Waallahh Sirudii tena

Waallahh Sirudii tena

Swala la kutuma nauli halafu mchumba haji ni wengi tu wamelia, ndio hivyo umejifunza. Wewe umeliwa pesa kidoga kuna watu tumeliwa nauli si mara moja na hata nauli za ndugu tulituma.

note:Demu kama kweli anataka aje mwambie atafute nauli yake utamrudishia, au akope pesa uko alipo akija utamlipia deni.

Shindwa, tanzania bila ukimwi inawezekana
 
Afu iyo nauli ya elfu 18 ni champion???? Uko Udom una uhakika km ni mwanafunzi mana chuo bdo kimefungwa au ndo wale wale unasoma wapi UDOM,degree program gn SIJAPANGIWA bado.......kaka tulizana eeeenh!!!!!!
 
Ndo dawa zenu nyie wasinzi. Imagine unamsaliti mkeo anayesoma kwa bidii ili aongeze maarifa na kipato kwa faida ya familia yenu. Shame upon u.
 
Next time mwambie akope, akija utamrudishia! Usimwamini mtu! Lazima uwe na slogan ya hakopwi mtu hapa....!
 
Duh, kuna wanaume wanapata shida jamani kha... #umbulula++

Heri ubaki bikra kama mimi...

Haahahahahaaaa!!!!! shemeji yake, inabidi nikutafutie mtu aje akukague aniletee majibu kama hapo kwenye bold unasema kweli --- Loh!!!
 
Dem akishaniambia habari za nauli na km shmjui imekula kwake mwambie aje utamrudishia km hataki unapotezea
 
Kumbe ni kidogo hivyo umeonga ikapotea vunga.... Unadhani watoto wazuri wa vyuo wanapatikana kirahisi hivyo.....
NOTE: USIPO TOBOKA VIZURI MADEM WAZURI MJINI UTABAKIA KUWAITA SHEMEJI"
 
Back
Top Bottom