Waafrika waanza kuivamia nchi ndogo ya Gambia, hali ya Hatari imetangazwa!

Atakaye sababisha umwagaji wa damu ya watu wasio na hatia ni Yahaya, kinacho mfanya asiondoke madarakani pamoja na kushindwa kwenye box la kura ni nini?
Kuna siku nilisoma jinsi alivyoua watu yahaya jameh nilichoka. Nadhani sasa inaenda kutokea kama gadafi, maana na yeye aliuua weee ila mwisho wa siku akajificha chini ya daraja kama sadam hussein na akaonja umauti. Angekuwa mjanja jameh angesepa then akajipanga huko huko na kurudi
 
Barbarosa;
Sijui nia yako lakini I think something fishy is in between your lines. Umeona ubaya gani katika vipaumbele vyake?? Kwa nini Yahaya alikataa ushirika huo?? Kwa nini Wagambia walimkataa kwenye box kama alikuwa anajieleza vizuri?? Waache wafu wazike wafu wao. Nasema, wewe huwezi kuwa na fikra nzuri zaidi ya hao majirani walio karibu nao. Ufike wakati, uamuzi wa wengi uheshimiwe. Ajaye kusaidia kuuweka uamuzi wa wengi madarakani hata angelikuwa kaburu, are tuu


Kwa hiyo unaona ni sawa nchi kujiamulia tu kuvamia nchi nyingine? Ni kwa nini kuna International law? I.law inasema UNSC ndiyo yenye kuamua na siyo mtu wala nchi yoyote ile, isitoshe ni kinyume hata na katiba ya ecowas yenyewe ambayo insema ni ushirikiano wa kiuchumi tu, hivyo hawana uhalali wowote ule wa kuivamia nchi ya Gambia na haijalishi Kiongozi wa Gambia wanampenda au hawampendi!
 
Unajua Ilani yake ya uchaguzi huyo Adama Barrow? Amesema kwamba anataka kuirudisha Gambia British common wealth na ICC, sasa wewe uliona wapi Kiongozi wa Upinzani wa nchi masikini kama Gambia anakuwa na Vipaumbele hivyo hivyo? hakuna kingine alichokiongelea zaidi ya hivyo viwili!
Wacha maneno, Kati ya Barrow na Yahaya nani alishinda uchaguz wa majuz???????


unadhan hao walio mchagua hawana akil kama wewe? Mtu amekaa madarakan miaka 20 hakuna la maana alilo fanya aendelee kufanya nini? Aliepigiwa kura na wengi ndie anae stahili kukaa ikulu, kama na hao wazungu walihusika kupiga kura hapo sawa
 
Wacha maneno, Kati ya Barrow na Yahaya nani alishinda uchaguz wa majuz???????


unadhan hao walio mchagua hawana akil kama wewe? Mtu amekaa madarakan miaka 20 hakuna la maana alilo fanya aendelee kufanya nini? Aliepigiwa kura na wengi ndie anae stahili kukaa ikulu, kama na hao wazungu walihusika kupiga kura hapo sawa


Lakini ni uvamizi, hivyo ni kosa!
 
Nakujua wewe mchumia tumbo lakini sikujua kama ni Wa kiwango cha lami.

Hata viongozi wa kiafrika wakifanya upumbavu basi anasingiziwa mzungu. Jaman hivi tutaanza lini kutumia akili kufikiri?
anaweza kulala njaa huyu asingizie mzungu ndie tatizo
 
Lakini ni uvamizi, hivyo ni kosa!
hakuna kosa lolote, wamekaa viongoz wa ukanda husika wamepanga na wameamua, kikao chao kina baraka, Yahaya aondoke madarakan, na si vinginevyo

Kung'ang'ania ikulu wakati umeshindwa kwenye sanduku sio kosa, kwako wewe kosa n mtaifa jiran kuwasaidia wananchi kumuondoa alieng'ang'ania ikulu, unatumia nn kuwaza
 
Nchi za Afrika ya Magharibi zikiongozwa na nchi ya Nigeria ambayo jina lake limetokana na neno Nigga (Nigeria-Niger), zimeanza jitihada zao za kuivamia nchi ndogo ya Gambia kwa lengo la kumuweka madarakani kwa nguvu Kibaraka wa Kizungu, sasa hali ya hatari imeshatangazwa nchini humo!

Kwa mara nyingine tena watu wengi wanakwenda kufa Afrika, ikumbukwe kwamba takataka wa Afrika Magharibi wanafanya uvamizi kwa maana hawana baraka za UNSC (UN) hivyo ni vita haramu, ambayo Mzungu yuko nyuma yake, kwa lengo la kuirudisha kwa nguvu nchi ya Gambia kwenye Jumuiya ya Madola na ICC!

Kenya ukiona mwenzako ananyolewa wewe tia amaji, hata Uhuru Kenya anataka kuiondoa nchi ya Kenya ICC, sasa subiri moto wako unakuja!

Muafrika ni Mtumwa wa Muzungu!


Gambia's Yahya Jammeh declares state of emergency
Jammeh deserve people's justice like shredding in chaff cutter.
 
Kwa hiyo unaona ni sawa nchi kujiamulia tu kuvamia nchi nyingine? Ni kwa nini kuna International law? I.law inasema UNSC ndiyo yenye kuamua na siyo mtu wala nchi yoyote ile, isitoshe ni kinyume hata na katiba ya ecowas yenyewe ambayo insema ni ushirikiano wa kiuchumi tu, hivyo hawana uhalali wowote ule wa kuivamia nchi ya Gambia na haijalishi Kiongozi wa Gambia wanampenda au hawampendi!
Kabla ya kuvamiwa au hali hiyo unayoipigia kelele kutokea, hukumbuki hao Ecowas walimfuata Jammeh mara tatu?
Licha ya ukweli kuwa wazi lakini bado unataka uufumbie macho....
Aisee kweli ukipenda chongo lazima utaita ni kengeza. Jammeh alifuatwa zaidi ya mara tatu kumuomba aachie madaraka kwa amani lakini zote alikataa.
Aliona kiburi kwa kuwa anamiliki jeshi. Sasa ajitokeze kifua mbele kupambana na Ecowas. Mabavu ilikuwa ni option ya mwisho na aliambiwa kuwa ukikataa amani tutakutoa kwa mabavu.
 
Mtoa mada bila shaka ni kijana wa lumumba mnapenda sana kuiba chaguzi, huku unasema UN hawajabariki, huku unasema ni mpango haramu wa wazungu, wewe unafikiri wenye maamuzi makubwa UN ni wa Afrika? Ata nyinyi dawa yenu inakuja, pendeleeni tu kuiba chaguzi
 
hakuna kosa lolote, wamekaa viongoz wa ukanda husika wamepanga na wameamua, kikao chao kina baraka, Yahaya aondoke madarakan, na si vinginevyo

Kung'ang'ania ikulu wakati umeshindwa kwenye sanduku sio kosa, kwako wewe kosa n mtaifa jiran kuwasaidia wananchi kumuondoa alieng'ang'ania ikulu, unatumia nn kuwaza


Haulewi unachokiongea, Afrika tumekuwa victim wa sera kama hizo za watu kukaa na kujiamulia kuivamia Afrika, Wazungu wamefanya sana, na ndo maana wakaanzisha UN (UNSC) kwa lengo hilo hilo, haya mambo hayataki jazba, kwani ukiruhusu kila mtu kujiamulia kuvamia atakavyo kesho Misri wakivamia Tanzania kwa kuwa hawataki tutumie maji ya Ziwa Nyanza/viktoria unafikir ni sawa? Na je sisi tutaenda wapi kama Misri wakiamua tu kwa kuwa wanaweza na wana uwezo huo, wakitukataza kutumia maji ya Ziwa Nyanza, kama unafikiri international law haina maana? Kwa maana hatuna uwezo wa kupigana na Misri kimabavu hata iweje!
Haya mambo hayaendi hivyo na ndio maana kuna UN!
 
Kabla ya kuvamiwa au hali hiyo unayoipigia kelele kutokea, hukumbuki hao Ecowas walimfuata Jammeh mara tatu?
Licha ya ukweli kuwa wazi lakini bado unataka uufumbie macho....
Aisee kweli ukipenda chongo lazima utaita ni kengeza. Jammeh alifuatwa zaidi ya mara tatu kumuomba aachie madaraka kwa amani lakini zote alikataa.
Aliona kiburi kwa kuwa anamiliki jeshi. Sasa ajitokeze kifua mbele kupambana na Ecowas. Mabavu ilikuwa ni option ya mwisho na aliambiwa kuwa ukikataa amani tutakutoa kwa mabavu.


Kwa nini hawajaipeleka UNSC?
 
Sjui kwanini rangi za chama cha Yahya Jammeh ni kijani na alieshinda Balow ni BLUU.

Nikiunganisha na huyu mleta mada kumtetea alieshindwa uchaguzi.....
 
Haulewi unachokiongea, Afrika tumekuwa victim wa sera kama hizo za watu kukaa na kujiamulia kuivamia Afrika, Wazungu wamefanya sana, na ndo maana wakaanzisha UN (UNSC) kwa lengo hilo hilo, haya mambo hayataki jazba, kwani ukiruhusu kila mtu kujiamulia kuvamia atakavyo kesho Misri wakivamia Tanzania kwa kuwa hawataki tutumie maji ya Ziwa Nyanza/viktoria unafikir ni sawa? Na je sisi tutaenda wapi kama Misri wakiamua tu kwa kuwa wanaweza na wana uwezo huo, wakitukataza kutumia maji ya Ziwa Nyanza, kama unafikiri international law haina maana? Kwa maana hatuna uwezo wa kupigana na Misri kimabavu hata iweje!
Haya mambo hayaendi hivyo na ndio maana kuna UN!
Africa haijawah victim, akili yako ndio imekua victim, hadi Uwezo wa ku reasoning umekwisha kabisa
 
Nchi za Afrika ya Magharibi zikiongozwa na nchi ya Nigeria ambayo jina lake limetokana na neno Nigga (Nigeria-Niger), zimeanza jitihada zao za kuivamia nchi ndogo ya Gambia kwa lengo la kumuweka madarakani kwa nguvu Kibaraka wa Kizungu, sasa hali ya hatari imeshatangazwa nchini humo!

Kwa mara nyingine tena watu wengi wanakwenda kufa Afrika, ikumbukwe kwamba takataka wa Afrika Magharibi wanafanya uvamizi kwa maana hawana baraka za UNSC (UN) hivyo ni vita haramu, ambayo Mzungu yuko nyuma yake, kwa lengo la kuirudisha kwa nguvu nchi ya Gambia kwenye Jumuiya ya Madola na ICC!

Kenya ukiona mwenzako ananyolewa wewe tia amaji, hata Uhuru Kenya anataka kuiondoa nchi ya Kenya ICC, sasa subiri moto wako unakuja!

Muafrika ni Mtumwa wa Muzungu!


Gambia's Yahya Jammeh declares state of emergency
Acha kubwabwaja usichojua..
Ukisoma Article 53 ya UN Charter ina-impose obligation kwa Mataifa yanayounda umoja kuchukua hatua za awali kabla ya UN kuingilia na jukumu lao ni kuipa taarifa tu UN
Under the so called "Regional Arrangements".
Kama hujui sharia za Kimataifa acha kuandika uccm wako hapa.
 
Unajua Ilani yake ya uchaguzi huyo Adama Barrow? Amesema kwamba anataka kuirudisha Gambia British common wealth na ICC, sasa wewe uliona wapi Kiongozi wa Upinzani wa nchi masikini kama Gambia anakuwa na Vipaumbele hivyo hivyo? hakuna kingine alichokiongelea zaidi ya hivyo viwili!
Aliongea hivyo tu na akapata ushindi?

Basi wananchi wa Gambia wanataka hivyo. Kama watanzania wanavyotaka udanganyifu wa chama chetu.

By the way, kwa nini umeamua kumshambulia aliyeshinda uchaguzi na ukampamba aliyeshindwa uchaguza kisha akang'ang'ania madarakani? kwako huyu yuko halali kweli? uchaguzi walifanya wa nini?
 
Jamaa sioni kitu chenye mashiko alichoandika zaidi ya pumba.Jipange maana umekurupuka kuandika..
 
Back
Top Bottom