Waarabu kumshindwa Israel katika hii ramani ni jambo la kushangaza

Waarabu kumshindwa Israel katika hii ramani ni jambo la kushangaza

Mi mi

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
5,752
Reaction score
10,523
Hii ni moja ya maajabu ya dunia ukitazama hii ramani.
20250521_180351.jpg

Waarabu wote hao kushindwa kuwalinda ndugu zao hapo Gaza dhidi ya Israel ni jambo la kushangaza sana.

Hawa wajinga wana umoja wao wa nchi za kiarabu lakini huo umoja wao mpaka sasa umeshindwa hata kuwasaidia ndugu zao wapate chakula kwa uhakika hapo Gaza waache kufa kwa njaa na utapiamlo ukiondoa makombora ya IDF

Si kwamba Israel ina jeshi la kutisha sana duniani hapana ila umoja wa waarabu kuna nyoka wengi sana wanaofanya double agent ni ngumu sana kufanikiwa.

Hawa waarabu wakiungana wote Israel hawezi kuendelea kufanya kile anachofanya hapo Gaza.

Marekani alikimbizwa na wavietnam kwa sababu walikuwa na umoja waarabu ni kama waafrika weusi hakuna umoja Israel anafanya anacho jisikia kwa support ya marekani na hao hao waarabu wana mkaribisha Marekani na kununua silaha zile zile za Marekani hawa watu akili zao za ajabu wana jirani yao Iran pale anaweza kutengeneza silaha bora na wao wakanunua ili kukomboa ndugu zao ila ajabu ni wao kuungana na adui kumpiga ndugu yao.


Sitaki kukubali hawa wakiungana wote kwa silaha za Iran ama Russia ama China Israel itawashinda ila kinachonipa hofu ni nyoka waliojaa katika umoja wa waarabu kuanzia Misri kwenda Saudi kwenda UAE kwenda Syria, kwenda Jordan.........

Israel akimalizana na Palestine na Syria kama ikiwezekana next stop kwenye Great Israel basi ni Saudia kama asipo dhibitiwa.

Wazungu wa Ulaya, Ukraine kavamiwa na Urusi waneungana kumuunga mkono ila jumuiya ya kiarabu inasikitisha sana.
 
Waarabu unawaonea bure mkuu, Israel tunaitaja kama nchi lakini ile sio nchi bali ni kambi kubwa zaidi ya kijeshi ya NATO

Nashangaa sana kwanini watu hawaelewi hili.... Hata sasa tunaona baadhi ya wanachama wa NATO wakijifanya kuwafokea wanaoitwa wayahudi eti wasimamishe vita pale gaza kumbe wanatumia mbinu hiyo kuchelewesha hadi watimize malengo yao.

Mwaka 1948 walibuni nchi bandia pale ili waweze kuweka kambi yao kubwa kwaajili ya kumonita mataifa yote ya mashariki ya kati pamoja na ulinzi wa meli zao za biashara za kuja afrika na Asia
 
Waarabu unawaonea bure mkuu, Israel tunaitaja kama nchi lakini ile sio nchi bali ni kambi kubwa zaidi ya kijeshi ya NATO

Nashangaa sana kwanini watu hawaelewi hili.... Hata sasa tunaona baadhi ya wanachama wa NATO wakijifanya kuwafokea wanaoitwa wayahudi eti wasimamishe vita pale gaza kumbe wanatumia mbinu hiyo kuchelewesha hadi watimize malengo yao.

Mwaka 1948 walibuni nchi bandia pale ili waweze kuweka kambi yao kubwa kwaajili ya kumonita mataifa yote ya mashariki ya kati pamoja na ulinzi wa meli zao za biashara za kuja afrika na Asia
Huyo Marekani kakimbizwa na wavietnam walima mpunga hakuna sababu ya msingi ya waarabu kushindwa kumdhibiti Israel
 
Time will tell.
Lini mkuu unatazama yanayo endelea Gaza na huko hao waarabu wapo wapo tu wakitazama ndugu zao wakiliwa nyama mchana kweupe.

Fedha za kununua matrillioni ya Silaha wanazo wanaenda kununua kwa adui yao marekani pia wana muomba huyo huyo adui yao anaye ua ndugu zao awalinde.

Jambo la kijinga nilishangaa ni pale Iran ilipojibu mashambulizi ya Israel hawa wajinga walifunga anga zao ila Israel akitaka kushambulia adui zake ambaye ni ndugu zao hawa waarabu huacha anga zap uchi kama makende wanajitambua kweli hawa ?
 
Huyo Marekani kakimbizwa na wavietnam walima mpunga hakuna sababu ya msingi ya waarabu kushindwa kumdhibiti Israel
Tatizo la waarabu wanashindwa kuungana.... Vietnam marekani hakukimbia bahati mbaya bali kulikua na wakubwa anbao hawakutaka marekani iwasogelee sana. Yaliyotokea Vietnam yanakaribia kufanana na ya rasi ya Korea au yarakayotokea pale Ukraine.


Vita nyingi duniani vinatokea pale wakubwa wanapoingiliana kwenye mambo yao
 
Hii ni moja ya maajabu ya dunia ukitazama hii ramani.View attachment 3341246
Waarabu wote hao kushindwa kuwalinda ndugu zao hapo Gaza dhidi ya Israel ni jambo la kushangaza sana.

Hawa wajinga wana umoja wao wa nchi za kiarabu lakini huo umoja wao mpaka sasa umeshindwa hata kuwasaidia ndugu zao wapate chakula kwa uhakika hapo Gaza waache kufa kwa njaa na utapiamlo ukiondoa makombora ya IDF

Si kwamba Israel ina jeshi la kutisha sana duniani hapana ila umoja wa waarabu kuna nyoka wengi sana wanaofanya double agent ni ngumu sana kufanikiwa.

Hawa waarabu wakiungana wote Israel hawezi kuendelea kufanya kile anachofanya hapo Gaza.

Marekani alikimbizwa na wavietnam kwa sababu walikuwa na umoja waarabu ni kama waafrika weusi hakuna umoja Israel anafanya anacho jisikia kwa support ya marekani na hao hao waarabu wana mkaribisha Marekani na kununua silaha zile zile za Marekani hawa watu akili zao za ajabu wana jirani yao Iran pale anaweza kutengeneza silaha bora na wao wakanunua ili kukomboa ndugu zao ila ajabu ni wao kuungana na adui kumpiga ndugu yao.


Sitaki kukubali hawa wakiungana wote kwa silaha za Iran ama Russia ama China Israel itawashinda ila kinachonipa hofu ni nyoka waliojaa katika umoja wa waarabu kuanzia Misri kwenda Saudi kwenda UAE kwenda Syria, kwenda Jordan.........

Israel akimalizana na Palestine na Syria kama ikiwezekana next stop kwenye Great Israel basi ni Saudia kama asipo dhibitiwa.

Wazungu wa Ulaya, Ukraine kavamiwa na Urusi waneungana kumuunga mkono ila jumuiya ya kiarabu inasikitisha sana.
Sadat alisema Israel ni Penult lakini aliamua kufanya nao peace kwa sababu aliona anapigana sio na Israel alikuwa anapigana na USA, UK, France. Italy, na Australia. Weka tu akilini Israel anajifanya Super Power kwa kuwa anapewa silaha tofouti na wanazo nunua warabu lakini time yake haipo mbali. Kuna nchi moja tu ya kiarabu akiondolewa yule mfalme basi Israel haibaki hapo
 
Tatizo la waarabu wanashindwa kuungana.... Vietnam marekani hakukimbia bahati mbaya bali kulikua na wakubwa anbao hawakutaka marekani iwasogelee sana. Yaliyotokea Vietnam yanakaribia kufanana na ya rasi ya Korea au yarakayotokea pale Ukraine.


Vita nyingi duniani vinatokea pale wakubwa wanapoingiliana kwenye mambo yao
Hawa waarabu mkuu ndio kwanza wana mkaribisha kwa mbwembwe supporter mkuu wa mauaji ya ndugu zao hii akili yao hawa watu ina nishangaza sina hakika hata kama kweli wanaumizwa na hali mbaya isiyo ya mfano inayo endelea Gaza.

Katika ukanda wao wana nchi bora kabisa inayo tengeneza silaha bora ila wanaenda nunua silaha kwa adui akili ya hawa watu inahitaji kusomwa kwa makini
 
Sadat alisema Israel ni Penult lakini aliamua kufanya nao peace kwa sababu aliona anapigana sio na Israel alikuwa anapigana na USA, UK, France. Italy, na Australia. Weka tu akilini Israel anajifanya Super Power kwa kuwa anapewa silaha tofouti na wanazo nunua warabu lakini time yake haipo mbali. Kuna nchi moja tu ya kiarabu akiondolewa yule mfalme basi Israel haibaki hapo
Haya mkuu naweza kuita maneno ya kujifariji ila ukweli ni kwamba umoja wa waarabu una nyoka wengi sana wanaofanya kazi ya Israel kuwa nyepesi na wala sio nchi moja.
 
Hii ni moja ya maajabu ya dunia ukitazama hii ramani.View attachment 3341246
Waarabu wote hao kushindwa kuwalinda ndugu zao hapo Gaza dhidi ya Israel ni jambo la kushangaza sana.

Hawa wajinga wana umoja wao wa nchi za kiarabu lakini huo umoja wao mpaka sasa umeshindwa hata kuwasaidia ndugu zao wapate chakula kwa uhakika hapo Gaza waache kufa kwa njaa na utapiamlo ukiondoa makombora ya IDF

Si kwamba Israel ina jeshi la kutisha sana duniani hapana ila umoja wa waarabu kuna nyoka wengi sana wanaofanya double agent ni ngumu sana kufanikiwa.

Hawa waarabu wakiungana wote Israel hawezi kuendelea kufanya kile anachofanya hapo Gaza.

Marekani alikimbizwa na wavietnam kwa sababu walikuwa na umoja waarabu ni kama waafrika weusi hakuna umoja Israel anafanya anacho jisikia kwa support ya marekani na hao hao waarabu wana mkaribisha Marekani na kununua silaha zile zile za Marekani hawa watu akili zao za ajabu wana jirani yao Iran pale anaweza kutengeneza silaha bora na wao wakanunua ili kukomboa ndugu zao ila ajabu ni wao kuungana na adui kumpiga ndugu yao.


Sitaki kukubali hawa wakiungana wote kwa silaha za Iran ama Russia ama China Israel itawashinda ila kinachonipa hofu ni nyoka waliojaa katika umoja wa waarabu kuanzia Misri kwenda Saudi kwenda UAE kwenda Syria, kwenda Jordan.........

Israel akimalizana na Palestine na Syria kama ikiwezekana next stop kwenye Great Israel basi ni Saudia kama asipo dhibitiwa.

Wazungu wa Ulaya, Ukraine kavamiwa na Urusi waneungana kumuunga mkono ila jumuiya ya kiarabu inasikitisha sana.
1747842955015.jpeg
 
Hawa waarabu mkuu ndio kwanza wana mkaribisha kwa mbwembwe supporter mkuu wa mauaji ya ndugu zao hii akili yao hawa watu ina nishangaza sina hakika hata kama kweli wanaumizwa na hali mbaya isiyo ya mfano inayo endelea Gaza.

Katika ukanda wao wana nchi bora kabisa inayo tengeneza silaha bora ila wanaenda nunua silaha kwa adui akili ya hawa watu inahitaji kusomwa kwa makini
Ni rahisi kuelewa hili.

Silaha nyingi zinazotumiwa na mataifa haya ya kiarabu zimetengenezwa na mataifa ya magharibi, pia familia za wafalme na mawaziri zina ukaribu na mataifa haya ndio maana ni vugumu haya mataifa kujitoa kwenye makucha yao.

Kibaya zaidi mataifa haya yana kambi nyingi za mataifa ya magharibi ambazo zinaoparetiwa na wanajeshi wa magharibi. Umeona walivyobanwa?
Sasa ikitokea wakaenda kinyume maana yake watatengenezewa matatizo au wao kwa wao kupiganishwa

Taifa linalojitegemea hata kama silaha zao ni mishale na mapanga linakua na uwezo wa kupigana vita kuliko taifa lenye silaha za kisasa zilizotengenezwa na adui yake
 
Lini mkuu unatazama yanayo endelea Gaza na huko hao waarabu wapo wapo tu wakitazama ndugu zao wakiliwa nyama mchana kweupe.

Fedha za kununua matrillioni ya Silaha wanazo wanaenda kununua kwa adui yao marekani pia wana muomba huyo huyo adui yao anaye ua ndugu zao awalinde.

Jambo la kijinga nilishangaa ni pale Iran ilipojibu mashambulizi ya Israel hawa wajinga walifunga anga zao ila Israel akitaka kushambulia adui zake ambaye ni ndugu zao hawa waarabu huacha anga zap uchi kama makende wanajitambua kweli hawa ?
Mkuu hili mbona lipo wazi kabisa, kwamba most Arab leaders are puppets to US. Mfano crown Prince mohamed bin salman, aliwahi kujibu kwenye interview kuhusu wapalestina kwamba hana mda nao. Na asiulizwe kuhusu mambo ya palestina, Maana yeye yupo kwa ajili ya nchi yake Saudi Arabia nasio Palestina.
Nchi nyingine za kiarabu za kifalme hapo mashariki ya kati kama United Arab Emirates na Qatar wote Hawana tofatauti ni vibaraka kwa marekani maana kwao ufalme wao ndio kila kitu.

Tena akaenda mbali na kusema kwamba, wapalestina wakubaliane na matakwa ya Israel(inayokaliwa na fake jewish). Tofauti na hapo wakae kimya, anaejitahidi kuwasaidia wapalestina sio muarabu mwenzao bali ni muajemi irani. Mfalme ambaye alikua anawasaidia na kuwatetea waarabu wenzake, hasa wapalestina. Na hata jamii ya weusi kwenye kupinga ubaguzi, na kuleta haki Duniani, alikua ni marehemu king faisal wa saudia so sad they killed him.
 
Haya mkuu naweza kuita maneno ya kujifariji ila ukweli ni kwamba umoja wa waarabu una nyoka wengi sana wanaofanya kazi ya Israel kuwa nyepesi na wala sio nchi moja.
Nikweli maneno yako lakini huyo nyoka mkuu akiondolewa wengine watatii amri.
 
Back
Top Bottom