Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,647
- 11,227
Ukiwa employed we ni mtumwa wa employerSerikali ya Tanzania imewadharau walimu tangu na tangu na hakuna lolote hebu acha mkwara.
Ukiwa employed we ni mtumwa wa employerSerikali ya Tanzania imewadharau walimu tangu na tangu na hakuna lolote hebu acha mkwara.
Watu na tabia zao ni ngumu kuwabadilishaKwa bahati nzuri au mbaya nina watu wa karibu waalimu wengine shule za msingi wengine shule za sekondari.
Kwakweli nakereka sana juu ya tabia za waalimu makazini
Hawa watumishi hawapendani wao kwa wao,ni watu wa majungu kila siku,hawana ushirikiano,wamejawa wivu hata kifikia mahali pa kuoneana wivu wa mavazi
Wengine kujipendekeza kwa walimu wakuu na wakuu wa shule ilimradi tu mwingine aonekane hafai
Mitaani ndo usiseme dharau kwa wanakijiji hasa wakina dada / waalimu wa kike
Hii inanifanya niamini waalimu wa siku hizi hawana wito maana hata tabia zao si za kuigwa na ndio sababu walimu wengi wanaishia kula na kuvaa wengi wao maisha ni duni mpaka wanapostaafu na wakistaafu hawafanyi chochote cha maana kwakuwa na ushirikiano duni na jamii
Wito wangu kwenu waalimu badilikeni ili sekta ya ualimu iheshimike kwa kuanza kuiheshimisha wenyewe
Hilo ni dhahiri.Ukiwa employed we ni mtumwa wa employer
Ni sahihi kabisa mkuu, Bila shaka hata mwalimu aliyekufundisha kusoma n kuandika nae yuko hivihiviMkuu mimi sijawahi kufikiri kumtongoza mwalimu au ningetaka ningeisha fanya maana zipo njia nyingi za kumpata mwalimu kutokana kuwa wengi wao wana maisha magumu hatari
Kwa kifupi sina mahali naweza kutana na mwalimu maana ninapoweza kwenda kubarizi mwalimu hana uwezo wa kufika labda ajichange mwaka mzima.
Sanasana tunaonana wakifika niwakopeshe sukari 'unga na chumvi au nauli wakafuate mshahara vinginevyo kutokana na tabia zao sio wote sinaga mzuka nao
Mkuu nipe mawasiliano ya mmoja wapo wa kike natafuta wakuoa.Kwa bahati nzuri au mbaya nina watu wa karibu waalimu wengine shule za msingi wengine shule za sekondari.
Kwakweli nakereka sana juu ya tabia za waalimu makazini
Hawa watumishi hawapendani wao kwa wao,ni watu wa majungu kila siku,hawana ushirikiano,wamejawa wivu hata kifikia mahali pa kuoneana wivu wa mavazi
Wengine kujipendekeza kwa walimu wakuu na wakuu wa shule ilimradi tu mwingine aonekane hafai
Mitaani ndo usiseme dharau kwa wanakijiji hasa wakina dada / waalimu wa kike
Hii inanifanya niamini waalimu wa siku hizi hawana wito maana hata tabia zao si za kuigwa na ndio sababu walimu wengi wanaishia kula na kuvaa wengi wao maisha ni duni mpaka wanapostaafu na wakistaafu hawafanyi chochote cha maana kwakuwa na ushirikiano duni na jamii
Wito wangu kwenu waalimu badilikeni ili sekta ya ualimu iheshimike kwa kuanza kuiheshimisha wenyewe
waalimu hawapendani wao kwa wao,ni watu wa majungu kila siku,hawana ushirikiano,wamejawa wivu hata kifikia mahali pa kuoneana wivu wa mavazi
Wengine kujipendekeza kwa walimu wakuu na wakuu wa shule ilimradi tu mwingine aonekane hafai
Mitaani ndo usiseme dharau kwa wanakijiji hasa wakina dada / waalimu wa kike
Kuthibisha tabia zisizo za kimaadili katika jamii yoyote ile ni pale unamkuta mwalimu kisima cha maarifa badala ya kujibi/kuchangia hoja kwa hoja anatukana kama huyu!!!!!!!Hakuna kusikokuwa na majungu kuanzia kweny uongoz,siasa,huduma za afya,elimu na hata kweny masuala ya kidin.Usipende kukalil na ucpende kuandika vitu ucvyovfanyia uchunguz pande zote na ucjdanganye na fikra zako finyu eti walimu wanaish maisha,ww maisha dun unayajua?Uctafute kick maana wakat wake umekwisha.Mind your business.Nonsense
To hell with your poor Swahili writing!Kwa bahati nzuri au mbaya nina watu wa karibu waalimu wengine shule za msingi wengine shule za sekondari.
Kwakweli nakereka sana juu ya tabia za waalimu makazini
Hawa watumishi hawapendani wao kwa wao,ni watu wa majungu kila siku,hawana ushirikiano,wamejawa wivu hata kifikia mahali pa kuoneana wivu wa mavazi
Wengine kujipendekeza kwa walimu wakuu na wakuu wa shule ilimradi tu mwingine aonekane hafai
Mitaani ndo usiseme dharau kwa wanakijiji hasa wakina dada / waalimu wa kike
Hii inanifanya niamini waalimu wa siku hizi hawana wito maana hata tabia zao si za kuigwa na ndio sababu walimu wengi wanaishia kula na kuvaa wengi wao maisha ni duni mpaka wanapostaafu na wakistaafu hawafanyi chochote cha maana kwakuwa na ushirikiano duni na jamii
Wito wangu kwenu waalimu badilikeni ili sekta ya ualimu iheshimike kwa kuanza kuiheshimisha wenyewe
Bado huaelewa somo that's why you are just vomiting useless argumentsUwezo wako wa kufikir n mdogo sana tena watu design yako hata kama wana masters bac imepatikana kwa uwezo mkubwa wa kukarir maana akili za darasan zina utofauti mkubwa na maarifa bnafsi ambayo bnadam yeyote anazaliwa nayo na kumfanya awe na vision na self awareness kubwa mfano ancient kings,Queens and scientists.Hiv vitu unavyo kwa kiwango kidogo sana kwa sabab unapokuja mada pana kama hz humu jf inabd uzfanyie uchunguz if it is a major concern for a single institute or wide problem.U almost ruined my day with this fucking post.U hav to watch your mouth sometime coz not all teachers came from poor family or living embarrassly life.Stop these games some day u will find yourself in a difficult moment of life.
Huwa ndivyo mlivyo kila mnayemwona anakuwa na upeo mdogo wa kufikiri mkidhani ninyi mmemaliza madarasaMtoa mada ni mpuuzi,kama wapuuzi wengine.Yafaa apuuzwe.Tabia ulizoeleza ziko kwa mwanadamu yeyote,bila kujali kazi yake. Waache walimu wetu,kumwaga hasira zako juu yao hakukusaidii kitu,bali kunaonyesha jinsi ulivyo na upeo mdogo wa kufikiria.
Duu inawezekana umezibamba hivi karibuni na umeteka hako kamtaa kako basi unajiona umefika. Ila kwa matajiri ninao wafahamu hawanaga dharau za kishamba kama hizoMkuu mimi sijawahi kufikiri kumtongoza mwalimu au ningetaka ningeisha fanya maana zipo njia nyingi za kumpata mwalimu kutokana kuwa wengi wao wana maisha magumu hatari
Kwa kifupi sina mahali naweza kutana na mwalimu maana ninapoweza kwenda kubarizi mwalimu hana uwezo wa kufika labda ajichange mwaka mzima.
Sanasana tunaonana wakifika niwakopeshe sukari 'unga na chumvi au nauli wakafuate mshahara vinginevyo kutokana na tabia zao sio wote sinaga mzuka nao