Panzi Mbishi
JF-Expert Member
- Mar 8, 2021
- 2,055
- 2,673
KwendaSibishani na kichwa panzi
KwendaSibishani na kichwa panzi
Huu ndio ukweli hizi jamii mbili ndio watu wajinga zaidi tena hasa wakiwa ule upande wa kushotoUjinga mmoja anaongew ujinga ...Wanaou kwa mabomu wale wanaoua kwa chanjo wote akili moja.
Acha ujinga waarabu wapo mbali sana huwezi kuwaweka sawa na wabongo ,wapo mbali kila sekta .
.Kwa vile tunasoma na kufuatulia mambo ya magharib huwezi kuelewa.
Tafuta passport ukatembee...Hapa ofisini palitokea kama offer watu wakafanye vocation ya wiki aslimia 90 wamechagua Dubai tena kwenda kujifunza sio leisure ...
Post ya ovyo ya kufunga mwaka
Waarabu ni wajinga tu kua na majengo marefu sio kipimo cha ustaarabu bora ungekaa kimya kuliko kudhihirisha ujinga wako hadharaniUmeifika uarabuni lakini? Au upo usukumani huko kwenye mashamba ya magimbi unajiropokea uharo
Mjinga ni yule mkosa rinda aliekuzaaWaarabu ni wajinga tu kua na majengo marefu sio kipimo cha ustaarabu bora ungekaa kimya kuliko kudhihirisha ujinga wako hadharani
JambaKwenda