Waarabu wameondoka Loliondo?

Waarabu wameondoka Loliondo?

acacia

Member
Joined
Mar 23, 2013
Posts
45
Reaction score
6
Tofauti na vipindi viliyopita, mwarabu wa Loliondo angekuwa amekwisha anza operations za uwindaji kwa kuleta madege makubwa, na prukushani nyingine nyingi. Cha kushangaza hadi sasa hakuna dalili ya kufika Loliondo. Ninachouliza ili mijuze wanaofahamu, je amezidiwa nguvu na wamasai na kwamba ameamua kuondoka? Je Serikali kwa kupitia Kagasheki imeshindwa kwa hoja? Nini inaendelea jamani wanaofahamu?
 
kuna rafiki yangu anafanya kazi OBC Amenambia mwaka huu waarabu hawana mpango wa kuwinda.
 
kuna rafiki yangu anafanya kazi OBC Amenambia mwaka huu waarabu hawana mpango wa kuwinda.

Inawezekana ni kweli maana maandalizi yanafanyika kuanzia Juni na uwindaji unaanza Julai. Ninachopenda kufahamu ni sababu inayowafanya wasiwinde mwaka au wachelewe kuwinda
 
Utafiti unaonyesha wanyama waliowindwa na mwarabau wote walikimbilia hifadhini serengeti na kwamba hakuna tena. Hata akirudi itamazimu kuwinda katika mipaka ya hifadhi ya serengeti. Imekuwa kama mabaki ya mashimo mwadui
 
tofauti na vipindi viliyopita, mwarabu wa loliondo angekuwa amekwisha anza operations za uwindaji kwa kuleta madege makubwa, na prukushani nyingine nyingi. Cha kushangaza hadi sasa hakuna dalili ya kufika loliondo. Ninachouliza ili mijuze wanaofahamu, je amezidiwa nguvu na wamasai na kwamba ameamua kuondoka? Je serikali kwa kupitia kagasheki imeshindwa kwa hoja? Nini inaendelea jamani wanaofahamu?


aondoke nchini mwake aende wapi?
 
I've heard that yesterday one councillor in Loliondo got a phone call from the MP for Simanjiro, Christopher ole Sendeka (of all people), asking this councillor to persuade the other councillors to tell people to remove cattle from the area around OBC's camp. I've tried to get more information and I've been told that nobody at any level will entertain the idea to vacate the area in conflict.

Why has ole Sendeka suddenly turned into the errand boy of OBC???
 
...waende wapi wakati wamenunua hiyo nchi,wameenda kumpiga mawe shetani...
 
I’ve heard that yesterday one councillor in Loliondo got a phone call from the MP for Simanjiro, Christopher ole Sendeka (of all people), asking this councillor to persuade the other councillors to tell people to remove cattle from the area around OBC’s camp. I’ve tried to get more information and I’ve been told that nobody at any level will entertain the idea to vacate the area in conflict.

Why has ole Sendeka suddenly turned into the errand boy of OBC???

Nothing else but rushwa. Huyo Sendeu habari yake kwishenei. Kawadanganya sana masai wenzake
 
I've heard that yesterday one councillor in Loliondo got a phone call from the MP for Simanjiro, Christopher ole Sendeka (of all people), asking this councillor to persuade the other councillors to tell people to remove cattle from the area around OBC's camp. I've tried to get more information and I've been told that nobody at any level will entertain the idea to vacate the area in conflict.

Why has ole Sendeka suddenly turned into the errand boy of OBC???

Ni kweli! Taarifa za kweli ni kwamba mbunge wa Simanjiro amewapigia simu madiwani kadhaa ili kuwashawishi waondoe ng'ombe kwani mfalme karibu atakuja kuwinda. Sio tu kwamba Sendeka anafanya hili kwa niaba ya mwarabu lakini pia inadhihirisha kuwa mwaraba haondoki TZ! Je, madiwani watathubutu kuwashawishi wananchi? Yangu masikio na macho!
 
I’ve heard that yesterday one councillor in Loliondo got a phone call from the MP for Simanjiro, Christopher ole Sendeka (of all people), asking this councillor to persuade the other councillors to tell people to remove cattle from the area around OBC’s camp. I’ve tried to get more information and I’ve been told that nobody at any level will entertain the idea to vacate the area in conflict.

Why has ole Sendeka suddenly turned into the errand boy of OBC???

Ni kweli! Taarifa za kweli ni kwamba mbunge wa Simanjiro amewapigia simu madiwani kadhaa ili kuwashawishi waondoe ng'ombe kwani mfalme karibu atakuja kuwinda. Sio tu kwamba Sendeka anafanya hili kwa niaba ya mwarabu lakini pia inadhihirisha kuwa mwaraba haondoki TZ! Je, madiwani watathubutu kuwashawishi wananchi? Yangu masikio na macho!
 
wapo kwenye mfungo kwao qatar wakirud huko subiri kazi yao. Pia watakuja na suti za kumpa mkuu wa kaya.
 
Ni kweli! Taarifa za kweli ni kwamba mbunge wa Simanjiro amewapigia simu madiwani kadhaa ili kuwashawishi waondoe ng'ombe kwani mfalme karibu atakuja kuwinda. Sio tu kwamba Sendeka anafanya hili kwa niaba ya mwarabu lakini pia inadhihirisha kuwa mwaraba haondoki TZ! Je, madiwani watathubutu kuwashawishi wananchi? Yangu masikio na macho!

Natumaini Serikali inatambua hatari ya kumkumbatia mtu kama huyu. Kagasheki alimwahaidi atapata eneo, yeye alidai alitumwa na rais, sendeka na telele 'walimkubalia' kumsaidia na wamasai wakisimama kidete kukataa nini itatokea?
 
The MP for Simanjiro deserves his own thread, but I'm not good enough at Swahili. His behaviour is frankly scandalous.

I do hope that the response from the councillors will be clear, loud and public.
 
kwani wanyama wenyewe bado wapo ?

Mwarabu anawinda makundi ya wanyama wanaotoka mbuga ya serengeti. Hakuna tena wanyama loliondo. Hii inashangaza kidogo kwa sababu hifadhi ya taifa ya serengeti ambayo ni urithi wa dunia na maajabu ya dunia vile vile. Wamasai walikuwa wanaondolewa karibu na hifadhi ili wasiharibu. Sasa serikali itaruhusuje mwindaji mipakani mwa hifadhi na kuwaondoa wamasai ambao kwa asili wao ni wahifadhi? Sasa wanyama hawapo, serikali inatoa maelezo gani tena?
 
Tofauti na vipindi viliyopita, mwarabu wa Loliondo angekuwa amekwisha anza operations za uwindaji kwa kuleta madege makubwa, na prukushani nyingine nyingi. Cha kushangaza hadi sasa hakuna dalili ya kufika Loliondo. Ninachouliza ili mijuze wanaofahamu, je amezidiwa nguvu na wamasai na kwamba ameamua kuondoka? Je Serikali kwa kupitia Kagasheki imeshindwa kwa hoja? Nini inaendelea jamani wanaofahamu?

Mwezi mtukufu nadhani ndiyo sababu kuu.
 
Loliondo iliyotowa uhai wa katabalo enzi zile kwa kuhatarisha kitumbua cha wakubwa na hao warabu sio ya leo.

Loliondo imebaki historia, hakuna la maana kujivunia maana wala ruswa walishaiuza nasasa imechakaa bin taaban.
 
Loliondo imebaki historia
. Very strange comment. Loliondo is still there and thousands of people live with the threat of having their lives and livelihoods destroyed by a planned land grab by the government of Tanzania.
 
Back
Top Bottom