Natasha Ismail
JF-Expert Member
- Jul 14, 2008
- 747
- 640
kuna nyimbo ilikuwa inaibwa hivi " ukimwi moto chini dawa ya homa ni kwinini dawa ya mapenzi ni ugumu( ugumu dawa yenye.....tunasema" siujui jina sijui waliimba kina nani ni zamani sana kama kuna mwenye idea anikumbushe
KOSA LA MAREHEMU HAKUVAA KONDOM X2.Huwa inani touch hadi leo.