Waafrika ni masikini kwa sababu maisha yao yapo connected na mizimu

Samahani ndugu ningependa kufahamu machache kutoka kwako, je unafahamu mfumo mzima wa kimaisha wa jamii za mashariki ya mbali za kiasia/ wachina, wakorea, wajapan ?
 
Achana na historia isiyo na ushahidi,kwanza mengi tuliyosoma mashuleni kwenye history ni upotoshi na chuki dhidi ya wakoloni na zilikuwa ni propaganda za mapaniafricanist kama sehemu ya kutupia au kufichia lawama zao juu ya kushindwa kwao kuwaletea waafrika maendeleo baada ya kuwahadaa watu kwamba watawaletea maendeleo baada ya UHURU matokeo yake wakajiletea maendeleo yao binafsi wao na familia hadi leo ndizo zinakula matunda ya UHURU huku mamilioni ya waafrika wakitopea kwenye lindi la ufukara, wengine wakifa baharini kuukimbia umasikini huku maelf ya vijana wakirandaranda KILA siku kwenye ofisi za balozi za Ulaya wakiomba viza za kwenda utumwani badala ya kubakia Afrika penye fursa wazalishe, vijana wanakimbia afrika sababu hawana macho huku vijana wa kichina wao wakijazana afrika wakichuma sababu Wana macho wanasomba wanapeleka kwao. Je wajua uchumi wa china na India unajengwa na machinga na bodaboda wa afrika.
Wewe ni fara kwelikweli niulize kwanini nitakujibu vizuri
 
5. Uwe na elimu ya kutosha kuhusu saikolojia ya ulimwengu usioonekana jinsi unavyotenda kazi na jinsi ya kwenda nao kinyume ili usiathiri mambo yako.
Hii ndio baba lao kama ukiiwezea. Mtu anayejua hili ni sawa na mtu anayejua kusoma trends(trend reading).
Unakuwa mastermind yaani unautawala ulimwengu na sio ulimwengu ukutawale.
 
Samahani ndugu ningependa kufahamu machache kutoka kwako, je unafahamu mfumo mzima wa kimaisha wa jamii za mashariki ya mbali za kiasia/ wachina, wakorea, wajapan ?
Ndio ila ipi SAsa ya kale au ya sasa.Maana naona duniani nzima ya sasa tunacopy West na wao ndio key ya mifumo yote duniani kuhusu maendeleo
 
Ndio ila ipi SAsa ya kale au ya sasa.Maana naona duniani nzima ya sasa tunacopy West na wao ndio key ya mifumo yote duniani kuhusu maendeleo
Kwa hiyo mfumo wa kitamaduni wa mataifa ya mashariki mwa asia ya mbali/ China, Korea ,Japan umebadilika na kuwa na mfanano na wa mataifa ya magharibi si ndivyo unavyo maanisha ?
 
Cause watu wameanza lini kumuomba Yesu? Baada ya kufa na kufufuka na kupaa.


Roho mtakatifu anaitwaje kizungu Holy Ghost. Nini maana ya Ghost?.Mzimu.


Holy Ghost= Mzimu mtakatifu.


KWA mujibu wa Biblia binadamu akifa anakuwa Mungu( Samueli wa KWANZA 28)
 
Mwanadamu anatawaliwa kiroho na kimwili pia kama walivyowatendaji wa serikali kuanzia mjumbe wa nyumba kumi hadi Rais kama ngazi ya juu ya mwisho kiutawala katika nchi na ndivyo ilivyo pia katika ulimwengu wa kiroho pia zipo mamlaka zinazotawala watu kiroho pia kuanzia mchawi,gwiji,mzee,wakuu wa vilinge, machief, mizimu, na kuendelea.

Hawa watawala wa kiroho upande wa giza, wameseti standard ya maisha ambayo watu wa eneo fulani awatakiwi kuvuka mstari fulani wa maisha waliyopanga wao kupitia maagano yao ya kichawi ambapo mtu yeyeto eneo hilo Akienda kinyume kwa kutaka kuvuka mstari walioset ni lazima yatamkuta mabaya,, madhara au mabalaa kwa sababu anakuwa ameenda kinyume na maagano ya miungu yao.

Ni labda tu uwe na elimu ya kutosha au nguvu ya ziada Ili uweze kuuvuka mstari waliouweka. Kwann mizimu haitaki maendeleo jibu rahisi ni kwamba watu wakiendelea wataacha kuabudu mizimu kwa kuingiza tamaduni za kigeni maeneo hayo thus nguvu ya mizimu inawawahi fasta wasivuke mstari walioset thus ukijenga au ukitaka kujenga tu nyumba maeneo hayo unashangaa umefukuzwa kazi, umehamishwa kitengo, biashara imeyumba, mara ajali, msiba nk, umeenda kijijini na gari urudi, nk. Mfano wa standard walizoseti kupitia maagano mfano

1. Mtaa au eneo au kijiji, au ukoo nk huu Hakuna atakaesoma kama ni la saba wote ukoo mzima akijitahidi kufaulu shule dungwa mimba, anaemfadhili kafa, nk.

2. Hakuna vitu vya maendeleo ukijenga nyumba nzuri umeondoaka, huu mfano naouna mpaka wa vijijini vya Tanga na Vya mkoa wa Kilimanjaro hii barabara kuu ya Dar to Arusha.Angalia vijiji vya upande wa Tanga unakuta nyumba za udongo zimechoka, za nyasi hali duni ya maisha lakini chek upande wa pili uingiapo mkoa wa Kilimanjaro unakuta maendeleo yapo nyumba za Bati nyingi tu, nk. Means hivyo vya upande wa Tanga pana nguvu ya ucheif satanist inayotawala hapo inayozuia maendeleo.

3. Vifo vya ukoo au eneo vinavyofanana,
4. Hakuna atakaemiliki gari au chombo chochote, nk. Au unakuta eneo zima iwe mtaa, nyumba zote zimeishia kwenye lenta, au Hakuna aliyefaulu kupiga hata plasta, au mtaa mzima hauna taa za nje, ukiona hivyo tambua yupo gwiji chief satanist ameseti limit ya maendeleo au standard fulani ya maisha.
Usipofanikiwa sehemu eneo fulani miaka tambua unamilikiwa na utawala wa eneo hilo hama kajaribu eneo jingine.

5.Watu wote kuwa na tabia zisizopendeza zinazofanana.

6. Magonjwa yanayofanana, hali ya uchumi mnayofanana, nk.

Madhara gani ukupata ukivuka mstari

1. Kifo

2. Mambo yako kuvurugika mfano ulipotaka tu kujenga

3. Migogoro isiyoisha ktk ndoa hili wanandoa inabidi kulichunguza sana, mfano baada ya kuhamia eneo fulani au nyumba fulani ya kupanga, au kiwanja sehemu fulani mlipojenga tu uelewano ndani mfano migogoro ya ndoa, magomvi, magonjwa, kipato kushuka, na mabalaa mengine. Tambua mpo kwenye nyumba au kiwanja kilichopo kwenye umiliki wa uchief satanist yaani kwenye mamlaka ya kiroho inayotawala eneo hilo.
Nini ufanye Ili uweze kuuvuka mstari uliowekwa na mizimu au uchief satanist unaotawala eneo hilo.

1. Simama kwa imani yako.

2. Hama eneo husika, thus wazawa wa eneo husika ni ngumu Sana kufanikiwa.

3. Uwe na nguvu za ziada yaani upigane kweli Ili uweze kuuvuka huo mstari. Kuzishinda nguvu za eneo husika.

4.Unaweza ukafanya maendeleo kupitia kujifichia kwa mgeni wa eneo husika awe kama mmiliki kivuli Ina maana ile nguvu ikitafuta mmiliki inakuta sio wewe.

5. Uwe na elimu ya kutosha kuhusu saikolojia ya ulimwengu usioonekana jinsi unavyotenda Kazi na jinsi ya kwenda nao kinyume nao Ili usiathiri mambo yako.

6. Kata kabisa connection na mizimu,maana unapozaliwa tu tayari upo connected kutokana maagano yaliyofanyika na vizazi vyako vilivyopita.

Shida zote wanazopitia watu mfano umasikini, magonjwa, talaka, usingle, kuzaaa hovyo, ulevi, laana na mikosi mbalimbali chanzo ni connection na mizimu na wengi hawana elimu hii thus wanachapwa na umasikini, magonjwa, talaka,ulevi, uzinzi,uroho, ubinafsi,teswa na wachawi,nk. CUT OFF ILI UWE HURU inatakiwa uyatawale mazingira yako na sio mazingira yakutawale.

CUTT OFF ILI UISHINDE NGUVU YA MIZIMU ILI UWEZE YATAWALA MAZINGIRA YAKO NA SIO UTAWALIWE NA MAZINGIRA YAKO.
Nilifungua biashara sehemu Fulani sitaki hata kupakumbuka, aisee! Nilifirisika vibaya sana hadi nikakosa hata mia, nimeanza kusimama baada ya kuhama lile eneo.

Ulichokiandika kina ukweli kabisa sema kuna vitoto humu havijui chochote vitakuja kukubishia
 
Ndugu nilicho uliza na ulicho jibu vinawiana? ningependa tubaki kwenye hoja moja jadiliwa ya kitamaduni na sio hio hoja nyingine unayo ivumbua .
Hio mifumo ya kiutamaduni ya watu wa asia imebakia vijijini na mashambani,ambapo kumeathiri muonekano wao wa nje kiuchumi.
Tofauti na walio mijini
 
Hio mifumo ya kiutamaduni ya watu wa asia imebakia vijijini na mashambani,ambapo kumeathiri muonekano wao wa nje kiuchumi.
Tofauti na walio mijini
Rejea swali langu la mwanzo kabisa na jawabu lako la mwanzo kwenye swali langu halafu rejea swali langu la mwisho na jawabu lako la mwisho. halafu jiulize swali kwa nini kuna mganganyiko mkubwa wa majawabu yako katika maswali yangu?

Wenda hauna uelewa mpana wa kitamaduni wa jamii mbalimbali za hapa duniani mfano ni hizo jamii za mashariki mwa asia ya mbali/ China, Korea, Japan n.k
 
Hata baadhi ya nyumba za kupanga zina laana huwezi kuwa na maendeleo na zingine zina baraka KILA mpangaji akitoka hapo anahamia kwake. Hakuna kelele, vurugu au talaka. Hizi ishu za talaka wengi utalikiana hovyo awajui nini nyuma ya pazia. Ukihamia mahali ukaona migogoro ya ndoa haishi ndani ya nyumba au mambo yenu hayaendi fanya kuhama angalau hata nyumba tatu hivi mitaa tofauti ulinganishe. Utapata jibu. Nyumba nyingi ni madhabau na zina maagano mbalimbali ambayo yapo connected na mizimu.
 
Tulikosea sana kuchukua miungu ya wageni kuikaribisha kwetu na kuiacha ya kwetu..sasahivi jamii yetu imechanganyikiwa.

Kila jamii ilikua na utaratibu wao wa kuabudu na kuenzi wazee wao.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom