Walimu wa Tanzania wana madeni ya kutisha!

Fukua

JF-Expert Member
Jun 1, 2022
546
479
Wakati mishahara yao haitoshi hata kununulia juisi, Bado wanakatwa makato ya kinyonyaji na Hilo chama lao la cwt, Kodi ni kubwa kwao, mbaya zaidi ni madeni makubwa kwenye mabanki kwa riba kubwa.

Bila elimu nzuri hili taifa halitopata maendeleo kamwe na waalimu ndio wafuta ujinga adui mojawapo wa taifa letu.

Serikali chini ya raisi wetu mwema tunakuomba muwalipie waali baadhi ya madeni yao au kuwasamehe kabisa.
Kwani wanafundisha wakiwa na misongo ya madeni hivyo kuathiri ujifunzaji wa watoto.

Hili linawezekana serikali ikiwa na Nia. Waalimu ni watumishi wazuri wa chama na serikali wafikirieni.

Ahsante mama Samia kwa uchapa kazi wako uliotukuka, wewe ni mskivu na mwenye huruma.
 
Hahahahahaha
Nimecheka sana wazo la mtoa mada limenichekesha sana. Kwa miaka sita ya muenda zake watumishi wote wa serikali hawakupandishwa mishahara. Kwa hiyo mama alipoanza kazi alipaswa na hata sasa anaweza kuwapandisha daraja moja kama fidia ya wakati mgumu walioupitia. Hilo linaweza kufuta hiyo changamoto ya madeni maana litaleta nafuu kubwa. Hiyo haitakuwa fadhila wa huruma bali
 
Wakati mishahara yao haitoshi hata kununulia juisi, Bado wanakatwa makato ya kinyonyaji na Hilo chama lao la cwt, Kodi ni kubwa kwao, mbaya zaidi ni madeni makubwa kwenye mabanki kwa riba kubwa.

Ahsante mama Samia kwa uchapa kazi wako uliotukuka, wewe ni mskivu na mwenye huruma.
Viongozi wote wa nchi za Afrika ni mashetani.sasa hivi watumishi wanao kwa pesa nyingi kupitia kikokotoo.watumishi wanalipwa pensheni mil 15 na take home ya mwezi ni 215,000 halafu serikali ya hivyo itawalipia madeni?kale kaongezeko kwa julai mwaka huu walioongezewa august wakisubiri wanaostaafu julai waondoke ili wasipewe hiyo nyongeza halafu kuna mbwa wanasifia watawala.
 
Dawa ya deni ni kulipa tu, au kulikimbia kwa kuacha kazi, nk. Na siyo kulipiwa kwa kujipendekeza kwa Mama.
Na pia ukumbuke kukopa kwa malengo. Maana ni kweli riba za mabenki yetu siyo rafiki kabisa kwa wakopaji kutokana na kiweka ribu kubwa.


Hivyo watumishi wanatakiwa kukopa na kufanyia malengo sahihi hiyo mikopo. Ukikopa ili kujenhea nyumba, kumpeleka mtoto shule nzuri ya gharama, kufanyia sherehe, kununulia gari la kutembelea, nk. Lazima maumivu yawepo. Ila ukikopa na kuizungushia hiyo hela, walau maumivu yanaweza kupungua.
 
Wakati mishahara yao haitoshi hata kununulia juisi, Bado wanakatwa makato ya kinyonyaji na Hilo chama lao la cwt, Kodi ni kubwa kwao, mbaya zaidi ni madeni makubwa kwenye mabanki kwa riba kubwa.

Bila elimu nzuri hili taifa halitopata maendeleo kamwe na waalimu ndio wafuta ujinga adui mojawapo wa taifa letu.

Serikali chini ya raisi wetu mwema tunakuomba muwalipie waali baadhi ya madeni yao au kuwasamehe kabisa.
Kwani wanafundisha wakiwa na misongo ya madeni hivyo kuathiri ujifunzaji wa watoto.

Hili linawezekana serikali ikiwa na Nia. Waalimu ni watumishi wazuri wa chama na serikali wafikirieni.

Ahsante mama Samia kwa uchapa kazi wako uliotukuka, wewe ni mskivu na mwenye huruma.

Wewe ni mwalimu? Na Uliyajuaje madeni yao hadi ukajumlisha kwa nchi nzima?Jambo usilolifanyia utafiti usilizungumze!
 
Viongozi wote wa nchi za Afrika ni mashetani.sasa hivi watumishi wanao kwa pesa nyingi kupitia kikokotoo.watumishi wanalipwa pensheni mil 15 na take home ya mwezi ni 215,000 halafu serikali ya hivyo itawalipia madeni?kale kaongezeko kwa julai mwaka huu walioongezewa august wakisubiri wanaostaafu julai waondoke ili wasipewe hiyo nyongeza halafu kuna mbwa wanasifia watawala.

Inaonesha ulivyo mbumbumbu hata wa kujua pensheni ni kitu gani! Hiyo unayosema wanalipwa kila mwezi ndiyo pensheni sasa! Iliyolipwa kwa mkupuo unayodai wewe ni mil 15 inaitwa kiinua mgongo au gratuity ukitaka tukufundishe na kiingereza chake! Usibabie siku zote jambo usilolijua. Nenda kalime mvua za masika tayari zinaunguruma!
 
Hahahahahaha
Nimecheka.sana. wazo la mtoa mada limenichekesha sana. Kwa miaka sita ya muenda zake watumishi wote wa serikali hawakupandishwa mishahara. Kwa hiyo mama alipoanza kazi alipaswa na hata sasa anaweza kuwapandisha daraja moja kama fidia ya wakati mgumu walioupitia. Hilo linaweza kufuta hiyo changamoto ya madeni maana litaleta nafuu kubwa. Hiyo haitakuwa fadhila wa huruma bali
Ugumu wa maisha unatokana na kukosa ustahimilivu wa bidhaa hasa chakula. Hili la vyakula mwendazake aliliweza sana. Elfu 50 mtu aliweza kukunua kila 50 za mchele kwa sasa kilo 50 za mchele unahitaji laki 125,000/ yaani ongezeko la 175,000/= alafu mfanyakazi huyo unamuongezea elfu 15 unasema umemsaidia!? Huu si upumbav kabisa?
 
Achana na walimu....hivi nchi yetu madeni yake mnayaelewa.....unaweza hata kushindwa kulala. Nyie acheni tu!!!! Walimu kopeni
 
Wakati mishahara yao haitoshi hata kununulia juisi, Bado wanakatwa makato ya kinyonyaji na Hilo chama lao la cwt, Kodi ni kubwa kwao, mbaya zaidi ni madeni makubwa kwenye mabanki kwa riba kubwa.

Bila elimu nzuri hili taifa halitopata maendeleo kamwe na waalimu ndio wafuta ujinga adui mojawapo wa taifa letu.

Serikali chini ya raisi wetu mwema tunakuomba muwalipie waali baadhi ya madeni yao au kuwasamehe kabisa.
Kwani wanafundisha wakiwa na misongo ya madeni hivyo kuathiri ujifunzaji wa watoto.

Hili linawezekana serikali ikiwa na Nia. Waalimu ni watumishi wazuri wa chama na serikali wafikirieni.

Ahsante mama Samia kwa uchapa kazi wako uliotukuka, wewe ni mskivu na mwenye huruma.
Hoja ya msingi kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom