Utotole
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,604
- 4,259
Yaani CCM ni CCM tu.Tatizo lako hupendi upinzani, kama wananchi waliridhia sera zake wewe watakaje?
Mpinzani apokonywe ushindi wake kama seif zanz ndio furaha yako?
Wamezoea kupora ushindi wa wapinzani sasa ona anatetea aliyeshindwa na kuamua kubaki madarakani kwa nguvu ya jeshi!