Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
Ndo naipata kwako!!!
Nijuavyo mm bikra akifanya mapenzi kwa mara ya kwanza lazima some liquid nyekundu zimwagike au kuna maana nyingine!!!
BIG RESULT NOW at work.....Kazi kweli kweli
Ndo naipata kwako!!!
Nijuavyo mm bikra akifanya mapenzi kwa mara ya kwanza lazima some liquid nyekundu zimwagike au kuna maana nyingine!!!
hapa kazi ipoabak bikra kama ww kwan msichana huyo!!!!!
Ndo naipata kwako!!!
Nijuavyo mm bikra akifanya mapenzi kwa mara ya kwanza lazima some liquid nyekundu zimwagike au kuna maana nyingine!!!
kama ulivyosema ww ni mbulula kweli ila ulisahau kusema kwamba ww ni muongo pia!poleni na kazi!!! wife kasafiri yupo nje ya nchi kimasoma kama mwezi wa kumi huu....mzee mzima nimekabwa na maugwadu.....kuna demu wangu mmoja nilikuwa napozeapozea nae kasafiri yupo mkoa, sasa katika pitapita yangu kwenye mindao ya kijamii nikakutana na mtoto mmoja anasoma Udom....mtoto mzuri anajua kudeka ana call kila night tunapigastory...anamaneno ya kimahaba si mchezo nikaona hapa kijana nimeopoa....tukatumia skyp mtoto nikamuona live...alivyomzuri, akaniambie beib nataka nije dar tugegedane..... nikasema haina shida nauli shil ngap...akasema 18000/= nikamwambia poa ntakupa 40000 na emegency.......akasema ntakuja jmos then ntaondoka j3 asubh maana sina vipindi....nilivyotuma tu ile hela ndio ukawa mwisho wa mawasiliano.....nikajiona mburulaaa.....naapa sirudiii....naona niwaambie yasijeyakawakuta......
kama ulivyosema ww ni mbulula kweli ila ulisahau kusema kwamba ww ni muongo pia!
1.mtoto mmoja anasoma udom/.....hii hatukatai inaweza kuwa kweli ha
2akasema ntakuja jmos then ntaondoka j3 asubh maana sina vipindi/..... uongo huu..... haujui hata kama vyuo vimefungwa na bado havjafungua
hongera kwa tamthiliya yako lakni
kajiona mwamba anaombwa 18000 anatoa 40000 kumbe zuzu!!! naomba unisaisie kumuuliza etiii alikuja lini mjini?kakamatwa masikio likaburuzwa upeo wake ukaishia hapo.
poleni na kazi!!! wife kasafiri yupo nje ya nchi kimasoma kama mwezi wa kumi huu....mzee mzima nimekabwa na maugwadu.....kuna demu wangu mmoja nilikuwa napozeapozea nae kasafiri yupo mkoa, sasa katika pitapita yangu kwenye mindao ya kijamii nikakutana na mtoto mmoja anasoma Udom....mtoto mzuri anajua kudeka ana call kila night tunapigastory...anamaneno ya kimahaba si mchezo nikaona hapa kijana nimeopoa....tukatumia skyp mtoto nikamuona live...alivyomzuri, akaniambie beib nataka nije dar tugegedane..... nikasema haina shida nauli shil ngap...akasema 18000/= nikamwambia poa ntakupa 40000 na emegency.......akasema ntakuja jmos then ntaondoka j3 asubh maana sina vipindi....nilivyotuma tu ile hela ndio ukawa mwisho wa mawasiliano.....nikajiona mburulaaa.....naapa sirudiii....naona niwaambie yasijeyakawakuta......
Bora huyo chick alikutenda hivyo.poleni na kazi!!! wife kasafiri yupo nje ya nchi kimasoma kama mwezi wa kumi huu....mzee mzima nimekabwa na maugwadu.....kuna demu wangu mmoja nilikuwa napozeapozea nae kasafiri yupo mkoa, sasa katika pitapita yangu kwenye mindao ya kijamii nikakutana na mtoto mmoja anasoma Udom....mtoto mzuri anajua kudeka ana call kila night tunapigastory...anamaneno ya kimahaba si mchezo nikaona hapa kijana nimeopoa....tukatumia skyp mtoto nikamuona live...alivyomzuri, akaniambie beib nataka nije dar tugegedane..... nikasema haina shida nauli shil ngap...akasema 18000/= nikamwambia poa ntakupa 40000 na emegency.......akasema ntakuja jmos then ntaondoka j3 asubh maana sina vipindi....nilivyotuma tu ile hela ndio ukawa mwisho wa mawasiliano.....nikajiona mburulaaa.....naapa sirudiii....naona niwaambie yasijeyakawakuta......
Gharama ya uzinzi hiyo
Duh, kuna wanaume wanapata shida jamani kha... #umbulula++
Heri ubaki bikra kama mimi...
Huko UDOM anasomea nini? kama ni undergraduate si chuo kimefungwa??
Huko UDOM anasomea nini? kama ni undergraduate si chuo kimefungwa??
poleni na kazi!!! wife kasafiri yupo nje ya nchi kimasoma kama mwezi wa kumi huu....mzee mzima nimekabwa na maugwadu.....kuna demu wangu mmoja nilikuwa napozeapozea nae kasafiri yupo mkoa, sasa katika pitapita yangu kwenye mindao ya kijamii nikakutana na mtoto mmoja anasoma Udom....mtoto mzuri anajua kudeka ana call kila night tunapigastory...anamaneno ya kimahaba si mchezo nikaona hapa kijana nimeopoa....tukatumia skyp mtoto nikamuona live...alivyomzuri, akaniambie beib nataka nije dar tugegedane..... nikasema haina shida nauli shil ngap...akasema 18000/= nikamwambia poa ntakupa 40000 na emegency.......akasema ntakuja jmos then ntaondoka j3 asubh maana sina vipindi....nilivyotuma tu ile hela ndio ukawa mwisho wa mawasiliano.....nikajiona mburulaaa.....naapa sirudiii....naona niwaambie yasijeyakawakuta......
poleni na kazi!!! wife kasafiri yupo nje ya nchi kimasoma kama mwezi wa kumi huu....mzee mzima nimekabwa na maugwadu.....kuna demu wangu mmoja nilikuwa napozeapozea nae kasafiri yupo mkoa, sasa katika pitapita yangu kwenye mindao ya kijamii nikakutana na mtoto mmoja anasoma Udom....mtoto mzuri anajua kudeka ana call kila night tunapigastory...anamaneno ya kimahaba si mchezo nikaona hapa kijana nimeopoa....tukatumia skyp mtoto nikamuona live...alivyomzuri, akaniambie beib nataka nije dar tugegedane..... nikasema haina shida nauli shil ngap...akasema 18000/= nikamwambia poa ntakupa 40000 na emegency.......akasema ntakuja jmos then ntaondoka j3 asubh maana sina vipindi....nilivyotuma tu ile hela ndio ukawa mwisho wa mawasiliano.....nikajiona mburulaaa.....naapa sirudiii....naona niwaambie yasijeyakawakuta......