kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,368
Katika kitu ambacho mimi sipendagi ni kuitwa mnyonge mbele ya wenye pesa zao au nguvu zao
Mimi hata niwe maskini kivipi kuniita mnyonge marufuku kabisa. Wakuniita mnyonge ni Mungu peke yake tu maana yeye ndo amekamilika kila kitu tofauti na apo tutaonana wabaya kabisa
Lengo langu nataka ni zungumzie hii tabia ya sisi watu weusi Kujifanya wanyonge mbele ya watu weupe
Unaweza kuta mtu mweupe na mweusi wanagombana au kutukanana atakaye jifanya mnyonge apo ni mtu mweusi ndo ataona ameonewa kwa hiyo hawezi kujitetea zaidi ya kusema una fanya haya yote kwasababu mimi ni mtu mweusi!
Kwa hiyo kuwa mtu mweusi ndo huwezi kusimama na kupinga upumbavu unao fanyiwa? Hali hiyo ni tabia ya unyonge Acheni unyonge hakuna aliye kamilika apa duniani yeye anaweza kuwa ana pesa lakini hana afya wewe una afya lakini huna pesa wote hatujakalika
Kwa hiyo usikubali mtu yeyote kuingia katika anga zako
Mimi hata niwe maskini kivipi kuniita mnyonge marufuku kabisa. Wakuniita mnyonge ni Mungu peke yake tu maana yeye ndo amekamilika kila kitu tofauti na apo tutaonana wabaya kabisa
Lengo langu nataka ni zungumzie hii tabia ya sisi watu weusi Kujifanya wanyonge mbele ya watu weupe
Unaweza kuta mtu mweupe na mweusi wanagombana au kutukanana atakaye jifanya mnyonge apo ni mtu mweusi ndo ataona ameonewa kwa hiyo hawezi kujitetea zaidi ya kusema una fanya haya yote kwasababu mimi ni mtu mweusi!
Kwa hiyo kuwa mtu mweusi ndo huwezi kusimama na kupinga upumbavu unao fanyiwa? Hali hiyo ni tabia ya unyonge Acheni unyonge hakuna aliye kamilika apa duniani yeye anaweza kuwa ana pesa lakini hana afya wewe una afya lakini huna pesa wote hatujakalika
Kwa hiyo usikubali mtu yeyote kuingia katika anga zako