigeria pote yapo
 
Umefundishwa na nani kuwapenda waarabu?Hivi unafikiri waarabu wote ni waislamu?Ni minority ndogo sana ya waislamu ndio waarabu. Kuna mamilioni ya waarabu wakristo kwenye Nchi za Syria,Iraq,Lebanon na Egypt.
Ni ujinga kuwanasibisha waarabu wote na Uislamu.
Arabs is a Muslim culture it is not a race. Get more books men!
 
Sisi miaka nenda rudi tunatumia syrup inayobaki baada ya process ya kusindika na kupack hizo tende na yenyewe iko kama asali kabisa ni kimiminika lakini si asali ya nyuki katu ni kama uji uji tu unaotokana na tende, picha naipandisha.
Mkuu Tangantika siku nyingine ufiche uji**a wako usibebeshwe machuki mengi kichwani mpaka ukashindwa kuchambua mbichi na mbivu, kama unahisi hizo tende kutoka bara arabu zinakukera kanunue zile chachu za kutembezwa na wababu kule dodoma.

Unisamehe kwa lugha sikuwa na namna.
images - 2023-02-07T223105.953.jpeg
Screenshot_20230207-223005_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom