Waalimu mmeona mfano?

nimie

JF-Expert Member
Sep 9, 2011
525
104
Mara nyingi waalimu wamekuwa wakilalamika kuonewa katika stahili zao. Kuna wakati walijitutumua kudai kwa msimamo wa nchi nzima. Lakini kwa aibu waliishia kurushiana viatu, mawe, viti wakajisambalatisha kabla ya kusambalatishwa! Nawaambia hivi mkiwa na madai halali komaeni "mzungumze na serikali" kama walivyofanya madaktari.
 
Walimu wa tanzania hawataweza kamwe zaidi hapa ni kuhama ajira
 
hawa walimu noma msiwaone hivi nyie wenyewe mmeshuhudia upupu uliotokea mtihani wa darasa la saba na form four..inabidi serikali iwasikilize la sivyo huko mbele sekta ya elimu itakufa kabisa.....
 
Mara nyingi waalimu wamekuwa wakilalamika kuonewa katika stahili zao. Kuna wakati walijitutumua kudai kwa msimamo wa nchi nzima. Lakini kwa aibu waliishia kurushiana viatu, mawe, viti wakajisambalatisha kabla ya kusambalatishwa! Nawaambia hivi mkiwa na madai halali komaeni "mzungumze na serikali" kama walivyofanya madaktari.
waalimu.wengi haswa wa primary ni waoga shauri ya elimu duni
 
hawa walimu noma msiwaone hivi nyie wenyewe mmeshuhudia upupu uliotokea mtihani wa darasa la saba na form four..inabidi serikali iwasikilize la sivyo huko mbele sekta ya elimu itakufa kabisa.....

Uuuwi, na hili ndo shambulizi baya kuliko. Kama waalimu wameamua kuzalisha mambumbumbu basi kama taifa tumekwisha. Ndo mana tulisikia kuna wanafunzi wamechaguliwa kuingia kidato cha kwanza lakini hawajui kusoma wala kuandika. Kazi ipo, na haya mambo jamani huwa yana back fire, si mmeona matokeo ya mwana wa asha?
 
mgomo wa kimyakimya hauwasaidii maana maslahi hayabadiliki na wanaofeli ni watoto wa walala hoi,watoto wa mafisadi wanapeta tu huko st.something
 
Na mtaona how teachers can react passivelly. Tunazalisha mambu2 lakini wanaotaka haki,hivyo nchi haitatawalika until the government admire for reconciliation.
 
mgomo wa kimyakimya hauwasaidii maana maslahi hayabadiliki na wanaofeli ni watoto wa walala hoi,watoto wa mafisadi wanapeta tu huko st.something

Mwanaasha na Jesca nao ni wa walalahoi?
 
hawa walimu noma msiwaone hivi nyie wenyewe mmeshuhudia ***** uliotokea mtihani wa darasa la saba na form four..inabidi serikali iwasikilize la sivyo huko mbele sekta ya elimu itakufa kabisa.....
Na hili litaendelea sana tu,maana wakifaulu serikali itajigamba oooh tumefanya hivi na vile sasa cha msingi nikupiga blabla class
 
Wako kwenye mgomo wa kimyakimya usio na mwisho.Fuatilia matokeo ya mitihani upate majibu.

mwambie huyu mwehu, yeye anafikiri div 0 zinatoka wapi? Mwaka jana 47% wame score 0. Hapo sijahesabu div 4 mbaya za pts 30~33. Kifupi 70% wamefeli.

Serikali ipate funzo hapo.
 
Back
Top Bottom