Waafrika tumemkosea nini mungu?!

Waafrika tumemkosea nini mungu?!

kitkat

Member
Joined
May 23, 2014
Posts
16
Reaction score
2
nevi wa italy watihibitisha kuwakamata zaidi ya waAFRICA 1800 pembezoni mwa fukwe za italy wakijaribu kuingia barani ulaya,idadi ya wakimbizi kwa mwaka wanaokamatwa ni 70000/= achilia mbali wanaozama majini na kupoteza uhai wao.
swali langu sisi wa AFRICA tunamatatizo gani ya kiakili na kiuchumi mpaka kujihatarisha kiasi hicho?!
kama shida(ulaya si peponi)migomo ipo,masikini wapo,mafisadi wapo,wazalendo wapo,tatizo la posho ndogo lipo,tatizo la kupata ajira lipo,kama ni hivyo ya nini kujihatarisha?!kwa nini tusijitume nchini kwetu na barani kwetu tukakuza uchumi wa bara letu?!
africa noma.jpg
 
Kwahyo mleta mada unataka tubaki Africa tu tunachekeana na Ma-CCM?? Acha tukatafute ndugu
 
nevi wa italy watihibitisha kuwakamata zaidi ya waAFRICA 1800 pembezoni mwa fukwe za italy wakijaribu kuingia barani ulaya,idadi ya wakimbizi kwa mwaka wanaokamatwa ni 70000/= achilia mbali wanaozama majini na kupoteza uhai wao.
swali langu sisi wa AFRICA tunamatatizo gani ya kiakili na kiuchumi mpaka kujihatarisha kiasi hicho?!
kama shida(ulaya si peponi)migomo ipo,masikini wapo,mafisadi wapo,wazalendo wapo,tatizo la posho ndogo lipo,tatizo la kupata ajira lipo,kama ni hivyo ya nini kujihatarisha?!kwa nini tusijitume nchini kwetu na barani kwetu tukakuza uchumi wa bara letu?!
View attachment 172482

Sio Africa tu nchi nyingi sana Duniani Ulaya na America ya kusini na Visiwa vya Caribbean watu wengi wasio na kazi za uhakika au kipato kidogo akili zao ni kwenye nchi Tajiri.. hiyo ni Ndoto za Masikini wote...

Katizame nchi inatitwa Mordova nchi inakaribia kuisha watu hali ilivyo mbaya... Kama unataka kuoa Mzungu ukienda huko unabeba Fasta...
 
Tukae hapa tulime ardhi kubwa na nzuri pamoja na hali ya hewa safi mwaka mzima. Ulaya shida tupu kama hujui hata wenyewe hapa wanatamani kama wangekuwa mahali pazuri kama kwetu huko wakaweza kuwa huru kama sisi kwani hapa maisha ni taiti kuliko. Utaona kwa nje kila kitu poa lakini wana matatizo yao na ndio maana Afrca watu wengi wana furaha kuliko wazungu kwa kuwa ukweli ni kwamba maisha yenye furaha yanatokana na nduguj jamaa na marafiki ambao tunao tele nyumbani
 
Back
Top Bottom