Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,190
- 34,526
wewe
Kama unaona hizo zenye asali huziwezi tumia kavu mkuu, tofauti yahalua na tende huijui, tende ni tunda halua sio tunda ladha ni moja sukari isipokua halua ina kaharufu zaidi na imekaa kama mkate tepetepe wewe umfananisha kwakuangalia muonekanoElewa falsafa ya mada.