grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,442
- 5,807
Mwalimu anataka kumfundisha jiografia kwa vitendo, si mnaona tufe hilo hapo jamani.. Aliaanza na Tropiki ya kansa sasa yupo Ikweta maeneo yenye jua na joto kali, misitu mizito na watu wake mara nyingini weusi ili kujikinga na miale ya jua, baadaye atahamia Tropiki ya Kaprikoni. Hapo kosa liko wapi au hawataki mwalimu atumie vielelezo? Wakigoma wanalalamika wakifundisha wanalalamika.Mwalimu anagawa hadidu za rejea