Waalimu mnakera sana!

Waalimu mnakera sana!

WONDERS JF

we jamaa umenishangaza sana, kumbe n mwl tena asie na ajira, Chuki zako tuu unakuja kubwabwanya humu. Usimuombee mwenzako mabaya ,ila kwa stail hii Ajira utaiskia Mtandaoni.


c8adff85face663efbfd957a3cdb5291.jpg


Siku zote mtu akituma post ya kipuuuzi cha kwanza n kuangalia Background yake kwanza, Mwisho wa siku naona kile ambacho nilitarajia kukiona
Kama ndio huyu basi atakuwa mpu-****- mbavu sio bure!
Mwenye akili timamu huwezi kuwa na mambo ya kufitinisha. Kama kweli ni mwalimu basi alichokiandika ndio tabia yake ila ameshindwa tu kusema jamani mimi heavload niko hivi badala yake akaja kwa kofia ya walimu ili aelezee wasifu wake.
Wazazi wa huyu waliuza ng'ombe wao kumpeleka ng'ombe huyu shuleni!
 
Kwa bahati nzuri au mbaya nina watu wa karibu waalimu wengine shule za msingi wengine shule za sekondari.
Kwakweli nakereka sana juu ya tabia za waalimu makazini
Hawa watumishi hawapendani wao kwa wao,ni watu wa majungu kila siku,hawana ushirikiano,wamejawa wivu hata kifikia mahali pa kuoneana wivu wa mavazi
Wengine kujipendekeza kwa walimu wakuu na wakuu wa shule ilimradi tu mwingine aonekane hafai
Mitaani ndo usiseme dharau kwa wanakijiji hasa wakina dada / waalimu wa kike
Hii inanifanya niamini waalimu wa siku hizi hawana wito maana hata tabia zao si za kuigwa na ndio sababu walimu wengi wanaishia kula na kuvaa wengi wao maisha ni duni mpaka wanapostaafu na wakistaafu hawafanyi chochote cha maana kwakuwa na ushirikiano duni na jamii
Wito wangu kwenu waalimu badilikeni ili sekta ya ualimu iheshimike kwa kuanza kuiheshimisha wenyewe
hakuna waalimu, tuna walimu
 
Huu ukosefu wa ajira haujawahi muacha MTU salama
Tatizo linakuja kwenye hii roho mbaya , sasa kukosa kwake ajira ndo awachukie wal8o kwenye system??!!
Ataisoma namba mlafwoko huyo
Hivi wewe mwalimu kumbe bado uelewa wako ni mdogo sana juu ya mambo mengi zaidi sana hata usalama wako binafsi
Kutokana na tabia zenu mtaendelea kuwa madaraja ya kupitia wenzenu. Mi nilidhani kati yenu mliochangia hii hoja angepatikana hata mmoja ambae angechangia cha maana. Tatizo bado ni kubwa kwakuwa shida haipo kwenye ualimu ila waalimu ndio wenye shida hawajitambui wala hawajui wanataka wafanyiwe nini,wala hawajui wajipange vipi kimkakati kuiheshimisaha sekta ya ualimu
Na wewe unayejibagua kisa unafundisha shule binafsi bado ni tatizo kwani umesahau kuwa wote mpo kwenye boti moja na safari yenu ni moja. Lakini pia unadhihirisha ubinafsi mlionao walimu na jinsi msivyo na umoja
Umesahahau manyanyaso mnayoyapata kwa waajiri wenu halafu unajiona bora kuliko waalimu wa st kayumba kama unavyowaita
Lingine unauhakika gani kama mleta mada ni mwalimu aliyekosa ajira?Labda kwa post yake.Kama ni hivyo umechemka mwalimu.
NIONAVYO MIMI ITACHUKUWA ZAIDI YA MIAKA HAMSINI MTU AKAJIVUNIA KUWA MWALIMU BUT NOT NOW MAANA TATIZO SIO UALIMU BALI NI WAALIMU WENYEWE OVA
 
Hawajui wanachotaka maishani
Pole sana mkuu kwa kuwa mhanga wa ajira!
Ila hata nje ya ajira kuna maisha tena ni mazuri tu cha msingi acha ujinga jikite kwenye mambo ya msingi hutojutia kutokuajiriwa ila kama kweli walimu ndio una mawazo ya hivi ualimu hautakuja kuheshimika tena mpaka kiama.

Tofauti yako ya walimu wa kike unaowasema sijaiona hapo ukute wewe ni mwalimu wa kiume uko hivi. Hivi wewe ungeajiriwa kweli unageenda kutufundishia nini watoto wetu?
Huwezi kuendelea kwa kumkasirikia/kumwonea wivu aliyekuzidi kimaendeleo haya huwa yapo kwa wake wenza tu hasa wakijikuta hawana upeo wa kufikiria maana wao huwaza kushindania bwana mmoja huyo wanaye share pamoja!
Wewe na hao walimu wa kike mnashindania nini?
Jitafakari
 
Pole sana mkuu kwa kuwa mhanga wa ajira!
Ila hata nje ya ajira kuna maisha tena ni mazuri tu cha msingi acha ujinga jikite kwenye mambo ya msingi hutojutia kutokuajiriwa ila kama kweli walimu ndio una mawazo ya hivi ualimu hautakuja kuheshimika tena mpaka kiama.

Tofauti yako ya walimu wa kike unaowasema sijaiona hapo ukute wewe ni mwalimu wa kiume uko hivi. Hivi wewe ungeajiriwa kweli unageenda kutufundishia nini watoto wetu?
Huwezi kuendelea kwa kumkasirikia/kumwonea wivu aliyekuzidi kimaendeleo haya huwa yapo kwa wake wenza tu hasa wakijikuta hawana upeo wa kufikiria maana wao huwaza kushindania bwana mmoja huyo wanaye share pamoja!
Wewe na hao walimu wa kike mnashindania nini?
Jitafakari
 
Kama ndio huyu basi atakuwa mpu-****- mbavu sio bure!
Mwenye akili timamu huwezi kuwa na mambo ya kufitinisha. Kama kweli ni mwalimu basi alichokiandika ndio tabia yake ila ameshindwa tu kusema jamani mimi heavload niko hivi badala yake akaja kwa kofia ya walimu ili aelezee wasifu wake.
Wazazi wa huyu waliuza ng'ombe wao kumpeleka ng'ombe huyu shuleni!
Yaaan usiulizee ndo mwenyewe tena kasomea TEKU Nilishamstukia
 
Huu ukosefu wa ajira haujawahi muacha MTU salama
Tatizo linakuja kwenye hii roho mbaya , sasa kukosa kwake ajira ndo awachukie wal8o kwenye system??!!
Ataisoma namba mlafwoko huyo
Yaan bahat nzur jf ukiweka post huwez ifuta, Alikuja humu kulalamika hana ajira n mwalimu. Leo amekosa anaruka ukuta. n yale yale ya sizitaki mbichi hizi
 
Mufilisi kuwa mwalimu wewe uwe wa tofauti mijitu mingine oooovyyyyyyo
 
Back
Top Bottom