F fisadimpya Senior Member Oct 27, 2011 191 103 Apr 12, 2018 #1 Kwa ufisadi huu wa mabilion ndani ya chama hamna lingine lakuwasaidia waalimu wanakatwa makato kumbe wachache wanayafaidi.
Kwa ufisadi huu wa mabilion ndani ya chama hamna lingine lakuwasaidia waalimu wanakatwa makato kumbe wachache wanayafaidi.
wined JF-Expert Member Nov 1, 2015 2,292 2,765 Apr 12, 2018 #4 Hiki chama yan basi tu hakina mana yoyote kifutwe tu wanafaidi viongozi tu