Waafrika waanza kuivamia nchi ndogo ya Gambia, hali ya Hatari imetangazwa!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,787
Nchi za Afrika ya Magharibi zikiongozwa na nchi ya Nigeria ambayo jina lake limetokana na neno Nigga (Nigeria-Niger), zimeanza jitihada zao za kuivamia nchi ndogo ya Gambia kwa lengo la kumuweka madarakani kwa nguvu Kibaraka wa Kizungu, sasa hali ya hatari imeshatangazwa nchini humo!

Kwa mara nyingine tena watu wengi wanakwenda kufa Afrika, ikumbukwe kwamba takataka wa Afrika Magharibi wanafanya uvamizi kwa maana hawana baraka za UNSC (UN) hivyo ni vita haramu, ambayo Mzungu yuko nyuma yake, kwa lengo la kuirudisha kwa nguvu nchi ya Gambia kwenye Jumuiya ya Madola na ICC!

Kenya ukiona mwenzako ananyolewa wewe tia amaji, hata Uhuru Kenya anataka kuiondoa nchi ya Kenya ICC, sasa subiri moto wako unakuja!

Muafrika ni Mtumwa wa Muzungu!


Gambia's Yahya Jammeh declares state of emergency
 
Nchi za Afrika ya Magharibi zikiongozwa na nchi ya Nigeria ambayo jina lake limetokana na neno Nigga (Nigeria-Niger), zimeanza jitihada zao za kuivamia nchi ndogo ya Gambia kwa lengo la kumuweka madarakani kwa nguvu Kibaraka wa Kizungu, sasa hali ya hatari imeshatangazwa nchini humo!

Kwa mara nyingine tena watu wengi wanakwenda kufa Afrika, ikumbukwe nchi za Afrika Magharibi wanafanya uvamizi kwa maana hawana baraka za UNSC (UN) hivyo ni vita haramu, ambayo Mzungu yuko nyuma yake, kwa lengo la kuirudisha kwa nguvu nchi ya Gambia kwenye Jumuiya ya Madola na ICC!

Kenya ukiona mwenzako ananyolewa wewe tia amaji, hata Uhuru Kenya anataka kuiondoa nchi ya Kenya ICC, sasa subiri moto wako unakuja!

Muafrika ni Mtumwa wa Muzungu!


Gambia's Yahya Jammeh declares state of emergency
Umeongea vizuri Ila umeharibu kusema jamaa ni kibaraka wa wazungu
 
Nchi za Afrika ya Magharibi zikiongozwa na nchi ya Nigeria ambayo jina lake limetokana na neno Nigga (Nigeria-Niger), zimeanza jitihada zao za kuivamia nchi ndogo ya Gambia kwa lengo la kumuweka madarakani kwa nguvu Kibaraka wa Kizungu, sasa hali ya hatari imeshatangazwa nchini humo!

Kwa mara nyingine tena watu wengi wanakwenda kufa Afrika, ikumbukwe nchi za Afrika Magharibi wanafanya uvamizi kwa maana hawana baraka za UNSC (UN) hivyo ni vita haramu, ambayo Mzungu yuko nyuma yake, kwa lengo la kuirudisha kwa nguvu nchi ya Gambia kwenye Jumuiya ya Madola na ICC!

Kenya ukiona mwenzako ananyolewa wewe tia amaji, hata Uhuru Kenya anataka kuiondoa nchi ya Kenya ICC, sasa subiri moto wako unakuja!

Muafrika ni Mtumwa wa Muzungu!


Gambia's Yahya Jammeh declares state of emergency
Nakujua wewe mchumia tumbo lakini sikujua kama ni Wa kiwango cha lami.
 
Umeongea vizuri Ila umeharibu kusema jamaa ni kibaraka wa wazungu


Unajua Ilani yake ya uchaguzi huyo Adama Barrow? Amesema kwamba anataka kuirudisha Gambia British common wealth na ICC, sasa wewe uliona wapi Kiongozi wa Upinzani wa nchi masikini kama Gambia anakuwa na Vipaumbele hivyo hivyo? hakuna kingine alichokiongelea zaidi ya hivyo viwili!
 
Unajua Ilani yake ya uchaguzi huyo Adama Barrow? Amesema kwamba anataka kuirudisha Gambia British common wealth na ICC, sasa wewe uliona wapi Kiongozi wa Upinzani wa nchi masikini kama Gambia anakuwa na Vipaumbele hivyo hivyo? hakuna kingine alichokiongelea zaidi ya hivyo viwili!
Shida yako umetawaliwa na fikra za kiislamu, ngoja nikuache
 
Unajua Ilani yake ya uchaguzi huyo Adama Barrow? Amesema kwamba anataka kuirudisha Gambia British common wealth na ICC, sasa wewe uliona wapi Kiongozi wa Upinzani wa nchi masikini kama Gambia anakuwa na Vipaumbele hivyo hivyo? hakuna kingine alichokiongelea zaidi ya hivyo viwili!

Barbarosa;
Sijui nia yako lakini I think something fishy is in between your lines. Umeona ubaya gani katika vipaumbele vyake?? Kwa nini Yahaya alikataa ushirika huo?? Kwa nini Wagambia walimkataa kwenye box kama alikuwa anajieleza vizuri?? Waache wafu wazike wafu wao. Nasema, wewe huwezi kuwa na fikra nzuri zaidi ya hao majirani walio karibu nao. Ufike wakati, uamuzi wa wengi uheshimiwe. Ajaye kusaidia kuuweka uamuzi wa wengi madarakani hata angelikuwa kaburu, are tuu
 
Hata mm naona umepost mashudu meusi .jamaa yako kashindwa uchaguzi.wenye nchi hawamtki kwa kura.so aende kwa heshma.akakae mbali! Why hatak kusepa ikulu? Yy aliandikiwa kufia ikulu.naamn we mwanachama wa fisiem kwa kwa tanz.mawazo yako yqnaonesha hujisom! Mtu hawez pewa kura kwa hoja aka vtu viwili.achaaa ulongo wako siye so watoto.
 
Nchi za Afrika ya Magharibi zikiongozwa na nchi ya Nigeria ambayo jina lake limetokana na neno Nigga (Nigeria-Niger), zimeanza jitihada zao za kuivamia nchi ndogo ya Gambia kwa lengo la kumuweka madarakani kwa nguvu Kibaraka wa Kizungu, sasa hali ya hatari imeshatangazwa nchini humo!

Kwa mara nyingine tena watu wengi wanakwenda kufa Afrika, ikumbukwe kwamba takataka wa Afrika Magharibi wanafanya uvamizi kwa maana hawana baraka za UNSC (UN) hivyo ni vita haramu, ambayo Mzungu yuko nyuma yake, kwa lengo la kuirudisha kwa nguvu nchi ya Gambia kwenye Jumuiya ya Madola na ICC!

Kenya ukiona mwenzako ananyolewa wewe tia amaji, hata Uhuru Kenya anataka kuiondoa nchi ya Kenya ICC, sasa subiri moto wako unakuja!

Muafrika ni Mtumwa wa Muzungu!


Gambia's Yahya Jammeh declares state of emergency
Kasome vizuri uelewa kiini cha mgogoro wa Gambia kisha uandike tena.
 
Unajua Ilani yake ya uchaguzi huyo Adama Barrow? Amesema kwamba anataka kuirudisha Gambia British common wealth na ICC, sasa wewe uliona wapi Kiongozi wa Upinzani wa nchi masikini kama Gambia anakuwa na Vipaumbele hivyo hivyo? hakuna kingine alichokiongelea zaidi ya hivyo viwili!
Usimuite wa upinzani tafadhali, ndio kiongozi halali huyo.

Sijui huwa mnakataa nini kushindwa, Sasa wewe unamteteaje mtu aliyeshindwa kwenye uchaguzi? Hujisikii aibu asee. Kama huwajui waafrika wamagharibi Kaa kimya asee, wanajitambua mno kwenye misimamo yao
 
Back
Top Bottom