Asante sana, umenisaidia kumjibu huyu kilaza!Uwezo wako wa kufikir n mdogo sana tena watu design yako hata kama wana masters bac imepatikana kwa uwezo mkubwa wa kukarir maana akili za darasan zina utofauti mkubwa na maarifa bnafsi ambayo bnadam yeyote anazaliwa nayo na kumfanya awe na vision na self awareness kubwa mfano ancient kings,Queens and scientists.Hiv vitu unavyo kwa kiwango kidogo sana kwa sabab unapokuja mada pana kama hz humu jf inabd uzfanyie uchunguz if it is a major concern for a single institute or wide problem.U almost ruined my day with this fucking post.U hav to watch your mouth sometime coz not all teachers came from poor family or living embarrassly life.Stop these games some day u will find yourself in a difficult moment of life.
Ubaya wenu wananzengo mnapenda sana kusujudiwa, mnawapiga sana majungu walimu na walimu nao wakizinyaka wanaanza kuwaona maboya tu. Kazi ya kulea mitoto iliyoshindikana majumbani mwenu ni ngumu sana. Na alaaniwe asiyemuheshimu mwalimu.Kwa bahati nzuri au mbaya nina watu wa karibu waalimu wengine shule za msingi wengine shule za sekondari.
Kwakweli nakereka sana juu ya tabia za waalimu makazini
Hawa watumishi hawapendani wao kwa wao,ni watu wa majungu kila siku,hawana ushirikiano,wamejawa wivu hata kifikia mahali pa kuoneana wivu wa mavazi
Wengine kujipendekeza kwa walimu wakuu na wakuu wa shule ilimradi tu mwingine aonekane hafai
Mitaani ndo usiseme dharau kwa wanakijiji hasa wakina dada / waalimu wa kike
Hii inanifanya niamini waalimu wa siku hizi hawana wito maana hata tabia zao si za kuigwa na ndio sababu walimu wengi wanaishia kula na kuvaa wengi wao maisha ni duni mpaka wanapostaafu na wakistaafu hawafanyi chochote cha maana kwakuwa na ushirikiano duni na jamii
Wito wangu kwenu waalimu badilikeni ili sekta ya ualimu iheshimike kwa kuanza kuiheshimisha wenyewe
Mtoa mada ni mpuuzi,kama wapuuzi wengine.Yafaa apuuzwe.Tabia ulizoeleza ziko kwa mwanadamu yeyote,bila kujali kazi yake. Waache walimu wetu,kumwaga hasira zako juu yao hakukusaidii kitu,bali kunaonyesha jinsi ulivyo na upeo mdogo wa kufikiria.
Analetewa mayai na mamboga eti nayo stadi kazi.Naskia anafundshaga somo la stadi za kazi
Kwa bahati nzuri au mbaya nina watu wa karibu waalimu wengine shule za msingi wengine shule za sekondari.
Kwakweli nakereka sana juu ya tabia za waalimu makazini
Hawa watumishi hawapendani wao kwa wao,ni watu wa majungu kila siku,hawana ushirikiano,wamejawa wivu hata kifikia mahali pa kuoneana wivu wa mavazi
Wengine kujipendekeza kwa walimu wakuu na wakuu wa shule ilimradi tu mwingine aonekane hafai
Mitaani ndo usiseme dharau kwa wanakijiji hasa wakina dada / waalimu wa kike
Hii inanifanya niamini waalimu wa siku hizi hawana wito maana hata tabia zao si za kuigwa na ndio sababu walimu wengi wanaishia kula na kuvaa wengi wao maisha ni duni mpaka wanapostaafu na wakistaafu hawafanyi chochote cha maana kwakuwa na ushirikiano duni na jamii
Wito wangu kwenu waalimu badilikeni ili sekta ya ualimu iheshimike kwa kuanza kuiheshimisha wenyewe
Mwalimu joseverest ya kweli haya?
Huna hela wewe kaa kimya,sehem unazokaa ni kwenye moto mpaka hao waalimu wasiweze,maskini mna shida saanaMkuu mimi sijawahi kufikiri kumtongoza mwalimu au ningetaka ningeisha fanya maana zipo njia nyingi za kumpata mwalimu kutokana kuwa wengi wao wana maisha magumu hatari
Kwa kifupi sina mahali naweza kutana na mwalimu maana ninapoweza kwenda kubarizi mwalimu hana uwezo wa kufika labda ajichange mwaka mzima.
Sanasana tunaonana wakifika niwakopeshe sukari 'unga na chumvi au nauli wakafuate mshahara vinginevyo kutokana na tabia zao sio wote sinaga mzuka nao
Mwalimu Msigwa njoo huku kuna watu wanahitaji kuchapo kama ulichomshushia yule dogo kule Mbeya.
Na hata mwanao usimpelekee huyo mwalimu,atamuharibu tuu ni bora umfundishe mwenyewe nyumbani kwako.Zamani mwalimu aliaminika but nowdays hata huwezi kumkabidhi mwalimu funguo ya nyumba yako coz anaweza akakuibia. Ebo!!!
Mkuu umenena kweli tupu hasa,na Mungu akikujaalia ukipata watoto bora uwafundishe mwenyewe nyumbani kwako kuliko kuwapeleka shule wakakutana na "walimu wa sasa"Kwa bahati nzuri au mbaya nina watu wa karibu waalimu wengine shule za msingi wengine shule za sekondari.
Kwakweli nakereka sana juu ya tabia za waalimu makazini
Hawa watumishi hawapendani wao kwa wao,ni watu wa majungu kila siku,hawana ushirikiano,wamejawa wivu hata kifikia mahali pa kuoneana wivu wa mavazi
Wengine kujipendekeza kwa walimu wakuu na wakuu wa shule ilimradi tu mwingine aonekane hafai
Mitaani ndo usiseme dharau kwa wanakijiji hasa wakina dada / waalimu wa kike
Hii inanifanya niamini waalimu wa siku hizi hawana wito maana hata tabia zao si za kuigwa na ndio sababu walimu wengi wanaishia kula na kuvaa wengi wao maisha ni duni mpaka wanapostaafu na wakistaafu hawafanyi chochote cha maana kwakuwa na ushirikiano duni na jamii
Wito wangu kwenu waalimu badilikeni ili sekta ya ualimu iheshimike kwa kuanza kuiheshimisha wenyewe
ila unamkabidhi mwanao (if you have any) akufundishieZamani mwalimu aliaminika but nowdays hata huwezi kumkabidhi mwalimu funguo ya nyumba yako coz anaweza akakuibia. Ebo!!!
povu tupuMkuu umenena kweli tupu hasa,na Mungu akikujaalia ukipata watoto bora uwafundishe mwenyewe nyumbani kwako kuliko kuwapeleka shule wakakutana na "walimu wa sasa"
Ni kweli ila nimempa ushauri tuuupovu tupu
Kwa hili povu,sina shaka umekataliwa na binti mwalimu.Mkuu mimi sijawahi kufikiri kumtongoza mwalimu au ningetaka ningeisha fanya maana zipo njia nyingi za kumpata mwalimu kutokana kuwa wengi wao wana maisha magumu hatari
Kwa kifupi sina mahali naweza kutana na mwalimu maana ninapoweza kwenda kubarizi mwalimu hana uwezo wa kufika labda ajichange mwaka mzima.
Sanasana tunaonana wakifika niwakopeshe sukari 'unga na chumvi au nauli wakafuate mshahara vinginevyo kutokana na tabia zao sio wote sinaga mzuka nao
Huyu atakuwa mtoto wa diwani hapo kijijini kwao.Mtoa post we una maisha mazuri?
Huenda sijui kusoma,ama mi mgumu kuelewa.Mwalimu ni mtu ambaye anaheshimika sana kwenye jamii.
Unachokisema mkuu ni cha kweli kabisa tumeishi nao huku mitaani tumewaona wana nyodo hasa hawa walimu vijana wengi au niseme baadhi wako hivyo *+#,@$?!" zao.
Niliishi nae mmoja nyumba moja alikuwa anakiherehere kweli.
Ndio maana wanavijiji huwa wanawawangia.
kuna wapiga injili wanaitwa VHM wa huku dar huwa wanaendaga vijijini kupeleka injili sikumoja walikuwa wanasimulia jinsi ushirikina unavyowatesa waalimu wa huko vijijini,VHM walikuwa wanaelezea kisa cha mwalimu mmoja akiwa anafundisha watoto walikuwa wanacheka kumbe nguo yake ya ndani ilikuwa inakatwa kishirikina inadondoka vipande vipande ilikuwa kama inakwata na kiwembe au mkasi