Waarabu na Waislamu wanakwama wapi?

Waarabu na Waislamu wanakwama wapi?

Ni sawa kabisa unavyosema, hao Waisrael hawataacha kamwe kuwaonea wapalestina kwa sababu waarabu na waislamu wenzao hawawasaidii.

Tatizo kubwa kwa Waarabu au waislamu ni viongozi wao katika nchi husika kuwa wanafiki; hao viongozi ndio wanaowasaliti umma wa waislamu na waarabu kwa ujumla. Wananchi wa kawaida na waislamu wa kawaida ndio wale unawaona wanaandamana kwa uchungu na kutaka kuwasaidia lakini viongozi hasa wa nchi za waarabu hata kukemea tu hawakemei wanaogopa wataondolewa kwenye nafasi zao. Na sisi wananchi hatumiliki jeshi kwa hivyo anayetoa amri ya vita ni wakuu wa nchi ambao ndio hao wanafiki.

Kwa kifupi viongozi wa nchi za waarabu wengi wao wamewekwa na western countries wakishirikiana na Israel. Na kiongozi yeyote wa nchi za waarabu atakayekwenda kinyume na matakwa ya western watahakikisha ameondolewa. Mfano mzuri ni yule raisi wa Egypt aliyepinduliwa na baadae wakamfunga jela na kumuua kabisa. Kina Saddam Hussein, Gaddafi n.k wote waliondolewa sbb walionekana wana kiherehere.

Na ndio mana Arab countries nyingi hakuna democracy kwa sbb wazungu wanajua wakiweka democracy watakuja viongozi wazuri au siasa kali. Na huwezi kabisa kusikia West wakisema Arab countries hazina democracy; never. Hakuna uchaguzi Saudia na nchi nyingi za kiarabu.

Kwa hivyo viongozi wapenda vyeo vyao na wapenda maisha ya dunia wamewatupa Wapalestina na waislamu kwa sababu ya kulinda maslahi yao tu. Na hawa kwa upande wa dini wanaitwa wanafiki na Mwenyezi Mungu amesema watu wanafiki watakuwa katika tabaka ya chini kabisa katika moto wa Jehanamu.

Ila ipo siku Mwenyezi Mungu ataleta heri. Hata huyo Iran na Hizbollah wanaweza kusaidia mana wao pekee ndio wako front

I hope nimekujibu vizuri
Huyu huyu Allah ambaye wakiuana wenyewe kwa wenyewe wanamtukuza Allah Akbar?
 
Kwa zaidi ya miaka 70 sasa Waisrael wamekuwa wakiwanyanyasa sana na kuwaua.

Huko Gaza na West Bank, Waisrael wanawaua kila siku.

Gaza huko Waisrael wanadhibiti karibu huduma zote za msingi.

Idadi ya vifo tokea tukio la Oktoba 7 litokee, idadi ya vifo vya Wapalestina inaongezeka kila siku huku idadi ya Waisrael waliokufa haijabadilika.

Kila nikiangalia taarifa za habari za Al Jazeera, nikiona vitoto vya Kipalestina vilivyokufa au vilivyoumia na kutapakaa damu mwili mzima, najawa na simanzi sana.

Nchi zote hizo za Kiislamu na/au Kiarabu zimeshindwa kabisa kuungana na kuwatetea wenzao.

Washirika wa Israel wenyewe hawasiti kumpiga tafu rafiki yao.

Sasa Waislam na Waarabu wanakwama wapi?

Hawana akili za kupambana na Wayahudi?

Kuna Irani, Misri, Saudia, Lebanon, Morocco, Tunisia, Falme za Kiarabu, Pakostani, na zinginezo nyingi tu.

Sasa nchi zote hizo zimeshindwa kweli kuungana na kuwasaidia Wapalestina kupigana na Israeli?

Njia pekee iliyopo kwa sasa ya kuleta amani ya kudumu kati ya Israeli na Palestina ni Israel naye kupigwa na kuumizwa kama yeye awaumizavyo Wapalestina.

Lakini kadri uwiano wa mapigo utavyokuwa umeelemea upande mmoja tu, Palestina ataendelea kuteseka sana.
Usiwe miongoni mwa Brainwashed. Weka news kwa balance.. hiyo 1948 nini kilitokea na hizo vita nani alisababisha na nani alichapwa.. na lengo la Arabs ni nini? Kuna nchi zimegoma ujinga huu wa Uislam. Na zina uhusiano na Israel Israel ipo na itaendelea kuwepo na waarab wataendelea kuwepo.. arshi ile British aliigawa vizuri Arabs upande wa Jordan na Waisrael walipo now sasa yale mabaki ya Arabs upande wa Israel ndio wasumbufu.. mgogolo huu ni sawa na India British aligawa ardhi waislam na wahindu sasa Waislam walibaki upande wa wahindu wanaona kama wanaonewa
 
Kwa zaidi ya miaka 70 sasa Waisrael wamekuwa wakiwanyanyasa sana na kuwaua.

Huko Gaza na West Bank, Waisrael wanawaua kila siku.

Gaza huko Waisrael wanadhibiti karibu huduma zote za msingi.

Idadi ya vifo tokea tukio la Oktoba 7 litokee, idadi ya vifo vya Wapalestina inaongezeka kila siku huku idadi ya Waisrael waliokufa haijabadilika.

Kila nikiangalia taarifa za habari za Al Jazeera, nikiona vitoto vya Kipalestina vilivyokufa au vilivyoumia na kutapakaa damu mwili mzima, najawa na simanzi sana.

Nchi zote hizo za Kiislamu na/au Kiarabu zimeshindwa kabisa kuungana na kuwatetea wenzao.

Washirika wa Israel wenyewe hawasiti kumpiga tafu rafiki yao.

Sasa Waislam na Waarabu wanakwama wapi?

Hawana akili za kupambana na Wayahudi?

Kuna Irani, Misri, Saudia, Lebanon, Morocco, Tunisia, Falme za Kiarabu, Pakostani, na zinginezo nyingi tu.

Sasa nchi zote hizo zimeshindwa kweli kuungana na kuwasaidia Wapalestina kupigana na Israeli?

Njia pekee iliyopo kwa sasa ya kuleta amani ya kudumu kati ya Israeli na Palestina ni Israel naye kupigwa na kuumizwa kama yeye awaumizavyo Wapalestina.

Lakini kadri uwiano wa mapigo utavyokuwa umeelemea upande mmoja tu, Palestina ataendelea kuteseka sana.

Nyani Gabu:

Zuheir Mohsen, kiongozi mwanamizi aliweka wazi alipojiwa na gazeti la Kidachi (Trow) Mwaka 1977. Kwa kifupi tu huu ndio msimamo wa Waarabu.....Hakuna Wapelestina.....wako hapo kwa strategic reasons:

  • The Palestinian people do not exist. There are no differences between Jordanians, Palestinians, Syrians and Lebanese. We are part of one people, the Arab nation. Lo and behold, I have relatives with Palestinian, Lebanese, Jordanian and Syrian citizenship. We are one people. It is only for political reasons that we carefully endorse our Palestinian identity. Indeed, it is of national interest for the Arabs to encourage the existence of the Palestinians in the face of Zionism. Yes, the existence of a separate Palestinian identity is only for tactical reasons. The establishment of a Palestinian state is a new means to continue the struggle against Israel and for Arab unity.
Huo ndio mtazamo wa ndani wa Waarabu wengi....Kwao hilo swala la occupation haliwasumbua wala kuwakosesha usingizi!
 
Saudi Arabia iliundwa na majasusi wa uingereza akina Lawrence of Arabia
Jordan iliundwa na Uingereza
Israel iliundwa na Uingereza
Misri iko mfukoni mwa Washington

Kwa hiyo usitegemee hizi regimes kuinuka na kumpiga Israel, wakithubutu, watakutana na klichowakuta 1948, 1967 na 1967 basi bosi wao (USA + UK) ataingia upande wa Israel kuwachapa.

Watu huwa hawajui baada ya kuanguka Ottoman Empire, Mwingereza ndiye alizitengezeza Lebanon, Jordan, Iraq na Israel! Wanaposema Israel imetengenezwa huwa inashangaza wanapokaa kimya kuhusu Ukweli wa Historia.

Wengu huwa hawazungumzi kuhusu UN Resolution Partition 181 ya 1947. Two States zilitengenezwa, Arab States na Israel, Israel ikaikubali portion yao, Na Waarabu wakaikataa wakao haukuwa mgao mzuri, na wakaamua vita vya kujiunga pamoja mataifa matano (Lebanon, SYRIA, Iraq na Egypt, battalion ya Saudia ilipigana upande wa Egypt.

Vita vya 1948 vilibadli kabisa mgogoro huu na kuleta kitu kingine kabisa:

- Warabu walipoteza ile partition yao waliyopewa na UN 1947

- Kwa kuwashinda Waarabu, Israel ikajikuta imeongeneza maeneo yake pasipo kutarajia.

- Waarabu waliokuwepo hapo, kwa kutaka kwao, kwa kutoka kuwa chini ya Israel, kwa kufukuzwa na Israel baada ushindi, ikaanzisha Waarabu waliokimbilia uhamishoni, na miaka ya baadaye kujitambulisha kama Wapelestina!

Kiongozi mwandamizi wa PLO Zuheir Mohsen mwaka 1977, alisema wazi, hakuna taifa la Kipalestina....

  • The Palestinian people do not exist. There are no differences between Jordanians, Palestinians, Syrians and Lebanese. We are part of one people, the Arab nation. Lo and behold, I have relatives with Palestinian, Lebanese, Jordanian and Syrian citizenship. We are one people. It is only for political reasons that we carefully endorse our Palestinian identity. Indeed, it is of national interest for the Arabs to encourage the existence of the Palestinians in the face of Zionism. Yes, the existence of a separate Palestinian identity is only for tactical reasons. The establishment of a Palestinian state is a new means to continue the struggle against Israel and for Arab unity.
Waarabu wanaujua ukweli huu, ndio maana huwa hawana msukumo wa ndani wa hiyo "occupation" labda kwa sababu za imani tu!
 
Usiwe miongoni mwa Brainwashed. Weka news kwa balance.. hiyo 1948 nini kilitokea na hizo vita nani alisababisha na nani alichapwa.. na lengo la Arabs ni nini? Kuna nchi zimegoma ujinga huu wa Uislam. Na zina uhusiano na Israel Israel ipo na itaendelea kuwepo na waarab wataendelea kuwepo.. arshi ile British aliigawa vizuri Arabs upande wa Jordan na Waisrael walipo now sasa yale mabaki ya Arabs upande wa Israel ndio wasumbufu.. mgogolo huu ni sawa na India British aligawa ardhi waislam na wahindu sasa Waislam walibaki upande wa wahindu wanaona kama wanaonewa

Watu huwa hawajui baada ya kuanguka Ottoman Empire, Mwingereza ndiye alizitengezeza Lebanon, Jordan, Iraq na Israel! Wanaposema Israel imetengenezwa huwa inashangaza wanapokaa kimya kuhusu Ukweli wa Historia.

Wengu huwa hawazungumzi kuhusu UN Resolution Partition 181 ya 1947. Two States zilitengenezwa, Arab States na Israel, Israel ikaikubali portion yao, Na Waarabu wakaikataa wakao haukuwa mgao mzuri, na wakaamua vita vya kujiunga pamoja mataifa matano (Lebanon, SYRIA, Iraq na Egypt, battalion ya Saudia ilipigana upande wa Egypt.

Vita vya 1948 vilibadli kabisa mgogoro huu na kuleta kitu kingine kabisa:

- Warabu walipoteza ile partition yao waliyopewa na UN 1947

- Kwa kuwashinda Waarabu, Israel ikajikuta imeongeneza maeneo yake pasipo kutarajia.

- Waarabu waliokuwepo hapo, kwa kutaka kwao, kwa kutoka kuwa chini ya Israel, kwa kufukuzwa na Israel baada ushindi, ikaanzisha Waarabu waliokimbilia uhamishoni, na miaka ya baadaye kujitambulisha kama Wapelestina!
 
Kwa zaidi ya miaka 70 sasa Waisrael wamekuwa wakiwanyanyasa sana na kuwaua.

Huko Gaza na West Bank, Waisrael wanawaua kila siku.

Gaza huko Waisrael wanadhibiti karibu huduma zote za msingi.

Idadi ya vifo tokea tukio la Oktoba 7 litokee, idadi ya vifo vya Wapalestina inaongezeka kila siku huku idadi ya Waisrael waliokufa haijabadilika.

Kila nikiangalia taarifa za habari za Al Jazeera, nikiona vitoto vya Kipalestina vilivyokufa au vilivyoumia na kutapakaa damu mwili mzima, najawa na simanzi sana.

Nchi zote hizo za Kiislamu na/au Kiarabu zimeshindwa kabisa kuungana na kuwatetea wenzao.

Washirika wa Israel wenyewe hawasiti kumpiga tafu rafiki yao.

Sasa Waislam na Waarabu wanakwama wapi?

Hawana akili za kupambana na Wayahudi?

Kuna Irani, Misri, Saudia, Lebanon, Morocco, Tunisia, Falme za Kiarabu, Pakostani, na zinginezo nyingi tu.

Sasa nchi zote hizo zimeshindwa kweli kuungana na kuwasaidia Wapalestina kupigana na Israeli?

Njia pekee iliyopo kwa sasa ya kuleta amani ya kudumu kati ya Israeli na Palestina ni Israel naye kupigwa na kuumizwa kama yeye awaumizavyo Wapalestina.

Lakini kadri uwiano wa mapigo utavyokuwa umeelemea upande mmoja tu, Palestina ataendelea kuteseka sana.
Tuzungumzie kwanza hapo Sudan waarabu koko wanawaua waislam weusi,gaza mbali sana mkuu.
 
Upo sahih suluhu pekee Izrael nae anapaswa kudundwa ili aonje ladha ya maumivu itakayomshawish apunguze ukal
haki hudai kwa mabavu hata siku moja na ukafanikiwa, mandela kafanikiwa bila kuuwa kikatili mkaburu kwa nini Hamas antumia ufilimoni kudai haki yake.
 
Quruan ewezi kushindana na teknolijia.Wanaamini imeshushwa
 
Labda hao waislamu wenzao waliwahi kumshauri Palestina asitumie njia ya vita kudai haki yake kwasababu walijua Israel ni mkatili anapoanza kufanya mashambulizi haangalii nani wakumuacha.

Pengine waliona wakiingilia vita hii huo ukatili wa kuua hadi watoto utaamia kwao na ndio kitu ambacho hawakuwa tayari kuona kinatokea.

Pengine hayo mataifa ya waisilamu yaliona ushindi pekee sio kupiga Israel bali kumpiga kabisa na Marekani ambaye amekuwa rafiki wa karibu na anaisapoti Israel. Jambo ambalo sio rahisi.

Mwisho
Palestina walivyoanza mashambulizi hawakupiga wanajeshi peke yake, waliua raia ambao ni un armed ikiwemo watoto wadogo.

Na wakati hili linafanyika mjadala uliokuwa unatrend haukuwa "kwanini Hamas wanaua watoto au raia ambao hawahusiki"

Maneno yaliyokuwa yakizungimzwa kwa wakati huo ni "Hamas ni mashujaa lazima warudishe ardhi yao"

"Mossad wanasifiwa bure tu kuwa na intelijensia kubwa lakini hamna kitu si umeona wameshindwa kuona huu uvamizi"
Umeongea ukweli mtupu.

Mimi napinga sana double standards. Wewe unaua watoto wa mwenzako, wakiuwawa wako unataka dunia ikutetee.

Inawezekana ni kweli haki ni ya Palestina lakini wamechagua kutumia vita kudai haki.Vita havina macho.

Bado naamini kuna njia nyingi tu za kumaliza huu mzozo kama kila upande utaamua kuweka ego yake pembeni.
 
Watu huwa hawajui baada ya kuanguka Ottoman Empire, Mwingereza ndiye alizitengezeza Lebanon, Jordan, Iraq na Israel! Wanaposema Israel imetengenezwa huwa inashangaza wanapokaa kimya kuhusu Ukweli wa Historia.

Wengu huwa hawazungumzi kuhusu UN Resolution Partition 181 ya 1947. Two States zilitengenezwa, Arab States na Israel, Israel ikaikubali portion yao, Na Waarabu wakaikataa wakao haukuwa mgao mzuri, na wakaamua vita vya kujiunga pamoja mataifa matano (Lebanon, SYRIA, Iraq na Egypt, battalion ya Saudia ilipigana upande wa Egypt.

Vita vya 1948 vilibadli kabisa mgogoro huu na kuleta kitu kingine kabisa:

- Warabu walipoteza ile partition yao waliyopewa na UN 1947

- Kwa kuwashinda Waarabu, Israel ikajikuta imeongeneza maeneo yake pasipo kutarajia.

- Waarabu waliokuwepo hapo, kwa kutaka kwao, kwa kutoka kuwa chini ya Israel, kwa kufukuzwa na Israel baada ushindi, ikaanzisha Waarabu waliokimbilia uhamishoni, na miaka ya baadaye kujitambulisha kama Wapelestina!
waarabu hawamtaki mtu yeyote aliye na undugu wa historia na yesu kuwa na nchi pale mashariki ya kati.katika katiba zao wamepiga marufuku kujenga maknisa, kuvaa rozari hadharani na kuuza kitu chochote cha kumtangaza yesu katika ardhi yao. Ikitolea UN ikatambua chuki hii ya waarabu hadharani basi suluhisho la mgogoro huu litakwisha . nchi za magharibi hazitaki kujua kwa nini nchi za kiarabu zina uhasama na yesu kwa sababu ya mafuta, hapo ndo chanzo cha mgogoro huu kutokuwa na mwisho. waarabu wanendesha magari kwa sipidi kali na kuwavaa wwatu sokoni kimakusudi na kuwauwa kwa kuwakanyaga na gari lakini huko ujerumani wamekaaa kimyaaaaa.
 
Umeongea ukweli mtupu.

Mimi napinga sana double standards. Wewe unaua watoto wa mwenzako, wakiuwawa wako unataka dunia ikutetee.

Inawezekana ni kweli haki ni ya Palestina lakini wamechagua kutumia vita kudai haki.Vita havina macho.

Bado naamini kuna njia nyingi tu za kumaliza huu mzozo kama kila upande utaamua kuweka ego yake pembeni.
adui yao sio netanyahu na nduguze bali ni YESU KRISTO tuu. chuki walionayo waarabu kwa yesu inatisha na inakera kupita kiasi. mgogoro huu hauna mwisho wala hautatuliki kamwe.
 
Tuzungumzie kwanza hapo Sudan waarabu koko wanawaua waislam weusi,gaza mbali sana mkuu.
Arab leagua wana migogoro mingi sana lakini wao wanamtaka mwanandugu wa yesu kristo aondoke pale mashariki ya kati. chuki walionayo kwa yesu ndio chanzo cha huu mzozo usona mwisho. Tumuombe Fambo(francis andrew mbozia) katika simu ya kifo ajitokeze
 
Watu huwa hawajui baada ya kuanguka Ottoman Empire, Mwingereza ndiye alizitengezeza Lebanon, Jordan, Iraq na Israel! Wanaposema Israel imetengenezwa huwa inashangaza wanapokaa kimya kuhusu Ukweli wa Historia.

Wengu huwa hawazungumzi kuhusu UN Resolution Partition 181 ya 1947. Two States zilitengenezwa, Arab States na Israel, Israel ikaikubali portion yao, Na Waarabu wakaikataa wakao haukuwa mgao mzuri, na wakaamua vita vya kujiunga pamoja mataifa matano (Lebanon, SYRIA, Iraq na Egypt, battalion ya Saudia ilipigana upande wa Egypt.

Vita vya 1948 vilibadli kabisa mgogoro huu na kuleta kitu kingine kabisa:

- Warabu walipoteza ile partition yao waliyopewa na UN 1947

- Kwa kuwashinda Waarabu, Israel ikajikuta imeongeneza maeneo yake pasipo kutarajia.

- Waarabu waliokuwepo hapo, kwa kutaka kwao, kwa kutoka kuwa chini ya Israel, kwa kufukuzwa na Israel baada ushindi, ikaanzisha Waarabu waliokimbilia uhamishoni, na miaka ya baadaye kujitambulisha kama Wapelestina!
Screenshot_2025-03-24-09-18-23-67_0b2fce7a16bf2b728d6ffa28c8d60efb.jpg
 
Kwa zaidi ya miaka 70 sasa Waisrael wamekuwa wakiwanyanyasa sana na kuwaua.

Huko Gaza na West Bank, Waisrael wanawaua kila siku.

Gaza huko Waisrael wanadhibiti karibu huduma zote za msingi.

Idadi ya vifo tokea tukio la Oktoba 7 litokee, idadi ya vifo vya Wapalestina inaongezeka kila siku huku idadi ya Waisrael waliokufa haijabadilika.

Kila nikiangalia taarifa za habari za Al Jazeera, nikiona vitoto vya Kipalestina vilivyokufa au vilivyoumia na kutapakaa damu mwili mzima, najawa na simanzi sana.

Nchi zote hizo za Kiislamu na/au Kiarabu zimeshindwa kabisa kuungana na kuwatetea wenzao.

Washirika wa Israel wenyewe hawasiti kumpiga tafu rafiki yao.

Sasa Waislam na Waarabu wanakwama wapi?

Hawana akili za kupambana na Wayahudi?

Kuna Irani, Misri, Saudia, Lebanon, Morocco, Tunisia, Falme za Kiarabu, Pakostani, na zinginezo nyingi tu.

Sasa nchi zote hizo zimeshindwa kweli kuungana na kuwasaidia Wapalestina kupigana na Israeli?

Njia pekee iliyopo kwa sasa ya kuleta amani ya kudumu kati ya Israeli na Palestina ni Israel naye kupigwa na kuumizwa kama yeye awaumizavyo Wapalestina.

Lakini kadri uwiano wa mapigo utavyokuwa umeelemea upande mmoja tu, Palestina ataendelea kuteseka sana.
Shida kubwa hawana umoja lakini pia kuna Marekani ambae yeye ndie anampa kiburi Israel. Wayahudi wanapokea unlimited aid kutoka Marekani pamoja na silaha , hii ndio inayofanya Israel ionekane ina nguvu, bila marekani hakuna Israel, lakini pia alichofanya Marekani ni kuzinunua nchi zote za karibu zinazopakana na Israel, nchi hizi ni Egypt, Jordan, Saudi Arabia , Uae, Kuwait, Qatar na Bahrain, hivyo utaona wapalestina wako peke yao hawana rafiki. Hichi ndicho kinachowapa kiburi wayahudi kufanya maovu wa kila aina kwa wapalestina wanyonge.

Lakini muda utafika wa taifa la Israel kuanguka pamoja na vibaraka wao wote, iko siku wamarekani watazinduka na kuacha kuisaidia Israel , ipo siku vibaraka wote wa Marekani watafurushwa na huo ndio utakua mwisho wa Israel
 
miaka ya 47 walitakiwa waishi kwa amani kama majirani, ila waarabu wakawafunga mota wenzao wasikubali bali wapigane vita kuwamaliza wana wa yakobo, kilochofuata ni vipigo mfululizo, hata walipoingana nchi 6 nao walichezea kichapo na kuzidi kupoteza maeneo, kwahyo walioikataa amani from day 1 na kuchagu vita ni hao waarabu.
na walivyo wanafki wamekataa kuwapokea ndugu zao, wanasema bakini humohumo sie twawaletea maji na tende.
😂😂😂😂😂
 
Watu huwa hawajui baada ya kuanguka Ottoman Empire, Mwingereza ndiye alizitengezeza Lebanon, Jordan, Iraq na Israel! Wanaposema Israel imetengenezwa huwa inashangaza wanapokaa kimya kuhusu Ukweli wa Historia.

Wengu huwa hawazungumzi kuhusu UN Resolution Partition 181 ya 1947. Two States zilitengenezwa, Arab States na Israel, Israel ikaikubali portion yao, Na Waarabu wakaikataa wakao haukuwa mgao mzuri, na wakaamua vita vya kujiunga pamoja mataifa matano (Lebanon, SYRIA, Iraq na Egypt, battalion ya Saudia ilipigana upande wa Egypt.

Vita vya 1948 vilibadli kabisa mgogoro huu na kuleta kitu kingine kabisa:

- Warabu walipoteza ile partition yao waliyopewa na UN 1947

- Kwa kuwashinda Waarabu, Israel ikajikuta imeongeneza maeneo yake pasipo kutarajia.

- Waarabu waliokuwepo hapo, kwa kutaka kwao, kwa kutoka kuwa chini ya Israel, kwa kufukuzwa na Israel baada ushindi, ikaanzisha Waarabu waliokimbilia uhamishoni, na miaka ya baadaye kujitambulisha kama Wapelestina!
pale kenya wafuasi wa kristo waliuwa kikatili kwa kuulizwa taja jina la mamake mtume muhamad. kama hajui basi magaidi yalijua huyo ni mkristo mwishowe anauwawa. chuki hiyo ndiyo iliyopo huko mashariki ya kati kati ya myahudi na mpalestina. ila huko mashariki ya kati myahudi anawajulia kisawasawa anawataimu wakiishalima mashamba ule muda wa kuvuna ukiingia tuu aningiza vita, muda wa kufunga ramadhani ukija wakianza kufunga basi kufuturu ni ahera na njaa na swaumu mpaka kaburini!
 
Shida kubwa hawana umoja lakini pia kuna Marekani ambae yeye ndie anampa kiburi Israel. Wayahudi wanapokea unlimited aid kutoka Marekani pamoja na silaha , hii ndio inayofanya Israel ionekane ina nguvu, bila marekani hakuna Israel, lakini pia alichofanya Marekani ni kuzinunua nchi zote za karibu zinazopakana na Israel, nchi hizi ni Egypt, Jordan, Saudi Arabia , Uae, Kuwait, Qatar na Bahrain, hivyo utaona wapalestina wako peke yao hawana rafiki. Hichi ndicho kinachowapa kiburi wayahudi kufanya maovu wa kila aina kwa wapalestina wanyonge.

Lakini muda utafika wa taifa la Israel kuanguka pamoja na vibaraka wao wote, iko siku wamarekani watazinduka na kuacha kuisaidia Israel , ipo siku vibaraka wote wa Marekani watafurushwa na huo ndio utakua mwisho wa Israel
Dua la kuku hilo katu halimpati mwewe!Mpalestina siyo mnyonge na wala hayuko peke yake. juzi kapigana na israel idadi za nchi zilizofungua kesi mahakama ya dunia kuishaki netanyahu gvt ni sabaikiwemo kibaraka mweusi Sauth Africa. hata brazil kaingia kati kuksapoto mpalestina. wewe bwege sana unataka marekani tuu aiache israel wakati marekani anatii amri ya genesis au kitabu cha kutoka 12.12-24. ukimpenda Israel utabarikiwa na ukimchukia utalaaniwa. chunguza Libya na kenya nani kabarikiwa.
 
Dua la kuku hilo katu halimpati mwewe!Mpalestina siyo mnyonge na wala hayuko peke yake. juzi kapigana na israel idadi za nchi zilizofungua kesi mahakama ya dunia kuishaki netanyahu gvt ni sabaikiwemo kibaraka mweusi Sauth Africa. hata brazil kaingia kati kuksapoto mpalestina. wewe bwege sana unataka marekani tuu aiache israel wakati marekani anatii amri ya genesis au kitabu cha kutoka 12.12-24. ukimpenda Israel utabarikiwa na ukimchukia utalaaniwa. chunguza Libya na kenya nani kabarikiwa.
Nyinyi makafiri mnapenda kujipa moyo na mnakua na kiburi, lakini time will tell, one day we will look down into your corpes and smile. Halafu kinachoshangaza Israel hakubaliani na ukristo wala hamtambui yesu wala Biblia, lakini mko bize kujipendekeza kwa mayahudi
 
Back
Top Bottom